Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Mchezo wa KIKRISTO si mapadri kuwafir.a kondoo kwa mfano desmondo tutu.matola,etc

Vichaa wapo kila maali. Mbona kuna msikiti uswailini walimfukuza jamaa aliekuwa akiamgalia waislamu wenzake makalio wakati wanainama wakisali. Nawatu mtaani wakaanza kutania hamuvai chupi mkisali misikiti.
 

Too long for a blog, unataka kuhalalisha kisichohalalishika
 
Too long for a blog, unataka kuhalalisha kisichohalalishika

unafahamu maana ya kuhalalisha? with ur name, should I assume kwamba ww ni mtu wa mkoa wa Ruvuma? if so, kwahiyo na nyinyi ni wasomi kule kv ni Wakristo?
 
uchaga na uislam wala haiji... Haiji kabisaa..

hapana mkuu wachaga ni binaadam kamili wenye fikra na mawazo kamili tena wako huru ndio maana leo hii wamegawanyika katika mitazamo tofauti kisiasa kibiashara na hata kidini,kwa hiyo unaposema uchaga na uislam tofauti huo si mtazamo sahihi.
 

Hiyo point ya kuwa hakuna mchaga nje ya machame kuoa mmachame si kweli ni mawazo tu wapo wengi tu mama zao ni wamachame na baba zao ni wachaga wa Kibosho,Marangu,Rombo n.k
 
Mimi si mtaalamu wa dini ila navyofahamu yesu alibatizwa kabla hata uislam haujaanza.

Nadhani kama mtu si mtaalamu wa kitu fulani ni bora aulize kwanza kabla ya kuweka statements jukwaani kuhusu kile Asichokijua!

UISLAMU ULIKUWEPO KABLA HATA YA BABU YAKE NA YESU HAJAZALIWA!

Kabla ya kuandika chochote kuhusu UISLAMU, Sharti la kwanza muhimu lzn UJUE MAANA YA UISLAMU!
au ISLAM!

Ukishafahamu MAANA YAKE HALISI, Sasa soma ktk historia vitendo vya hao manabii waliopita?
Halafu jiulize je! Matendo yao ya IBADA yanafanana na WAISLAMU WA SASA??

Ukifuata mlolongo huo Niliokupa hapo juu Nina imani kubwa UTAKIBALIANA NA MIMI KUWA UISLAMU ULIKUWEPO KABLA YA YESU.
 
Hiyo point ya kuwa hakuna mchaga nje ya machame kuoa mmachame si kweli ni mawazo tu wapo wengi tu mama zao ni wamachame na baba zao ni wachaga wa Kibosho,Marangu,Rombo n.k

Huyo matola ni muhaya wa muleba!
Vipi anajua historia ya wachaga!??

Huyo ni pashkuna aliokosa mume! Ana tapatapa km mbuzi wa vingunguti! Mabuzi wote hawataki reject!

Sasa kawavamia wachaga! Na hapo akikosa mume utamuona anadandia wengine!

Uchangudoa ni kitu kibaya sana!
 
Hata pale marangu samanga headquater kuna msikiti unasali familia moja tuu ya ukoo wa Mongi ni walevi hao balaa. Sasa sijui uchaga na uislamu wapi na wapi.
Wachaga na Chadema na Ukirsto.

Wachaga mbona hamtaki kutupa histori ya Chifu Mangi aliivyokuwa anafanya biashara ya utumwa kawauza sana wapare.
 

mkuu cdhani Christianity ilianza mapema kuliko Islam tangia first milenia A.D ndo ika spread to some other part of the world wakati uislamu umeanza 7 century AD wakati Christianity ili sha exist
 

Naiona point yako. Ila nikuulize kwanini mpaka leo kunawatu huku pwani wenyeakili ya bokoharamu wakati ukienda nje utakuta waarabu kibao wanasoma elimu ya nchi za magharibi. Watu wapwani ndio wanao lalamiki mfumo wakikristo wakati duniakote makanisa ndio yanaongoza kwa kuwa na mashule, vyuo na maospitali ya maana. Waislam wajanja wa bara wanafahamu uzuri wa shule za makanisa na uendelea kutumia shule za makanisa kuliko shule za kiislam. Hata nchi za kiislam kama brunei ambako wametangaza sharia itumike kuna shule na hospitali za makanisa. Mwisho waislam walilalamika kanisa linapendelewa na serekali wakapewa chuo cha tanesco morogoro. Sasa kimeishia wapi?
 
Dini ipo kwa ajili ya watu,siyo watu wapo kwa ajili ya dini!!!
Dini ikusaidie ktk maisha yako siyo wewe uisaidie dini ktk uwepo wake!!!
 

No it is not about Indirect Rule it is about the the tricky Protectorate Agreement between the British Empire and Zanzibar and in addition to the Leage of Nation trusteeship.
 
mbona unaweweseka na Matola? unajuwa umequote bandiko la nani?
 

Na katika haya maeneo uliyotaja yote yalikuwa ni mashamba na maeneo manamba walipokuwa wanafanyia kazi au kuishi kipind cha ukoloni na maeneo hayo hakuna wachaga wengi utakaowakuta labda ni wafanyabiashara tuu, ni maeneo ya watu wa hali ya chini na hata serikali haina mipango ya maendeleo nimekwishafanya reseach huko.

