Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

Naona mada imewagusa wana haramu wanamakasiriko😂😂😂😂
 
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.

Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.

Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.

Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Ni vitu/privileges gani mtoto aliyezaliwa ndoani anavyo na ni privileges gani huyo mtoto unayesema kazaliwa nje ya ndoa hana?
 
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.

Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.

Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.

Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Huo uwanaharam ni wewe umesema sio Mungu ambaye alisema tuje duniani tuongezeke tunaongezeka vipi bila kujamiiiiana??
 
Apo ndo tunaposhindwana na wakristo kwa kuwasingizia maovu mitume ya Mungu mara walevi,wazinzi
Ivi kweli kabisa huo ukristo unakufundisheni huu uongo?

Ety mtume wa Mungu anazini mara alewe embu fikirieni mara mbili mbili basi
Sisi tumefundishwa mitume walikuwa binadamu kama sisi, ninyi mmefundishwa mitume wenu walikuwa ni viumbe wa aina gani?
 
Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.
Nakuona ushuzi mtoa post kwa hiki ki statement

Yaan usiwe ktk mipango ya Mungu afu uzaliwe? Maana ake kuna nguvu kubwa yenye kuamua mipango isiyo ya kimungu.
 
Haramu ndo ili mkuu??
Unajua utamu wa kitimoto wewe...!!?
 
Sasa wasingezaliwa wangejuaje kuwa hakuzaliwa,,,,, mambo mengine yamejaa utapeli tu na nayaona kabisa hayana maan
Sasa wasingezaliwa wangejuaje kuwa hakuzaliwa,,,,, mambo mengine yamejaa utapeli tu na nayaona kabisa hayana maan
Ni vitu/privileges gani mtoto aliyezaliwa ndoani anavyo na ni privileges gani huyo mtoto unayesema kazaliwa nje ya ndoa hana?
Kwa waislam hawezi kuwa mrithi wa mali za babaye.
Kwa wakristo angalia nchi kama England ukizaliwa na bava mfalme we ni bastard sio prince,huwezi kurithi hata ufalme,ofcoz kama baba yako ni tajiri ikatokea akafa ndio utajua umuhimu wake ila kwa masikini hakuna shida
 
Nakuona ushuzi mtoa post kwa hiki ki statement

Yaan usiwe ktk mipango ya Mungu afu uzaliwe? Maana ake kuna nguvu kubwa yenye kuamua mipango isiyo ya kimungu.
Hujaona majambazi yanaiba yanatajirika?kuiba ni mpango wa Mungu
 
Watoto wengi wa nje ya ndoa ndio waliofanikiwa/wanaofanikiwa.

Mwanaharamu menyewe!
Na mfano halisi ni Suleiman , alizaliwa kwa mama wa kuiba yaani mamake Suleiman aliachishwa kuwa mke wa Uria (ndoa ilivunjwa) kwa lazima ya mfalme Daud ila hiyo ndoa yenye uharamu ikamzaa mtu tajiri na mwenye hekima zaidi katika uzao wote wa dunia tangu ilipoumbwa
 
Kwa waislam hawezi kuwa mrithi wa mali za babaye.
Kwa wakristo angalia nchi kama England ukizaliwa na bava mfalme we ni bastard sio prince,huwezi kurithi hata ufalme,ofcoz kama baba yako ni tajiri ikatokea akafa ndio utajua umuhimu wake ila kwa masikini hakuna shida
Tusaidie maana ya neno haram kijana maana ishu za kurithi hazidhihirishi uharamu wowote zaid ya kuwa ndiyo utaratibu wa Mungu tu nitakupa mfano:-
Mungu aliagiza watu wapumzike siku ya sabato na akadai ni siku takatifu kwake soma hapa
[emoji116]
2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya.
Mwanzo 2:2

3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Mwanzo 2:3

Na

11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
Kutoka 20:11

Kinyume cha baraka ni laana hivyo kama Siku ya saba ilibarikiwa basi kwa mantiki yenu siku nyingine zimelaaniwa.

Je,siku nyingine nje ya hii ya saba zimelaaniwa?
 
Mwana wa haramu maana yake walio zaa ndiyo wamefanya haramu na mwana haramu maana yake yule aliye zaliwa ndiyo haramu
Zanzibar wanafatilia sana sheria za ndoa yani mtoto akizaliwa nje ya ndoa anaishi bira furaha na anakosa upendo kutoka kwa kwenye familia ya Baba yake mzazi, yani utakuta kwenye familia anaweza kupendwa mtoto yatima kuliko mtoto wa nje ya ndoa, Kuna rafiki yangu aliniambia yeye ni mtoto wa nje ya ndoa kuna kipindi alienda kumsalimia Baba yake alipofika nyumbani kwa Baba yake huyo baba yake akamkataza kumuita Baba ila amuite mzee Juma kwasababu huyu Baba yake ana mke na ataki mke wake ajue kama alizaa nje ya ndoa, Kwakifupi Wazanzibari wana piga vita sana kuzaa nje ya ndoa na mtoto wa nje ya ndoa hana thamani kabisa kwenye familia ya Baba yani wakijua kijana wakiume kazaa nje ya ndoa huyo mtoto ataishi na kulelewa upande wa Mama tu.
 
Sisi tumefundishwa mitume walikuwa binadamu kama sisi, ninyi mmefundishwa mitume wenu walikuwa ni viumbe wa aina gani?
Wao wamefundishwa eti mitume hawakosei cha ajabu Mohammad alitajwa ndani ya Quran kuwa ana dhambi
 
Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.

Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.

Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.

Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu
Ndoa ni nini?
 
Back
Top Bottom