Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

Asikudanganye mtu, vitabu ni chakula muhimu sana cha akili

Hivi vitabu hakika vimenisaidia sana. Naomba nanyi mpate kitu pia kupitia hivi vitabu.

1. The richest man in babylon by George S. Clason.
Hiki kilisaidia sana kunikumbusha kuhusu kuweka AKIBA pamoja na mambo mengine ya kiuchumi.

2.The secret to love health and money by Rhonda Byrne
Hiki kilinisaidia sana kuhusu mahusiano, afya pamoja na kiuchumi.
 

Attachments

Hivi vitabu hakika vimenisaidia sana. Naomba nanyi mpate kitu pia kupitia hivi vitabu.

1. The richest man in babylon by George S. Clason.
Hiki kilisaidia sana kunikumbusha kuhusu kuweka AKIBA pamoja na mambo mengine ya kiuchumi.

2.The secret to love health and money by Rhonda Byrne
Hiki kilinisaidia sana kuhusu mahusiano, afya pamoja na kiuchumi.
✅👏👏👏
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Shukrani sana Kwa ushuhuda Mimi si msomaji sana nimesoma vitabu vichache sana na makala .

Kwa Sasa napomalizia mwaka huu nasoma vitabu hivi :
1.As a Man Thinks
2.Who will cry when you die
3.Unlock you're potential -Munroe(nakirudia)
4.Principle and power of vision- Munroe (nakirudia)

Hivyo vitabu viwili tu vilibadili mweleko wa maisha yangu nikiwa second year na naishi Kwa asilimia kubwa Yale niliyojifunza humo .Naheshimu sana.
Sipuuzi waandishi wa bongo kama kina :
Denis Mpagaze
Joel Nanauka
Kocha Makirita
Wana mambo mazuri pia ya kujituzna kwao.
 
Shukrani sana Kwa ushuhuda Mimi si msomaji sana nimesoma vitabu vichache sana na makala .

Kwa Sasa napomalizia mwaka huu nasoma vitabu hivi :
1.As a Man Thinks
2.Who will cry when you die
3.Unlock you're potential -Munroe(nakirudia)
4.Principle and power of vision- Munroe (nakirudia)

Hivyo vitabu viwili tu vilibadili mweleko wa maisha yangu nikiwa second year na naishi Kwa asilimia kubwa Yale niliyojifunza humo .Naheshimu sana.
Sipuuzi waandishi wa bongo kama kina :
Denis Mpagaze
Joel Nanauka
Kocha Makirita
Wana mambo mazuri pia ya kujituzna kwao.
Hongera sana mkuu! Ila usije ukaacha kazi kama rafiki yangu😀

Alikuwa Mwalimu wa Sekondari! Baada ya kukisoma kitabu nilichompatia - WHO WILL CRY WHEN YOU DIE by Robin Sharma, "aligundua" kuwa kazi aliyokuwa akiifanya siyo aliyopaswa kuifanya, akaamua kuiacha na kwenda kwenye "yenyewe"
 
Shukrani sana Kwa ushuhuda Mimi si msomaji sana nimesoma vitabu vichache sana na makala .

Kwa Sasa napomalizia mwaka huu nasoma vitabu hivi :
1.As a Man Thinks
2.Who will cry when you die
3.Unlock you're potential -Munroe(nakirudia)
4.Principle and power of vision- Munroe (nakirudia)

Hivyo vitabu viwili tu vilibadili mweleko wa maisha yangu nikiwa second year na naishi Kwa asilimia kubwa Yale niliyojifunza humo .Naheshimu sana.
Sipuuzi waandishi wa bongo kama kina :
Denis Mpagaze
Joel Nanauka
Kocha Makirita
Wana mambo mazuri pia ya kujituzna kwao.
Myles ni wamoto ajabu mwandishi hatari sana kati ya niliyowai pitia kazi zao nimesoma kazi zake kama 4 hivi ni moto[emoji95][emoji95]
 
Naona wasina vitabu wengi let's do something Whatsapp 0678502626 Anza na neno kitabu wakifika kadhaa naunda group Nina vitabu mia tatu vingine nimesoma vingine bado so
Lengo ni kusoma kwa pamoja na ku discuss moral reason ya kitabu husiks
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
cc: Vijana wote wa Kiislam wasiopenda kusoma na kukariri vitabu visivyo na tija maishani mwao na Wakristo wote waliopotoka
 