Maeneo wanayoishi wachaga mf. Marangu, rombo, hai, machame, kibosho, uru, old moshi, kilema n.k ni vigumu kukuta waislamu kwa sababu zifuatazo
1. Waarabu walipokuwa wanasambaza uislamu hawakiwahi kufika huko wengi waliishia mwambao wa pwani na wamishionari waliokuwa wanasambaza ukristo ndo walikuwa wa kwanza kufika huko

2. Maeneo haya(ardhi) iko kimgawanyo wa koo na wachaga wanarithishana hawauzi ardi kwa mtu wa nje ya ukoo na wakifanya hivyo ni lazima wawe wanamfahamu fika na atakuwa wa ukoo ambao wanalandana(ni vigumu sana kwa mtu wa machame kupewa ardhi marangu) au mwanamke akipewa ardhi hata akiolewa ardhi hubaki kama ya ukoo hii haitoi mwanya kwa waislamu kuingia na kusettle na kueneza dini yao maeneo ya wachaga

Maeneo ya same, mwanga hedaru makuyuni yaliyokuwa ni maeneyo ya uzalishaji wa mkonge n.k kipindi cha ukoloni asili ya watu wake wengi ni kutoka maeneo ya mtwara, lindi, tabora, kigoma na maeneo ya mwambao wa pwani ambapo uislamu ulikuwa umeenea hivyo walivyokuja kama manamba(pitia ukoloni na uzalishaji tanganyika) wakaleta na kueneza uislamu hivyo kukua sana maeneo haya ambayo hayakuwahi kukaliwa na wachaga hata kabla ya ukoloni

Ugumu wa uislamu kuenea uchagani ni sawa na ugumu wa ukristo kuenea Zanzibar(truth). Ili huku bara ukristo na uislamu utaenea sambamba (umeshaenea) kila mahali pwani na bara kutokana na sababu zifuatazo

1. Mahitaji ya huduma za kijamii mf. Shule, hospitals. Taasisi nying za kikristo zimejikita kutoa hizi huduma

2. Mahitaji ya kiuchumi, watu wanahitaji pesa kwa biashara hata kuuza maeneo yao ili wapate fedha ma kuendesha gurudumu la maisha(wakristo na waislamu wananunua)

3. Kukua na kupanuka kwa miji, kunaifanya kuwe na mchanganyiko wa watu wa aina na dini tofauti kuingiliana

Cha msingi ni kufanya kile kinachokupasa kufanya ukifatilia maisha ya wakristo na waislamu kukua na kuenea kwao haitakaa ikusaidie na wala haitakaa ibadilike uislamu kuenea kwa maeneo ya wachaga na wala ukristo kuenea zaidi zanzibar

Mkuu Ritz uko biased sana unasahau wanachofanyia wakristo huko zanzibar, historia inambeba kila mmoja wetu nshakuona unaingiza na uchadema hufai katika jamii mtu kama wewe ni mchonganishi
 
Last edited by a moderator:
Unanisoma kwa chuki tu lakini maneno yangu yana ukweli mwingi, sijui kama umewasoma wachaga wenzako wanavyojisifu jinsi walivyokuwa wanawaua kuwawekea sumu Waislam kwenye mbege na kufa.

Halafu Uislam siyo mpaka upelekwe na waarabu ninae rafiki yangu mmoja mpangaji wetu anatokea Kibosho nilimuuliza kuhusu hizi habari ananiambia jirani yao ni Muislam alisilimi yeye na familia yake baadhi ya majirani walimtenga lakini mzee wao akamwambia hakuna haja ya kumtenga mwisho wa siku mtoto wa huyu Muislam akaja kumsaidia huyo rafiki yangu walivyokutana Dar es Salaam kwenye biashara.

Kingine mbona hauelezi historia ya Chifu Mangi alivyokua anafanya biashara ya utumwa kuwauza wapare.
 
Last edited by a moderator:
Matola

This is the white lie that had been built by the missionaries and after the revolution and Union of 1964. And now propagated by the ultra conservetives of CCM Zanzibar and being helped by people like you.

Why the so called historians does not tell you that the first church in Africa was built in Zanzibar on the land at Mbweni and allocated by the Sultan himself. The Anglican Church at Mkunazini is the same story and some of it was leased from a well known Arab family this where the St. Monica hospital and church's school. Why they dont say the truth that even the clock and the bell on the minaret was contributed by the Sultan himself?

They are telling lies to tourist that the cellar below the St. Monica hospital was used to keep slaves to replenish them before put on sale while the hospital itself was built long after the slave trade had been abolished and that cellar was used to cool the medicines ised during the great epidemics of plague and smallpox.

Reference to this statement above is a lady in Adelaide, Australia called Anne Chapel Smithyman the daughter of Mr. Mervin Smythiman the then ADC to the Sultan.

The hate for Jemshid was imposed on the populace by the so called Protectors (The British) because Jamshid did two grave mistakes:
1) Agreeing with ZNP to fight for Independence.

2) Whe wrote a letter to HM the Queen to ask justice for his father's sudden death because he believes tha his father did not die due to diabetes but foul play. His father was against the british hegemony in EA.

For your information during the Lancaster house independence conference it is on the records that ASP asked for a copycat UK style govt and paliamentary system and that Sultan will be the constitutional.monarch and that him and his family will be protected for ever. While ZNP under the influence of Gamal Abdelnasser socialist ideology the way they ousted King Farouk.

Ref. "The Short History of Zanzibar" by Maulid Mshangama the then member of Legco and son in law to the Sultan Khalifa bin Haroub.
 
Last edited by a moderator:
unafahamu maana ya kuhalalisha? with ur name, should I assume kwamba ww ni mtu wa mkoa wa Ruvuma? if so, kwahiyo na nyinyi ni wasomi kule kv ni Wakristo?

umeangalia secretariat ya ajira wanaochaguliwa wasi wasi wangu mtakuja sema ni mfumo kristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…