Asante sana we mdada ulionilipia nauli

Yaani hata mkiwa mmeshuka hukuweza kutoa shukran?
 
mshamba_hachekwi ona Kaka yako Huku.

Kwahiyo vocha inatosha? Hawajawai kueleweka ila tafuta hela utapunguza kelele na dharau za Ke wengi.
 
Uka lipiwa!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wamebaki wanaJF wachache sana hawamiliki magari.
 
Ndio mjifunze kutoa lift na magari yenu ya mkopo hayo, mnatuvimbiaga sana ist zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…