Hakika yake,
For wonderers and adventurers!
Vitabu vinakusafirisha kiakili utajikuta places na nyakati zisizofikika kabisa.

tuwahimize watoto wetu kusoma ni utamaduni mzuri sana, kuna majibu mengi ya changamoto zetu kwa namna ya tofauti ya kipekee sana, mimi nasoma naye page kwa page, tunaulizana tumejifunza nini? author kafail wapi, kafaulu kufikisha ujumbe gani nk
It sharpens his mind zaidi na zaidi, siyo rahisi kwa sababu ya hizi games na animated series ila tunapambana hivyo hivyo kuna kukasirikiana kabisa lakini tunasonga.
Ukiweza kumfanya muwe mnashindana katika usomaji, utakuwa umemsaidia sana, na yeye anaweza kuwashawishi watoto wenzake bila kujua
 
Hakika yake,
For wonderers and adventurers!
Vitabu vinakusafirisha kiakili utajikuta places na nyakati zisizofikika kabisa.

tuwahimize watoto wetu kusoma ni utamaduni mzuri sana, kuna majibu mengi ya changamoto zetu kwa namna ya tofauti ya kipekee sana, mimi nasoma naye page kwa page, tunaulizana tumejifunza nini? author kafail wapi, kafaulu kufikisha ujumbe gani nk
It sharpens his mind zaidi na zaidi, siyo rahisi kwa sababu ya hizi games na animated series ila tunapambana hivyo hivyo kuna kukasirikiana kabisa lakini tunasonga.
Ukiweza kumfanya muwe mnashindana katika usomaji, utakuwa umemsaidia sana, na yeye anaweza kuwashawishi watoto wenzake bila kujua
 
Sijasoma vitabu vingi sana, lakini alau nimevisoma soma kidogo.

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, nimeweza kusoma Vitabu vichache, vikubwa kwa vidogo, vinavyozidi mia nne.

Nimeiona faida yake. Kuna faida sana. Ni CHAKULA muhimu sana cha akili, hakika!.

Mara tu baada ya kuianza hiyo tabia, nilijaribu kuwashawishi baadhi ya watu, hasa wasomi, kuiga hiyo tabia. Kuna siku, nafikiri nilikosea, nikaenda kumshawishi mtu aliyenizidi kitaaluma naye awe msomaji. Alichonijibu kilinifanya nisirudi kwake tena kwa sulala hilo. Niliamini, usomaji wa Vitabu ungweza kumwongezea mawazo ya kuboresha shughuli alizokuwa akizifanya.

Siku ya kwanza, pengine alinivumilia, hakunijibu chochote.

Nilipoamua kumpelekea orodha ya vitabu nilivyoamini kuwa vingemfaa, aliishia kunijibu, "hivyo Vitabu havifanyi kazi Tanzania"

Havifanyi kazi Tanzania? How? Kisa tu vilikuwa vimeandikwa na Wazungu? Iweje visifanye kazi Tanzania, wakati vingi ya Vitabu alivyovitumia Chuo Kikuu vilitoka kwa Wazungu?

Namshukuru Mungu sikutetereshwa na kauli yake, ila na mimi sikurudia kumshawishi katika hilo. Niliendelea kujisomea, na sasa imeshakuwa ni tabia yangu.

Nahisi, maarifa niliyoyapata kwa kujisomea mwenyewe vitabu nilivyojichagulia, yamenisaidia zaidia kuzidi maarifa niliyoyapata chuo kikuu.

Vitabu, hasa Vitabu vizuri, haviwezi kukuacha kama ulivyokuwa. Ila ukivisoma "visivyo" salama kwa akili, utakuwa hatarini pia.

Soma vitabu vizuri, hutajutia.

Wanasema, LEADERS ARE READERS!

Soma VITABU, Vitabu vizuri! Vina faidi tele!

