Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]
Sikumbuki vema, ila nadhani hoja ilikuwa kupenda na sio kutamani. Hata hivyo hayo uliyoandika yana uhalisia kwa wale waliojazwa fikra potofu, lakini kiukweli kabisa, mwanamke hayuko hivyo ulivyosema. Hayo uliyosema ni matokeo ya feminism na sexual revolution.
Umetoa wapi???Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye (mwanamke/mwanaume) kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Basi huna ulijuslo ndugu. Hicho kilichoandikwa ni modern view lakini ukweli (nature) asili ya mwanamke ni tofauti kabisa. Sijaandika mengi ila kadri muda unavyokwenda utajifunza kwa nini mwanamke na mwanamume ni tofauti, hata katika namna wanavyoyatazama mambo. Hiyo hoja ni kwa effeminate male, lakini kwa wanaume na wanawake halisi hakuna ukweli hapo.You know little about women.
Alichokiandika Threader( Robert) ni kweli tupu na ni hakika.
Mwanamke attention yake ya kwanza ni kwenye vitu ulivyonavyo na sio umbile
Ndio maana ili kumpata mwanamke kama kitu hapo ukipata chance mdanganye kuwa unacho, atakuamini, Ukiwa na kitu hata kama umeazima watakuamini they don't need any proof.
Yes akifiti vile vigezo vya moyo basi unatamani hata kumuandikia barua.ila ndo hivyo mtoto wa kike staha.
Athanteee yule mtoto wa mama mkwe kweli siku nilikutana nae kikazi moyo ulistuka ila ndo hivyo dah yule kaka majuu sana he is smart he speaks nice anyway!!!! Kazi ya macho ni kuona kweli ukimuona mtu face to face ndo majibu unapata. Anywayyyyyyyy
Wanaume tukitamani huwa tunadhihirisha hisia zetu ila wanawake huwa wanalowanisha vyupi tu. Hata kama una mke ni mara chache sana mkeo akasema waziwazi kuwa anatamani ufanye nae tendo muda huo, atakuonesha ishara ishara ru ambazo ww kama mwanaume unatakiwa uilewe code ina maanisha nn.
Mwanamke akikutamani huwa anapenda sana mkutanishe macho yenu kisha yeye huwahi kuyaondoa kwa aibu, wanapenda kuchekacheka au kujichekesha kwa wanaume wanaowatamani, kung'ata kucha,kulamba lips, kushikashika nywele huku chupi zikiwa zimechafuka kwa ute flani mwepesi.
Mbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]
Tunatamani ndio ila sio kwa kiwango chenu wanaume.
Kuna siku nilikuwa nalimalima hapa nyumbani kuizunguka nyumba yangu, ni sehemu ambayo Haina mishe mishe sana yaani ni mtu Mmoja mmoja tu ndiyo anapita,
Basi baada ya jua kuwa limekolea nikaamua kutoa shati nikabaki na singlend si najiamini hakuna wapita njia wengi, nikaendelea na shughuli zangu nikivutavuta majani, akapita mwanamke mmoja si mrembo sana ila ana shepu na tunafahamiana.
Basi kanisalimia huku akinipigisha stori za hapa na pale ila Mimi nikawa bize na kazi huku tunaongea, ila nilishangaa mbona ananipigisha stori kwani hachelewi aendako?
basi kwa kuwa namba yangu anayo mida ya jioni akanitumia sms inayosomeka hivi.
"Nakutia hatiani umeniumiza sana muda ule, halafu sijui upoje hata hukunielewa baba wewe, siyo kwa hiyo minywele yako kifuani khaaaah,
Kama nimekukosea nisamehe sana maana nimeshindwa kuvumilia mwenzio sema mindevu yako mibayaaa unyowe bhanaaa"
Ujumbe huu ulinistua sana nikagundua kweli wanawake ni dhaifu tu kama sisi na wanatamani hasa .Nikakumbuka hata mke wangu huwa hapendi niwe na singlend bila shati
ROBERT HERIEL kwani ufupi mwisho futi ngapi? Naomba unijuze hili
Huu ni ukweli,, huwa tunatamanigi Ila kumfata muhusika sasa na kumuelezea ni sheeeda. Ndo nikimuelewa mtu na akanifata, huwa silembi fasta tuu nakubali,[emoji1][emoji1][emoji1]
Priva wa clouds❤️😍😋😋yule Kaka Jamani...uwiii... .nyieeee 😂
Acha sie kina kingwendu tukae kando
Ndio au nmesema tofauti?😀😀😀
Sasa Sisi si wanaume Mkuu.
Mbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]