Asase nimlipa kodi namba 1 mkoani iringa wewe huna hata kuku nani atakaye kujuaHili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?
TUMESTUKA!
View attachment 2773641
Rositom azzi ni tajiri hata magu alishindwa kumfunga ndugu yakeAwamu ya 6 Hata Rostam naye yuko na Maza kila kona. Kuna wanaume hawanaga wivu wa mapenzi kama akina baba ABDUL
View attachment 2773645
Naongezea hakuna anae mfikia kwa ulipaji kodi kusini mzimaWew kaza fuvu tu, ila MNEC huyo kuwa kwenye ziara za viongozi sio jambo geni wala baya, + huyo jamaa anafanya makubwa sana nyanda za juu kwenye ufugaji, anainua wakulima wengi sanaaa, so hata viongozi wakifika lazima kumsabahi mtu kama huyo
Anataka jimbo la iringa mjini by 2025,ameshaanza kujipenyeza!Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?
TUMESTUKA!
View attachment 2773641
Wacha weeee !!!Asase nimlipa kodi namba 1 mkoani iringa wewe huna hata kuku nani atakaye kujua
So what ?Mbona hata wewe kimbelembele sana kwenye ishu za Mbowe na Cdm?
So ignore AssasSo what ?
Mkuu huku kama kuishi kunafaa sana kwani hata police hawatembei na bastola zaidi ya pinguMkuu hata huko Ungereza Conservative Party nayo huwa inawablack mail Waingereza wenye asili za kigeni?
Achana na mazwazwa hao mkuu2020 Wafanyabiashara waliounga mkono Chadema jimbo la Kyela walinyang'anywa hadi Chumvi madukani mwao , wengine walifuatwa majumbani , wengine waliokotwa na majeraha makubwa sana na wengine wamepotea hadi leo
True. Ila wakati wa Magu ulimuona Akifanya press conference!!?Kwahiyo wakati Magu anampigia debe Rostam kwamba anafaa kuwa Mbunge wa Morogoro ilikuwa awamu hii?! Yaani unajisahaulisha kwamba ni JPM huyo huyo ndie alizindua maghala ya Taifa Gas kule Kigamboni?!
π Mkuu umechakaza...Halafu hata ukifuatilia hao wajinga wanaouliza ukabila unakuta na yeye babu yake niMzambia au Mmalawi
Wajomba zao ni wa kuleeeeHili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?
TUMESTUKA!
View attachment 2773641
Ndio ukweli ππ Mkuu umechakaza...
Brother haujui kitu hizo biashara ni za hao weupe viongozi wanalipwa royalties kafanya uchunguzi zaidi.Kuna kipindi miaka ya 2000 nilikutana na S. Patel, PriMohamed na Seif "masukari" nikawauliza siri ya mafanikio yao.
Kwa kweli "ya kaisari, mpe kaisari" ndiyo siri kubwa.
Caspian
Nyanza
Azam
Mtibwa
Kagera
Asas
Lake
Motisun
Bagamoyo Sugar
Vodacom
Taifa Gas
Humo mote ni biashara za wakubwa wa nchi,zinaendeshwa na watu hao mnaowajua kama "weupe" .