Dhamini Vitabu kuliko unavyoldhamini chakula cha kawaida, ni CHAKULA muhimu sana cha akili yako.
Hongera sana kwa kuwa na tabia ya kusoma vitabu, kwa hakika ni jambo zuri sana. Hata hivyo ili kuwavutia wengine hukutakiwa kuishia kwa kusema "kusoma vitabu kuna faida nyingi" ulitakiwa angalau useme wewe kama wewe vimekufanya uweze kufanya nini ambacho ulikuwa huwezi hapo kabla au vimekusaidia kutoka hatua ipi hadi ipi. Nadhani hii ingekuwa hamasa nzuri
 
Ukisoma Rich dad poor dad na hicho ulichokitaja unakuwa bahili balaa mi nilinunua kiwanja kwasababu ya vitabu mkuu.
Watu wanaweza dhani ni chai ila kweli kabisa, mie nimejifunza saving kwa ajili tu ya kusoma kitabu LOVE YOURSELF PAY YOURSELF FIRST nimetoa mule mbinu na kuibeba kama ilivyo imefanya kazi na inaendelea kufanya kazi.
 
Yaani mimi nikiamua nikae nishike kitabu nisome ni 30 seconds tu hamu ya kusoma inaisha hivyo ni kujilazimisha na nikilazimisha utamu siupati vizuri....


Nifanyeje?

Pa kuanzia, unataka kusoma vitabu vikuongezee maarifa kwenye nini?? Mahusiano? Self help/kujijenga mwenyewe/ tabia?? Ajira, Mambo ya pesa?au ....

Ukishajua kati ya hivyo tafuta kitabu anza kusoma ukiwa relaxed kabisa
 
Hongera sana kwa kuwa na tabia ya kusoma vitabu, kwa hakika ni jambo zuri sana. Hata hivyo ili kuwavutia wengine hukutakiwa kuishia kwa kusema "kusoma vitabu kuna faida nyingi" ulitakiwa angalau useme wewe kama wewe vimekufanya uweze kufanya nini ambacho ulikuwa huwezi hapo kabla au vimekusaidia kutoka hatua ipi hadi ipi. Nadhani hii ingekuwa hamasa nzuri
Mbona nishaeleza kwa ufupi kwenye comments za nyuma? Acha niongezee na hii moja:

Nikiwa Chuo mwaka wa tatu, tulipaswa kufanya "research" kama moja ya takwa la lazima la kutunukiwa shahada ya kwanza. Msimamizi wangu alikuwa ni Mnigeria, aliitwa Dr. Nwoye.

Mpaka muda wa mwisho wa kusubmit unafika, nilikuwa bado sijamaliza. Miezi miwili baadaye baada ya muda wa kukusanya research kupita bado nilikuwa ninapambana nayo.

Kutokana na kuchelewa sana, nilijikuta ninahofia kumtafuta na kumjulisha kilichonisibu. Niliona Bora nipambane hadi niikamilishe, kisha nitaenda kujitetea.

Siku moja kabla ya kuiwasilisaha kwake, alinipigia simu. Nilimjulisha kuwa ningeipeleka ofisini kwake kesho yake.

Muda alionipa miadi ulipofika, nilienda ofisini kwake nikiwa nimeshapanga jinsi ya kujitetea. Niliamua kutumia maarifa niliyoyapata kwenye kitabu cha HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE by Dale Carnegie. Nilijifunza kwenye hicho kitabu kuwa mbinu ya kumzuia mwenye mamlaka kukuadhibu ni kwa wewe kuwahi kujiadhibu mbele yake. Ukifanya hivyo, utamfanya akose fursa ya kukuadhibu. Sana sana, atakuwa upande wako (kwa utetezi).

Kwa hiyo nilipofika tu ofisini kwake, nilianza kujilaumu mbele yake kuwa nimefanya upumbavu wa hali ya juu kwa kuchelewa kuikamilisha research. Nilipoanza tu kujishambulia kwa maneno makali, alinipooza kwa kuniambia kuwa nisijali kwani yeye naye alishawahi kuwa mwanafunzi hivyo anajua kuwa hayo ni mambo ya kawaida wakati mwingine kwa wanafunzi.

Nilipoona hiyo kanuni inafanya kazi, niliongeza mashambulizi. Niligeuka kuwa mtoa adhabu kwa kujikemea na msimamizi wangu akawa mtetezi wangu. Hatimaye niliiwasilisha research yangu kwa amani, nikaondoka kwa amani bila kugombezwa na "Mwalimu" wangu.

Unafikiri ingekuwaje kama nisingeijua hiyo mbinu? Kumbuka hiyo mbinu niliipata kwa kusoma kitabu cha HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE.

Vitabu vinasaidia sana mkuu!
 
Back
Top Bottom