Hapa siyo mahakamani..hakuna kesi hapa..ipo taarifa kuhusu uchunguzi/utafiti uliofanywaLete ushahidi/ kumbukumbu ya hizo mechi tuone. Sio kuleta habari za kwenye vijiwe kwenye jukwaa unaloweza kuleta hadi ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa siyo mahakamani..hakuna kesi hapa..ipo taarifa kuhusu uchunguzi/utafiti uliofanywaLete ushahidi/ kumbukumbu ya hizo mechi tuone. Sio kuleta habari za kwenye vijiwe kwenye jukwaa unaloweza kuleta hadi ushahidi
SawaTuko pamoja, sasa waambie pia wafanye uchambuzi yanga wamepora points ngapi kwa kubebwa halafu uje hapa tulinganishe
Kagera namna gani tena😐
Kagera bana..
Hahahahaaaa. Poleni.Utopolo
Daaah!! Mtani hali ilikuwa tete.
🤣🤣🤣🤣 line man mlipa shilingi ngapi, maana Moringa alipigwa daluga nje ya boksi refa akatenga lineman akauchuna kama hakuona vile. Ila jana ile penati mlitembelea mbeleko.Daaah!! Mtani hali ilikuwa tete.
Ila mujiandae tunawasubiria. Msitukimbie tu. 😎
🤣🤣 Mtani refa naye ni binadamu eti. 😎🤣🤣🤣🤣 line man mlipa shilingi ngapi, maana Moringa alipigwa daluga nje ya boksi refa akatenga lineman akauchuna kama hakuona vile. Ila jana ile penati mlitembelea mbeleko.
😀😀😀 Swahiba!! Hapo mioyo inawadunda kila wakiiwaza jioniMbumbumbu wote wameenda kunywa dawa za maumivu na kupiga nyungu
Maumivu yao hayapoi leo wanajua kuwa wanaaga mashindano[emoji3][emoji3][emoji3] Swahiba!! Hapo mioyo inawadunda kila wakiiwaza jioni
Tuwaombe tu wamfunge Azam.
Mtani Azam tunamlamba kisha mto msimbazi unafurika hadi jangwani. Na hatusubiri finali ni nusu fainali tu tukutane msije mkatutoroka🤣🤣 Mtani refa naye ni binadamu eti. 😎
Na kwa kuwa tushasonga mbele mfunge Azam leo usitukimbie.
Toa uchambuzi wako game ya yanga n azamLabda refa wa jana alilamba posho, maana mwishoni hata mchezaji wa Kagera akipulizwa na upepo refa alikuwa anatenga faulo
Juma Nyoso alimchezea rafu mbaya Molinga lakini hakupewa hata kadi ya njano
Acha mechi zote, acha hata ile ya Yanga ambayo Kagere alipewa penati akifanyiwa faulo nje ya 18, acha yale magoli ya offside ya simba ya mechi dhidi ya Polisi na Namungo, acha yale magoli ambayo kapombe anapiga krosi kutoka nje ya Uwanja na Kagere anafunga, acha mechi yenu ya FA dhidi ya Mwadui refa anasema forward wa Mwadui kaotea wakati hajaotea.
Tuongelee mechi ya juzi dhidi ya Prison, mechi iliyowapa ubingwa, mechi ambayo beki wenu anashika mpira kwenye penati box lakini refa anapeta. Nina mifano mingi sana ya mechi mlizobebwa, nimechoka ku type.
Toa uchambuzi wako game ya yanga n azam
Hahahaaa. Wacha maumivu yawaendeleea tu Swahiba.Maumivu yao hayapoi leo wanajua kuwa wanaaga mashindano
Kila la kheri Mtani.Mtani Azam tunamlamba kisha mto msimbazi unafurika hadi jangwani. Na hatusubiri finali ni nusu fainali tu tukutane msije mkatutoroka
Kaomba radhi leo kwa kuchezesha vibaya mchezo wa janamanina refa kabeti. yule Yanga hakuguswa
ile imeghushiwa mkuuKaomba radhi leo kwa kuchezesha vibaya mchezo wa jana
Makosa ya uamuzi mechi za Simba ndio sheria 17?
Makosa ya uamuzi mechi za Simba ndio sheria 17?