Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.

Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.

Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.

Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Kwa mujibu wa dini ipi kaka? Kihindu ,kiislamu, kibudha, kikrsto au kiyahudi au dini zetu za kibantu! Msomi unakua wazi umesema hivyo kwa mujibu wa mtazamo wa dini gani?
 
Mungu niwa ajabu hata watoto waliopatikana kwenye mazingira ya dhambi bado anawapa uhai kuna kina;
John Athuman
Fatuma James
Glory Ramadhan
Godfrey Mohamed
Ally Sebastian
Christopher Abdulkarim
Paskazia Hassan
Omary Charles.
Nikionaga hii mixture tu hata sihangaikagi kuuliza
😂😂😂😂😂
 
Mtoto sio haramu ila kapatikana njia ya haramu ..Kwa nn utoe hukumu mapema mno? Hakuna aliyependa kuwa ivyo inatokea tu kwa uzembe wa wazazi..

Wengi kati ya hao unaowaita haramu kibongobongo Wana mafanikio makubwa sana na ni wapambanaji.
 
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.

Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.

Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.

Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
"......kinyume na mipango ya Mungu..."

☝️☝️☝️ Hapo juu ni Mungu gani unamuabudu ambaye mipango yake inapinduliwa na Kiumbe alichokiumba ?
 
Dini zingine ni upotoshaji tu. Viunge vya uzazi kazi yake kuleta viumbe Duniani. Bila kufanya mapenzi hakuna mtoto . Na mtoto ni mimi na wewe. Habari ya ndoa ni vitu vya kutunga tu. Hakuna mtoto haramu ila dini ndiyo haramu Kwa sababu zinaenda kinyume na Hali halisi ya mwanadamu. Jiulize Kwanini mwanamke ana kawaida ya kupata siku take 28. Au kwanini mwanaume anatoa mbegu sana.
 
Dini zingine ni upotoshaji tu. Viunge vya uzazi kazi yake kuleta viumbe Duniani. Bila kufanya mapenzi hakuna mtoto . Na mtoto ni mimi na wewe. Habari ya ndoa ni vitu vya kutunga tu. Hakuna mtoto haramu ila dini ndiyo haramu Kwa sababu zinaenda kinyume na Hali halisi ya mwanadamu. Jiulize Kwanini mwanamke ana kawaida ya kupata siku take 28. Au kwanini mwanaume anatoa mbegu sana.
Kila kitu unacho kiona duniani kimewekewa utaratibu wa kukifanya na sio kufanya hovyohovyo tu.
 
Mtoto sio haramu ila kapatikana njia ya haramu ..Kwa nn utoe hukumu mapema mno? Hakuna aliyependa kuwa ivyo inatokea tu kwa uzembe wa wazazi..

Wengi kati ya hao unaowaita haramu kibongobongo Wana mafanikio makubwa sana na ni wapambanaji.
Mleta mada hajaweka wazi kusema kwake Uanaharamu amebase kidini au kwa kuangalia jambo gani! kwenye Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni waharamu na hana haki hata ya kurithi mali ya huyo Baba yake.
 
Dini zingine ni upotoshaji tu. Viunge vya uzazi kazi yake kuleta viumbe Duniani. Bila kufanya mapenzi hakuna mtoto . Na mtoto ni mimi na wewe. Habari ya ndoa ni vitu vya kutunga tu. Hakuna mtoto haramu ila dini ndiyo haramu Kwa sababu zinaenda kinyume na Hali halisi ya mwanadamu. Jiulize Kwanini mwanamke ana kawaida ya kupata siku take 28. Au kwanini mwanaume anatoa mbegu sana.
Kitu chochote kilichopatikana kwa njia abazo sio za halali hua ni haramu.
 
Mleta mada hajaweka wazi kusema kwake Uanaharamu amebase kidini au kwa kuangalia jambo gani! kwenye Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni waharamu na hana haki hata ya kurithi mali ya huyo Baba yake.
Kidini ni bastard tu
 
Back
Top Bottom