YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Sio kweli uongo ASAS sio msomali ni mwaarabu pureMwekezaji huyo
Anauza maziwa🤣🤣
Ana ng'ombe wale frester wanatoa maziwa balaa
Ni msomali pia,mjomba ake bashe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli uongo ASAS sio msomali ni mwaarabu pureMwekezaji huyo
Anauza maziwa🤣🤣
Ana ng'ombe wale frester wanatoa maziwa balaa
Ni msomali pia,mjomba ake bashe
Kwamba akijenga hospitali ya bure ndio mnampa nchi ? Mnatia aibu sana ! hizo hela anazowajengeeni hospitali kazitoa wapi ?Sio protocal ya Asas ni ziara ya Waziri,Asasi amejenga hospital ya VIP Iringa hakuna,kaa kimya dogo
Asante kwa TaarifaSio kweli uongo ASAS sio msomali ni mwaarabu pure
Kwamba akijenga hospitali ya bure ndio mnampa nchi ? Mnatia aibu sana ! hizo hela anazowajengeeni hospitali kazitoa wapi ?
Poor ccm !
Tunajadili watu ambao ni hatari kwa nchi , sisi ni WazalendoAmakweli sasa hamna hoja hadi mmeamua sasa kujadili watu bada ya issues!!? Chadema sasa mmekwisha.
KWI KWI KWI
Kwani wewe unabishana kumbe !Kumbe nabishana na Zuchu
Kwani wewe unabishana kumbe !
Kuna kipindi miaka ya 2000 nilikutana na S. Patel, PriMohamed na Seif "masukari" nikawauliza siri ya mafanikio yao.Huyu akiifadhili CHADEMA ataambiwa ni Mshihiri aliyehamia kwa njia za haramu.
Kwahiyo siwashangai Watanzania wenye asili za nje wanaogopa kuwa Black Mailed na Chama cha Majambazi.
Aiseeeeee !!!!Kuna kipindi miaka ya 2000 nilikutana na S. Patel, PriMohamed na Seif "masukari" nikawauliza siri ya mafanikio yao.
Kwa kweli "ya kaisari, mpe kaisari" ndiyo siri kubwa.
Caspian
Nyanza
Azam
Mtibwa
Kagera
Asas
Lake
Motisun
Bagamoyo Sugar
Vodacom
Taifa Gas
Humo mote ni biashara za wakubwa wa nchi,zinaendeshwa na watu hao mnaowajua kama "weupe" .
ni mnec kweli hivyo ni haki yake kuwepo kwenye ziara za viongoziNadhani ni Mnec, Na mwekezaji ,wengine watajazia
Mleta mada alikua ana lake jambo ukweli huu hautakini mnec kweli hivyo ni haki yake kuwepo kwenye ziara za viongozi
Mfadhili wa chama.Hili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Quite the contrary......... Kwahiyo siwashangai Watanzania wenye asili za nje wanaogopa kuwa Black Mailed na Chama cha Majambazi.
Na hao ndio wametawala uchumi wa nchi huku wenye nchi tunatia huruma hatuna hata hela ya kusomesha watoto shule nzuri.Kuna kipindi miaka ya 2000 nilikutana na S. Patel, PriMohamed na Seif "masukari" nikawauliza siri ya mafanikio yao.
Kwa kweli "ya kaisari, mpe kaisari" ndiyo siri kubwa.
Caspian
Nyanza
Azam
Mtibwa
Kagera
Asas
Lake
Motisun
Bagamoyo Sugar
Vodacom
Taifa Gas
Humo mote ni biashara za wakubwa wa nchi,zinaendeshwa na watu hao mnaowajua kama "weupe" .
wewe waliokuunga mkono Mbeya walifanywaje?2020 Wafanyabiashara waliounga mkono Chadema jimbo la Kyela walinyang'anywa hadi Chumvi madukani mwao , wengine walifuatwa majumbani , wengine waliokotwa na majeraha makubwa sana na wengine wamepotea hadi leo
Rejea Bakhresa alipokuwa anaofadhili CUF akaambiwa ngano yake kutoka 🇺🇦 Ukraina ina mionzi ya plutonium.discriminated and blackmailed in Tanzania.
Hii Kampuni nilikutana na Meneja wake Mserbia kipindi hicho akaniambia alikoitoa anasema walianza na Matipa ya mchanga machache na nimetinga kwanye hii Kampuni haikuwa kubwa sijui sasa.Caspian
asas ameambatana na mwenyekiti wa CCM mkoa wa iringa anaitwa Daudi YasinBashungwa kawa Mwenyekiti lini ?