Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

Mbuzi wa kafara la kumsafisha Jiwe kitaifa na kimataifa. Unaweza akurudishwa baadae au hasirudishwe na kuachwa kuwa raia wa kawaida na hasipokuwa makini akaendelea na maisha yake anaweza kupotezwa kabisa kufuta ushahidi.

Makonda kwa sasa kuwa mpole tu maisha yaendelee,ukienda kwenye mikusanyiko kaa na watu wa kawaida kwa sasa si kiongozi tena. Hicho kiherehere chako watakupotoza shauri yako.
 
Kama Ni kweli Yeye ndiye mastaplan wa Ile 'mission' iliyomsabababishia kilema The chosen One' TL, Basi hakika damu inamuandama pamoja na ndoto za kutisha na kuogofya katika usingizi wake.

Na hii itapelekea 'jamaa' kuwa 'mental' kisaikoloji.
 
Huyu mtu kawa tajiri kupita maelezo na hii inatuchafua kwenye chama na kujiuliza hivi kweli ukuu wa wilaya na baadae ukuu wa Mkoa wa miaka Minne, umekuwezesha vipi kuwa na ukwasi kwa kiasi hiki?

Ni dhahiri ziko njia chafu umezipitia zilizokupa hayo yalokupa ukwasi huo. Mkuu wetu Katu hawezi kuungana nawe au kufurahishwa nawe.
Take my note.
 
Kwenye hili nafikiria tofauti kidogo na watu wengi, Magu huyu Makonda kamute kidogo ili aonekane yeye ni msafi then baada ya hapo utamuona tena kwenye State akishinda.

Note hii comment
Utasubiri sana.
 
Dah!...siasa hazitabirika huenda akaibukia mkoa wowote kama RC baada ya uchaguzi au akateuliwa kuwa mbunge kwenye zile nafasi za Rais.
 
Dah!...siasa hazitabirika huenda akaibukia mkoa wowote kama RC baada ya uchaguzi au akateuliwa kuwa mbunge kwenye zile nafasi za Rais.
Zile nafasi nasikia zina watu wake maalumu wa kupewa kama wanawake au wazee au vilema au watu wenye elimu kubwa kubwa na sio huyo kijana wa kiume mwenye nguvu zake
 
unajua watu wengi wameshindwa kuelewa pale ni kwamba rais akishaingia sehem yoyote haparuhusiwi tena mtu kuingia na ndio maana bwana mdogo alizuiliwa pale kwakua mkuu wa nchi alishaingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…