Asante sana we mdada ulionilipia nauli

Ulikuwa falla man, ulipaswa umwambie akusubiri.
Uchukue namba, mchana umkaribishe lunch au baadae umrushie ten.
Ni nadra kuionja pesa ya mwanamke so ukipewa kiroho safi jiongeze
 
Watu wahumu wazinguaji sana ok huna hela ya mafuta na Uber? Hakuna kitu inaboa Kwa hii dar kama unamikiki gari na harakat zako ni za private car alafu uje ukapande daladala inakuwaga kama uko jela
Kawaida tu mbona? Huwa tunaset budget kwa mwezi may be utumie gharama ya mafuta say 400k. Au fultank 3.
 
Ulikuwa falla man, ulipaswa umwambie akusubiri.
Uchukue namba, mchana umkaribishe lunch au baadae umrushie ten.
Ni nadra kuionja pesa ya mwanamke so ukipewa kiroho safi jiongeze
Hapo ndio nilibugi. Dada alikua mrembo hasa. Na nyash analo.
 
Kuna mmoja alionyesha ukarimu akaninunulia vinywaji; kilichofuata, alivikimbia vinywaji, vilikuwa vinakuja kama mvua; kwa kifupi ukarimu unalipa
 
Angekuwa na uoga kama angelipiwa na mwanaume mwenzie,acha kumtisha buana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namzingua tu! Kijana ameweseka sana pale konda alipokua anatikisa chenji halafu mfukoni yupo teeeh! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Namzingua tu! Kijana ameweseka sana pale konda alipokua anatikisa chenji halafu mfukoni yupo teeeh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ata ingekua ni mimi lazima ningeweweseka makonda huwa wanakauli mbaya saaana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
PESA ya jini huwa haisauliki utalipiwa tena mkuu uskonde
 
Watu wahumu wazinguaji sana ok huna hela ya mafuta na Uber? Hakuna kitu inaboa Kwa hii dar kama unamikiki gari na harakat zako ni za private car alafu uje ukapande daladala inakuwaga kama uko jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…