Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

Kuna siku nilikuwa nalimalima hapa nyumbani kuizunguka nyumba yangu, ni sehemu ambayo Haina mishe mishe sana yaani ni mtu Mmoja mmoja tu ndiyo anapita,

Basi baada ya jua kuwa limekolea nikaamua kutoa shati nikabaki na singlend si najiamini hakuna wapita njia wengi, nikaendelea na shughuli zangu nikivutavuta majani, akapita mwanamke mmoja si mrembo sana ila ana shepu na tunafahamiana.

Basi kanisalimia huku akinipigisha stori za hapa na pale ila Mimi nikawa bize na kazi huku tunaongea, ila nilishangaa mbona ananipigisha stori kwani hachelewi aendako?
basi kwa kuwa namba yangu anayo mida ya jioni akanitumia sms inayosomeka hivi.

"Nakutia hatiani umeniumiza sana muda ule, halafu sijui upoje hata hukunielewa baba wewe, siyo kwa hiyo minywele yako kifuani khaaaah,
Kama nimekukosea nisamehe sana maana nimeshindwa kuvumilia mwenzio sema mindevu yako mibayaaa unyowe bhanaaa"

Ujumbe huu ulinistua sana nikagundua kweli wanawake ni dhaifu tu kama sisi na wanatamani hasa .Nikakumbuka hata mke wangu huwa hapendi niwe na singlend bila shati
 
mnaogopaga kujirahisisha, ila ujue mwanamke ambae hatusumbuagi tunamuheshimu kuliko yule anaekula pesa alafu anateleza... siku akipatikana ndio anatolewaga hasira sasa
Ukweli mtupu. More respect kwa mwanamke anayekukubali mapema kuliko anayekupiga mizinga tuu na mbususu hatoi
 
Kuna siku nilikuwa nalimalima hapa nyumbani kuizunguka nyumba yangu, ni sehemu ambayo Haina mishe mishe sana yaani ni mtu Mmoja mmoja tu ndiyo anapita,

Basi baada ya jua kuwa limekolea nikaamua kutoa shati nikabaki na singlend si najiamini hakuna wapita njia wengi, nikaendelea na shughuli zangu nikivutavuta majani, akapita mwanamke mmoja si mrembo sana ila ana shepu na tunafahamiana.

Basi kanisalimia huku akinipigisha stori za hapa na pale ila Mimi nikawa bize na kazi huku tunaongea, ila nilishangaa mbona ananipigisha stori kwani hachelewi aendako?
basi kwa kuwa namba yangu anayo mida ya jioni akanitumia sms inayosomeka hivi.

"Nakutia hatiani umeniumiza sana muda ule, halafu sijui upoje hata hukunielewa baba wewe, siyo kwa hiyo minywele yako kifuani khaaaah,
Kama nimekukosea nisamehe sana maana nimeshindwa kuvumilia mwenzio sema mindevu yako mibayaaa unyowe bhanaaa"

Ujumbe huu ulinistua sana nikagundua kweli wanawake ni dhaifu tu kama sisi na wanatamani hasa .Nikakumbuka hata mke wangu huwa hapendi niwe na singlend bila shati
Mzeya garden love lako limemlowesha kyupi mrembo 🤣🤣🤣🤣
 
Ninajitahidi kununua vinguo,nina ndefu nazinyoa vzr,mrefu kidogo, nasukuma gari za wana lakini mbona sipati hao wanawake sasa
Mwanamke hapendi kuwa na mwanamke mwenzake, ukizidisha mambo Fulani unakuwa huna tofauti na mwanamke.
 
Kuna siku nilikuwa nalimalima hapa nyumbani kuizunguka nyumba yangu, ni sehemu ambayo Haina mishe mishe sana yaani ni mtu Mmoja mmoja tu ndiyo anapita,

Basi baada ya jua kuwa limekolea nikaamua kutoa shati nikabaki na singlend si najiamini hakuna wapita njia wengi, nikaendelea na shughuli zangu nikivutavuta majani, akapita mwanamke mmoja si mrembo sana ila ana shepu na tunafahamiana.

Basi kanisalimia huku akinipigisha stori za hapa na pale ila Mimi nikawa bize na kazi huku tunaongea, ila nilishangaa mbona ananipigisha stori kwani hachelewi aendako?
basi kwa kuwa namba yangu anayo mida ya jioni akanitumia sms inayosomeka hivi.

"Nakutia hatiani umeniumiza sana muda ule, halafu sijui upoje hata hukunielewa baba wewe, siyo kwa hiyo minywele yako kifuani khaaaah,
Kama nimekukosea nisamehe sana maana nimeshindwa kuvumilia mwenzio sema mindevu yako mibayaaa unyowe bhanaaa"

Ujumbe huu ulinistua sana nikagundua kweli wanawake ni dhaifu tu kama sisi na wanatamani hasa .Nikakumbuka hata mke wangu huwa hapendi niwe na singlend bila shati
Huyu bado hajajiunga na Vicoba.
 
Huu ni ukweli,, huwa tunatamanigi Ila kumfata muhusika sasa na kumuelezea ni sheeeda. Ndo nikimuelewa mtu na akanifata, huwa silembi fasta tuu nakubali,[emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa unashindwaje kutumia feminine side yako kumvuta kidume jamani
 
Na siku hizi nihatari Sana Hawa wanawake

Wakati mwingine napokuwa safari wananipa shida ila daaaaah
 
Back
Top Bottom