monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekutana nayo tu njiani nilikua napitaUnatafuta nini hapa pastor?
Aah wap kulowa ni process ndefuuKwa hiyo wee ukiona tdh kyupi inalowana kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi navutiwa kwanza na muonekano. Hayo mengine baadae.Mwanamke attention yake ya kwanza ni kwenye vitu ulivyonavyo na sio umbile
Ndo mana ili kumpata mwanamke kama kitu hapo ukipata chance mdanganye kuwa unacho, atakuamini, ukiwa na kitu hata kama umeazima watakuamini they don't need any proof.
Kumbe mnajua kuwa muonekano ndio unamvutia mtuu lakini mnanikandia hapa hoo mzabzab naangalia tako sana. Sasa sii ndio kinachonivutia.Mimi navutiwa kwanza na muonekano. Hayo mengine badae.
kumbe na ninyi mnatesekaga 😁Athanteee yule mtoto wa mama mkwe kweli siku nilikutana nae kikazi moyo ulistuka ila ndo hivyo dah yule kaka majuu sana he is smart he speaks nice anyway!!!! Kazi ya macho ni kuona kweli ukimuona mtu face to face ndo majibu unapata. Anywayyyyyyyy
Wapi nimekukandia hebu nioneshe.Kumbe mnajua kuwa muonekano ndio unamvutia mtuu lakini mnanikandia hapa hoo mzabzab naangalia tako sana. Sasa sii ndio kinachonivutia.
Ngoja niangalie mafile nitakupa mrejesho soonWapi nimekukandia ebu nioneshe.
Huwa unawafata au unasubiri wakufuate?Ninajitahidi kununua vinguo,nina ndefu nazinyoa vzr,mrefu kidogo, nasukuma gari za wana lakini mbona sipati hao wanawake sasa
😂 Nina hakika utatoka kapaNgoja niangalie mafile nitakupa mrejesho soon
[emoji28]Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume hasa wale wenye noti zao
Yes akifiti vile vigezo vya moyo basi unatamani hata kumuandikia barua.ila ndo hivyo mtoto wa kike staha.kumbe na ninyi mnatesekaga 😁
Mnaogopaga kujirahisisha, ila ujue mwanamke ambae hatusumbuagi tunamuheshimu kuliko yule anaekula pesa alafu anateleza... siku akipatikana ndio anatolewaga hasira sasa.Yes akifiti vile vigezo vya moyo basi unatamani hata kumuandikia barua.ila ndo hivyo mtoto wa kike staha.