Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kwa sababu Ccm ni chama cha kibepari.Kwanini matajiri au watu wenye uwezo kifedha ni Wa NEC huko CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu Ccm ni chama cha kibepari.Kwanini matajiri au watu wenye uwezo kifedha ni Wa NEC huko CCM?
Chadema hawana mwanachama hata mmoja mwekezaji mkubwa kama ASAS huishia tu kupiga p8rojo wale ruzuku za vyama vya siasaNadhani ni Mnec, Na mwekezaji ,wengine watajazia
2020 Wafanyabiashara waliounga mkono Chadema jimbo la Kyela walinyang'anywa hadi Chumvi madukani mwao , wengine walifuatwa majumbani , wengine waliokotwa na majeraha makubwa sana na wengine wamepotea hadi leoChadema hawana mwanachama hata mmoja mwekezaji mkubwa kama ASAS huishia tu kupiga p8rojo wale ruzuku za vyama vya siasa
Chadema hawana ihawana mwanachama mwenyr mpact kubwa TRA na uwekezaji na kutoa ajira nyingi kama ASAS.mwanachama wa.CCM wamejaza maskini na vibaka wala ruzuku tu wakiwrmo akina Mbowe, Tundu Lissu na Mnyika
Kwahiyo kujichomeka huko ni kwa vile alitoa misaada ?
WA DINI YANGUHili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Anautafuta ubunge 2025Hili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Ukiona hivyo ujue siyo msafi. Narudia tena, ukionahivyo ujue ni mpigaji. Maskini hawa matajiri mafisadi hawajui kuwa nchi ikilipuka hata hizo biashara zao zitaenda na maji.Hili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Ni Zamu ya Waarabu. Huoni hata Rostam aliyedai ameachana na siasa uchwara awamu hii karudi!? Waarabu na Wahindi wanafanya siasa za underground miaka yote. They are here to stay.Hili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Mnenikumbusha nyama ya mchuzi mzito, (Roasted meat) or beef stewAwamu ya 6 Hata Rostam naye yuko na Maza kila kona. Kuna wanaume hawanaga wivu wa mapenzi kama akina baba ABDUL
Kwahiyo wakati Magu anampigia debe Rostam kwamba anafaa kuwa Mbunge wa Morogoro ilikuwa awamu hii?! Yaani unajisahaulisha kwamba ni JPM huyo huyo ndie alizindua maghala ya Taifa Gas kule Kigamboni?!Ni Zamu ya Waarabu. Huoni hata Rostam aliyedai ameachana na siasa uchwara awamu hii karudi!? Waarabu na Wahindi wanafanya siasa za underground miaka yote. They are here to stay.
Tatizo majibu unayopewa huyataki kwa sababu huenda tayari una majibu yako. Na kama tayari una majibu, sasa kuna sababu zipi za kufungua uzi na kuuliza swali ambalo tayari una majibu? Binafsi nimeishi Iringa tangu enzi za JPM, na Mzee Salim yupo hivyo tangu miaka hiyo. Na wala sioni cha ajabu hapo kwa sababu hiyo ndo tabia ya Wafanyabiashara wa Tanzania hususani wenye asili ya Kiasia na Waarabu! Wanapenda kuonesha wao ni CCM Damudamu kama insurance ya biashara zao! Lakini tukiacha siasa pembeni, si tunaambiwa CCM ndio wenye Ilani yao na hao mawaziri ni watekelezaji tu wa hiyo Ilani? Sasa inakushangaza nini kuona m-NEC wa chama tawala anakuwepo kwenye hiyo misafara?Jibuni maswali tunayouliza .
😆😆😆 yaani viongozi wetu waende Iringa kwa ajili ya Asas ! hii ni protocol ya wapi ?Kwanza nabishana na mtoto wa miaka mingapi?we ni mpuuzi nini unashindwa kujua kuwa asas ni mbunge wa ccm na Bashungwa ni waziri wake ukitaka akae wapi na wako mkoani kwake
Wakati Msigwa anashinda Iringa huyo Asas alikuwa bado India ?Peter Msigwa anamgwaya huyo Mzee kuliko hata mbunge wa sasa Msambatavangu!
[emoji38][emoji38][emoji38] yaani viongozi wetu waende Iringa kwa ajili ya Asas ! hii ni protocol ya wapi ?
Serikali inafanya kazi kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa mtindo wa Public Private Partnership aka PPP. Hivyo watu kama akina Asas na Rostam ni wa muhimu kuwepo kwenye ziara za viongozi wa serikali za ndani na nje ya nchi ili kuwezesha biashara za ndani na kimataifa nchini kwetu.Ni akili tu mtu wangu
Hapo ASAS kuna mikono ya vigogo kadhaa wanaotumia ASAS kutakatisha fedha zao.
Na hii kuwa kimbelembele kwa public ni kujimwambafai kuwa wamekuwa na wakonjema kiuchumi ili wasitiliwe shaka.
Jamaa wana Malori ya mafuta, Dairy farm, kiwanda cha dairy products, wanauza pipi n.k
Unajua sana unataka kutuchosha tu!Hili ni lazima liwekwe wazi , kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile , hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM , Hili halikubaliki .
Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii , ana cheo gani na alichaguliwa na nani ?
Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama , kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo ?
TUMESTUKA !
View attachment 2773641
Huko uwarabuni wanawake wanavaa suruali?Awamu ya 6 Hata Rostam naye yuko na Maza kila kona. Kuna wanaume hawanaga wivu wa mapenzi kama akina baba ABDUL
View attachment 2773645