Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

Watu wanaweza dhani ni chai ila kweli kabisa, mie nimejifunza saving kwa ajili tu ya kusoma kitabu LOVE YOURSELF PAY YOURSELF FIRST nimetoa mule mbinu na kuibeba kama ilivyo imefanya kazi na inaendelea kufanya kazi.
Kumbe tupo wengi😃
 
Watu wanaweza dhani ni chai ila kweli kabisa, mie nimejifunza saving kwa ajili tu ya kusoma kitabu LOVE YOURSELF PAY YOURSELF FIRST nimetoa mule mbinu na kuibeba kama ilivyo imefanya kazi na inaendelea kufanya kazi.
Ongeza na THE RICHEST MAN IN THE BABYLON unakuwa kama muhindi.[emoji1787][emoji1787]
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Hili kwangu ni tatizo sugu kushika kitabu nisome ,sijui
 
Hongera sana mkuu! Ila usije ukaacha kazi kama rafiki yangu😀

Alikuwa Mwalimu wa Sekondari! Baada ya kukisoma kitabu nilichompatia - WHO WILL CRY WHEN YOU DIE by Robin Sharma, "aligundua" kuwa kazi aliyokuwa akiifanya siyo aliyopaswa kuifanya, akaamua kuiacha na kwenda kwenye "yenyewe"
😅😅😅
 
Nilisoma kitabu kinaitwa "Jijenge kimawazo" mwandishi ni Clement Fumbuka,kilikuwa kitabu kizuri sana nani anamjua mwandishi huyu na vitabu alivyoandika upatikanaji wake?
 
Nmeanza kukisoma kina ile Old English ya thee, thy basi mtafutano.....ila nitakisoma
Tumia dictionary inaitwa wordweb au English shwahili dictionary hakuna kitu kimeachwa sometimes kimondo kikinishinda naangalia humo kwenye hzo dictionary.
 
Tumia dictionary inaitwa wordweb au English shwahili dictionary hakuna kitu kimeachwa sometimes kimondo kikinishinda naangalia humo kwenye hzo dictionary.
Thanks, nikikwama huwa naangalia maana zake kwenye (gugu) translate.
 
Naomba pdf ya kitabu cha everyday hero manifesto cha Robbins Sharma kama unacho.
Hapana ndugu yangu sina, afu hata sijuagi site ya kupata vitabu. Mie huwa naomba tu kwa watu natumiwa.
 
Hapana ndugu yangu sina, afu hata sijuagi site ya kupata vitabu. Mie huwa naomba tu kwa watu natumiwa.
Maana nimekitafuta ebook sijakipata nikidowload Google inaniletea SUMMARY wakati mimi nataka fully ok thanks for your response.
 
Misamiati huwa inanipiga sometime, me mvivu kutafuta tafsiri ya maneno, btw nitajitahidi. Ahsante
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Jitahidi kusoma na vya Kiswahili ili kuboresha Kiswahili chako.
 
vitabu viuzwe bei ya kawaida afu viandikwe kwa lugha asilia(kiswahili) lasivyo ni mafumbo na sisi hatutaki kuhangaika navyo
 
1-Mlo kamili na bora
2-Elimu
3-Elimu ya kiroho
Hivi ndio vyakula vikuu vya akili,kikikosekana kimojawapo hapo ni shida
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Mbona wazee wa Kiislam wanakataa, wanasema kukariri Kiarab ndiyo mpango mzima wa maisha
 
Kuna Group la wasomaji wa vitabu whatsapp aliwahi kuweka uzi mtu mmoja humu, nimeutafuta uzi bila mafanikio, mwenye hiyo link naomba anitumue, admin ni Dr LL_mx
 
Back
Top Bottom