Lol .....msumari huu huu tunaoujua π³π³Msumari
Samahani...sijaangalia mechi ya leo...ila kwa maoni yako unadhani Kati ya yule aliyechezesha mechi ya Simba na Yanga ya 2-2 na huyu wa Leo ni nani Bora?Sijawahi kuona refa utopolo kama huyu.
Rushwa kiaje fafanua
Refa achunguzwe na takukuru,***** zakeRefa mjinga Sana
Timu iliyoongoza kuwaponza marefarii kufungiwa game vs namungo game vs polisi na game vs mwadui zote zililalamikiwa kwa magoli ya offside na kuwatia matatizoni marefarii ajabu eti leo wanajifanya mahakimu!Mikia kwa maneno!!yaani mara hii tu umesahau jinsi tff walivyowahonga ubingwa?
Hujitambui.
kujua nani bora kaangalie marudio kwenye youtube na pia kaangalie mechi ya yanga na azam na mechi ya yanga na namungo halafu uwalinganisheSamahani...sijaangalia mechi ya leo...ila kwa maoni yako unadhani Kati ya yule aliyechezesha mechi ya Simba na Yanga ya 2-2 na huyu wa Leo ni nani Bora?
ajabu mechi zote hizo ,liokuwa mnalalamika ni nyie ila hujazungumzia mechi ya yanga na namungo, yanga na azam na mechi ya leo na kageraTimu iliyoongoza kuwaponza marefarii kufungiwa game vs namungo game vs polisi na game vs mwadui zote zililalamikiwa kwa magoli ya offside na kuwatia matatizoni marefarii ajabu eti leo wanajifanya mahakimu!
kuna tatizo kwa bodi ya ligi na kamati ya waamuzi kwanza malalamiko yanayowahusu marefa wanaoboronga mechi za yanga hayatolewi maamuzi kwa wakati halafu kwanini tu yanga ibebweSijawahi ona Refa Mpumbavu kama huyu