Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.
Hivi 400 ina sirii gani sijui huyu kala wanawake 400 mara wewe umesoma vitabu 400 sasa naomba kujua mia nne ina siri gani?
 
Nakubaliana na wewe.
 
Brother mwenye uzi huu ubarikiwe nilisoma vitabu viwili tu hapo hicho cha Robin na cha James vilinibadilisha sana.

Matokeo yake
Nimepata connection na watu wanaopenda vitabu kama mimi wapo USA .

Nimepata nafasi ya kutafsiri hicho kitabu cha Robin na James kwa kiswahili.

Nimejifunza digital translation and interpretation ambayo mwanzo sikuijua.

Nimejifunza graphics and designs kwa kujisomea tu.

Mwishi elimu haina mwisho kutokana na juhudi nilizozionesha nimepata sponsorship ya kufanya Masters.

Tusiache kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…