Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Kila kitu unacho kiona duniani kimewekewa utaratibu wa kukifanya na sio kufanya hovyohovyo tu.
Kufanya mapenzi Kuna utaratibu gani. Kwani nyege hutafutwa au hujileta
 
Mungu niwa ajabu hata watoto waliopatikana kwenye mazingira ya dhambi bado anawapa uhai kuna kina;
John Athuman
Fatuma James
Glory Ramadhan
Godfrey Mohamed
Ally Sebastian
Christopher Abdulkarim
Paskazia Hassan
Omary Charles.
Nikionaga hii mixture tu hata sihangaikagi kuuliza
Fact🤣
 
Sawa mwana haramu-hongera sana kwa uzi mtamu hivi
 
Kufanya mapenzi Kuna utaratibu gani. Kwani nyege hutafutwa au hujileta
Kama hakuna utaratibu mbona huendi kufanya hayo mapenzi hadharani mbele za watu kama wanyama badala yake unaenda kujificha vyumbani?
 
We jamaa!

Umevuka mipaka!

Unamaanisha Nani kazaliwat nje ya ndoa!!?

Yaani yupi!?

Hii spana ni ya nani hasa!!?

Mbona kama naijua!we Jamaa Wewe!!

Kwamba Mtoto haramu yupo KWA ofisi ipi!?nakiona tu! Haya poa!

Sawa ngoja nione!!
 
Kwa hiyo ww ulianza kufanya ngono ukiwa na miaka 12? Basi kumbe ndo maana akili zako zimekaa kingono ngono.

kwa hiyo ndo umemaliza hapo kunijibu, amakweli ukifuatilia hizi dini unakuwa kama zuzu, muda wote unatakiwa uwe ndani ya box ukitoka unakuwa kama kimaro
 
Haramu ikoje
IMG-20230116-WA0047.jpg
 
Kwa mujibu wa Historia inaonesha Wenzetu Waarabu walipokuwa wakifanya biashara ya Utumwa Karne ya 7 hadi 8 pamoja na matokeo mengine ndiyo walisambaza Dini ya Kiislamu na Uislamu kwa Ujumla.

Kabla ya hapo MaBabu zetu waliweza Kuoa na kuwa na familia Kwa mujibu wa tamaduni zao.

Walipokuja Wamisionari, pamoja na kufanya shughuli zao za kutafuta Maliasili na Utajiri wa Bara letu la Afrika waliweza kuanzisha na kueneza Dini ya Kikristo.

Kabla ya hapo Babu zetu walikuwa na Ndoa zao ziwe za Kimila au nini.

Kwa muktadha huo, Kama kuwa Watoto wa Nje ya Ndoa, Basi Afrika yote tumezaliwa Nje ya Ndoa akiwemo Mtoa Mada.

Wacha ku complicate maisha kwa Tamaduni ulizoletewa na Waarabu na Wazungu.

Jiulize kwanini hatuna Mtume mweusi Kati ya hao Wawili tunaowaabudu iwe upande huu au upande Ule?
 
Kwa mujibu wa Historia inaonesha Wenzetu Waarabu walipokuwa wakifanya biashara ya Utumwa Karne ya 7 hadi 8 pamoja na matokeo mengine ndiyo walisambaza Dini ya Kiislamu na Uislamu kwa Ujumla.

Kabla ya hapo MaBabu zetu waliweza Kuoa na kuwa na familia Kwa mujibu wa tamaduni zao.

Walipokuja Wamisionari, pamoja na kufanya shughuli zao za kutafuta Maliasili na Utajiri wa Bara letu la Afrika waliweza kuanzisha na kueneza Dini ya Kikristo.

Kabla ya hapo Babu zetu walikuwa na Ndoa zao ziwe za Kimila au nini.

Kwa muktadha huo, Kama kuwa Watoto wa Nje ya Ndoa, Basi Afrika yote tumezaliwa Nje ya Ndoa akiwemo Mtoa Mada.

Wacha ku complicate maisha kwa Tamaduni ulizoletewa na Waarabu na Wazungu.

Jiulize kwanini hatuna Mtume mweusi Kati ya hao Wawili tunaowaabudu iwe upande huu au upande Ule?
We unasali wapi mkuu
 
We jamaa!

Umevuka mipaka!

Unamaanisha Nani kazaliwat nje ya ndoa!!?

Yaani yupi!?

Hii spana ni ya nani hasa!!?

Mbona kama naijua!we Jamaa Wewe!!

Kwamba Mtoto haramu yupo KWA ofisi ipi!?nakiona tu! Haya poa!

Sawa ngoja nione!!
Ahaa haya bana
 
Mungu niwa ajabu hata watoto waliopatikana kwenye mazingira ya dhambi bado anawapa uhai kuna kina;
John Athuman
Fatuma James
Glory Ramadhan
Godfrey Mohamed
Ally Sebastian
Christopher Abdulkarim
Paskazia Hassan
Omary Charles.
Nikionaga hii mixture tu hata sihangaikagi kuuliza
Diamond
 
Kwa kuwa mtoto hakuwaomba wazazi wamzae hivyo basi hakuna mtoto wa Haram bali kuna wazazi haramu....
 
Back
Top Bottom