To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Yeah,watulaumu siyeKwa kuwa mtoto hakuwaomba wazazi wamzae hivyo basi hakuna mtoto wa Haram bali kuna wazazi haramu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah,watulaumu siyeKwa kuwa mtoto hakuwaomba wazazi wamzae hivyo basi hakuna mtoto wa Haram bali kuna wazazi haramu....
Na waliweza aisee!Religion is a tool for division
Mtoto awe wa kiume au wa kike anaye anza kujihusisha na ngono kwa umri huo ni kielelezo kuwa anatoka familia ya hovyo.kwa hiyo ndo umemaliza hapo kunijibu, amakweli ukifuatilia hizi dini unakuwa kama zuzu, muda wote unatakiwa uwe ndani ya box ukitoka unakuwa kama kimaro
Mungu huyo huyo ndo anasema watoto wa nje ya ndoa ni haramu.Mungu akusamehe kwa maana hujui ulitendalo
Walituweza kweliNa waliweza aisee!
Imagine Kuna mtu mnaweza hadi kugombana eti kisa hilo jambo la Imani.
Ukiangalia Imani yenyewe tumeletewa na Waarabu na Wazungu.
Bora tungeendelea na Imani zetu za Kusali kwenye Mapango na kwenye Miti Mikubwa tu 🤪
Wacha tuendelee kuwa waaminifu kwa Mungu wetu tunaye muamini.Walituweza kweli
Kwa kukusahohisha kidogo Mzungu na Mwarabu wote walifanya biashara ya utumwa.Kwa mujibu wa Historia inaonesha Wenzetu Waarabu walipokuwa wakifanya biashara ya Utumwa Karne ya 7 hadi 8 pamoja na matokeo mengine ndiyo walisambaza Dini ya Kiislamu na Uislamu kwa Ujumla.
Kabla ya hapo MaBabu zetu waliweza Kuoa na kuwa na familia Kwa mujibu wa tamaduni zao.
Walipokuja Wamisionari, pamoja na kufanya shughuli zao za kutafuta Maliasili na Utajiri wa Bara letu la Afrika waliweza kuanzisha na kueneza Dini ya Kikristo.
Kabla ya hapo Babu zetu walikuwa na Ndoa zao ziwe za Kimila au nini.
Kwa muktadha huo, Kama kuwa Watoto wa Nje ya Ndoa, Basi Afrika yote tumezaliwa Nje ya Ndoa akiwemo Mtoa Mada.
Wacha ku complicate maisha kwa Tamaduni ulizoletewa na Waarabu na Wazungu.
Jiulize kwanini hatuna Mtume mweusi Kati ya hao Wawili tunaowaabudu iwe upande huu au upande Ule?
Mtoto wa nje ya ndoa hawezi kuwa imamu wa kuswalisha msikitiniMtoto kazaliwa nje ya ndoa badae katokea kapata mafuzo ya dini Kawa sheikh au mchungaji ivi huyu tumiataje sheikh haramu au mchungaji haramu
Kabla hizo dini za Wazungu na waarabu Kuja Afrika Hilo neno Mtoto haramu halikuwepo kabisa.Kwa kukusahohisha kidogo Mzungu na Mwarabu wote walifanya biashara ya utumwa.
Kule Wamisionari walihusika kubaliki maslave master na huku masheikh walihusika kuwa bega kwa bega na slave Master au wenyewe kuwa slave master.
Kitanda hakizai haramu ila kitanda hakijawahi zaa.
Mtoto wa nje ya Ndoa ni mwanaharamu
Tuseme ndio mtoto ambaye baba yake alikuwa Mwana haramu ila yeye akazaliwa ndani ya Ndoa ni halali au haramu?
Ila vitu haramu ndio vitamu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwa hiyo tunakubaliana hizi dini ni uongo tu na tunzi za Wanadamu.Kabla hizo dini za Wazungu na waarabu Kuja Afrika Hilo neno Mtoto haramu halikuwepo kabisa.
Kwani Mfalme Suleimani wale wake zake 700 alifungishwa ndoa na mchungaji/ sheikh gani?
Kuna tofauti ya maneno hayaTusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.
Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.
Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.
Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Sasa mbona nikisemaga wewe ni muisiharamu unaletaga ukaidiKitu chochote kilichopatikana kwa njia abazo sio za halali hua ni haramu.
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.
Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.
Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.
Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Kabisa🤣😂😂😂hata wasipofanikiwa...bado it is non of his business... Na bado tunazaa...ajiue bas
Eti mazingira ya dhambi😂😂😂hizo dini zenu Zina mamboMungu niwa ajabu hata watoto waliopatikana kwenye mazingira ya dhambi bado anawapa uhai kuna kina;
John Athuman
Fatuma James
Glory Ramadhan
Godfrey Mohamed
Ally Sebastian
Christopher Abdulkarim
Paskazia Hassan
Omary Charles.
Nikionaga hii mixture tu hata sihangaikagi kuuliza