mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nachukua notes πUlikuwa falla man, ulipaswa umwambie akusubiri.
Uchukue namba, mchana umkaribishe lunch au baadae umrushie ten.
Ni nadra kuionja pesa ya mwanamke so ukipewa kiroho safi jiongeze
si kama wewe unaogopa madem unakuja kutuambia humu JFMwanaume unalipiwa nauli baada ya kujipambania mwenyewe ufe kiume alafu unakuja kushukuru kwenye JF
Great thinker hatimaye umeonekana.Mzigo Gani? Tena uliacha kwenye gari na wakati hata hela ya mafuta ulikuwa huna.
Wee baba tamuuuu, [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Mama tamuu mambo! Laazii wako wa ubani hapa IamBrianLeeSnr hii Id wamepiga bann [emoji23][emoji23][emoji23]
π Mapacha haosi kama wewe unaogopa madem unakuja kutuambia humu JF
Ahh, wapi nimesema naogopa mademu [emoji28]si kama wewe unaogopa madem unakuja kutuambia humu JF
dogo jau sana.... nyani haoni k*nduleπ Mapacha hao
usijitie huelewi πAhh, wapi nimesema naogopa mademu [emoji28]
Sasa sie wengine sio wataalamu maana hatujawahi fanya hiz mambodogo jau sana.... nyani haoni k*ndule
Ahh, sasa mpaka wajue jaman nikose hata wakumtongoza [emoji23]usijitie huelewi [emoji23]
Kwelidogo jau sana.... nyani haoni k*ndule
zama pm kuna watoto humuAhh, sasa mpaka wajue jaman nikose hata wakumtongoza [emoji23]
umeamua usiseme mengi πkunikanda kidole.
Ahh, watoto wako ila shida unaweza kukutana na dume limeweka picha ya kike ila wabongo bhana dume linaweka picha ya kike sijui ana nia ganizama pm kuna watoto humu
si utapewa no za simu mtaongea??Ahh, watoto wako ila shida unaweza kukutana na dume limeweka picha ya kike ila wabongo bhana dume linaweka picha ya kike sijui ana nia gani
Wako sawa na mm nisije ni jichukulia li shangazi bure [emoji23], mi mtoto akanizidi kwenye kila sektasi utapewa no za simu mtaongea??
Ehh, kumbe wanatoa namba za simu kila hisi ivo [emoji28]si utapewa no za simu mtaongea??
una miaka mingapi dogo, wadada wapo wa kila age rangeWako sawa na mm nisije ni jichukulia li shangazi bure [emoji23], mi mtoto akanizidi kwenye kila sekta
26una miaka mingapi dogo, wadada wapo wa kila age range