Asas ni nani kwenye Serikali ya awamu 6, mbona ni kimbelembele sana kwenye ziara za viongozi?

Asas ni nani kwenye Serikali ya awamu 6, mbona ni kimbelembele sana kwenye ziara za viongozi?

Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.

Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?

Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?

TUMESTUKA!

View attachment 2773641
Asase nimlipa kodi namba 1 mkoani iringa wewe huna hata kuku nani atakaye kujua
 
Wew kaza fuvu tu, ila MNEC huyo kuwa kwenye ziara za viongozi sio jambo geni wala baya, + huyo jamaa anafanya makubwa sana nyanda za juu kwenye ufugaji, anainua wakulima wengi sanaaa, so hata viongozi wakifika lazima kumsabahi mtu kama huyo
Naongezea hakuna anae mfikia kwa ulipaji kodi kusini mzima
 
Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.

Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?

Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?

TUMESTUKA!

View attachment 2773641
Anataka jimbo la iringa mjini by 2025,ameshaanza kujipenyeza!
 
Mkuu hata huko Ungereza Conservative Party nayo huwa inawablack mail Waingereza wenye asili za kigeni?
Mkuu huku kama kuishi kunafaa sana kwani hata police hawatembei na bastola zaidi ya pingu
Huku siasa ni elimu tofauti na huko ambapo mwanasiasa akiimba tu anapewa ukuu wa mkoa

Huku Elimu inakubeba na wapinzani safari hii wanachekelea kwa sababu ya Sunak kubadili Gia angani kuhusu mradi wa HS2
Man na Birmingham wamesema hawata vote conservatives

Kuhusu ubaguzi eti wewe kabila gani ni huko tu
Halafu hata ukifuatilia hao wajinga wanaouliza ukabila unakuta na yeye babu yake niMzambia au Mmalawi
 
Hili ni lazima liwekwe wazi, kwamba viongozi wanapofanya ziara zao za kikazi wasiingiliwe na Mamluki kwa namna yoyote ile, hata kama mamluki hao ni wafadhili wa CCM, Hili halikubaliki.

Huyu Asas anayejipenyeza kwenye kila ziara za Viongozi Mkoani Iringa ni nani kwenye nchi hii, ana cheo gani na alichaguliwa na nani?

Anajipendekeza ili kuficha uchafu gani kwenye eneo hilo lenye mbuga kadhaa za wanyama, kwanini ni yeye tu hakuna Wakinga au Wahehe Wafanyabiashara hapo?

TUMESTUKA!

View attachment 2773641
Wajomba zao ni wa kuleeee
 
😂 Mkuu umechakaza...
Ndio ukweli 😄
Mimi nimesoma miaka ya 60 nawajua wazee Enzi hizo wametokea Malawi na Zambia wengi tu waliingia wakati wa mkoloni wakiwa na Elimu zao na watoto wao nimesoma nao leo wamestaafu ila wajukuu ndio wameshika post nzuri nzuri na humuelezi kitu na wala hasemi ni Wabemba wala Tumbuka ila watataja makabila walipozaliwa tz tu

Huu ni uoga wa hali ya juu
Mbona wayahudi hawaachi asili yao huko 🇺🇸 au Irish?

Tena wanajisifia haswa
Mda si mrefu Biden alikuja hapa akatembelea na Ireland anasema ndio kwetu huku

Ifike mahali muanze kujisifia asili zenu
 
Kuna kipindi miaka ya 2000 nilikutana na S. Patel, PriMohamed na Seif "masukari" nikawauliza siri ya mafanikio yao.

Kwa kweli "ya kaisari, mpe kaisari" ndiyo siri kubwa.

Caspian
Nyanza
Azam
Mtibwa
Kagera
Asas
Lake
Motisun
Bagamoyo Sugar
Vodacom
Taifa Gas

Humo mote ni biashara za wakubwa wa nchi,zinaendeshwa na watu hao mnaowajua kama "weupe" .
Brother haujui kitu hizo biashara ni za hao weupe viongozi wanalipwa royalties kafanya uchunguzi zaidi.
 
Back
Top Bottom