Nyota ya kudangwa ipojeUna nyota ya kudangwa.
Kwa sababu hata kama una maisha mazuri au una hela wanaume wenye hela ndio wanapendaga wanawake wa hivi, na haimaanishi atakuomba hela bali atakuwa yeye anakupa. Tena atakupa nyingi kukuonesha anaweza kukumiliki.
"Mwenye nacho ndio huwa anaongezewa" siku hizi.
Hahahahahahah mwamba umeongea kwa uchungu sana i feel you brother!😅Mbona wanawake kwangu ni Asilimia 100 wote ombaomba tu na hamsikii malalamiko wewe kidogo tu Tena imetokea bahati mbaya tu unacomplain unasema unachunwa ebu tupeni hela na sisi bana
Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
Na tulivyo na masimango sasa. Mwanaume anaishi kwa mgongo wa mwanamke namsikitiaga sana. Sisi moyo wa kulea mpenzi hatunaga ndo maana siku vikiumana tunatoa maneno yooote.Eeehh hata Mimi kwa kweli hapana siwezi kuwa mwanaume ninae omba omba tu kwa Mwanamke ni kujivua nguo na utu , Mwanamke ukila hela yake pasipo kusaidiana wote kwa pamoja lazima ipo siku hiyo pesa itakutokea puani
Namtoa ila sio kama hiyo ya njaa njaa anayosema mtoa mada. Sijawahi mpa mwanaume hela akikwama ila najua kabisa naweza kumpa siku ikitokea nimeombwa msaada.So bottom line ni kuwa unatoa, mazingira ya kutoa tu ndio yanatofautiana.
Mwanaume anakupa hela kila ukitaka, akikuomba siku kakwama unaachaje kumtoa, huo ni ubinafsi wa kwenda.
Eti sio pisi kali na siombwi hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]daahh!no sugar coating at all
Mimi sio pisi Kali na siombwi helaa!!!
uwiiii mbavu zangu mie,Nadhani huyu mdau atakuwa anatokea ule mkoa wanakula sana senene
Ok! Kuna kitu utakuwa unakikosea katika hizo relation zako, huenda katika story zako utakuwa ni mtu unaejionyesha kuwa unazo sana au unajua sana kuzitafuta! Hili ni kosa ambalo hata mwanaume akilifanya ni lazima achunwe!Kweeema?
Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.
Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.
Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?
Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Asiye na Tako kumbe ndo wa kawaida? Au wewe unamaanisha kwamba mm ni mbaya wa sura na umbo?😀Utakua wa kawaida sana [tako hauna pia] na unapenda wanaume ambao sio daraja lako ndo mana wanabaksha hela kama tu sababu ya kukuacha kwan usipowapaga si wanakutema?
Anyway umesema tukupe ukwel huo ndo ukwel
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
So wanawake wasokuwa na Tako wote wanaimbwa hela?mm ninalonla kunitosha mm na mwili wangu?😀Utakua wa kawaida sana [tako hauna pia] na unapenda wanaume ambao sio daraja lako ndo mana wanabaksha hela kama tu sababu ya kukuacha kwan usipowapaga si wanakutema?
Anyway umesema tukupe ukwel huo ndo ukwel
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
mmebaki wachache according to % aliyotoa mtoa madaHivi mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuomba hela mwanamke?
Binafsi hua ninapenda sana wanawake walionizidi umri, na ikitokea mwanamke anipe hata zawadi tu hua nafsi yangu haitulii mpaka na yeye nimpe zawadi yenye thamani zaidi ya ile aliyonipa.
Kuna mmoja alikua ananibembeleza kishenzi atoe akiba yake bank niizungushie kwenye biashara yangu ila mimi nilikua namkatalia.
Ni bora hata zawadi hua nakosa ujasiri wa kukataa kwa kuhisi nitamuudhi anaenipa, ila suala la kupewa pesa na mwanamke kwangu hua ninahisi ni udhalili uliopitiliza.
Hao ambao sio wrong people nawapataje?
[emoji33]Mi namuonaga kama ana K kama mimi tu[emoji848][emoji848]
Nadhani wapite hapa wasome huu uzi, wanawake wanahonga sana tu, ni maneno ya humu wanasema hela yao haitoki lakini mbona wana wanapewa sana tu na wanawake zaoNajua Sana [emoji16][emoji16]
Hakuna mwanamke Ambaye hatoi hela labda awe Yuko under24 lakini Hawa waliopo above 24s aahh hela wanatoa vizuri tu, Tena waliopo at 30s ndio usiseme ni wahongaji wazuri tu ni ma expert kabisa hao , shida inakuja wale wanaume Wana wahonga huwa wanakuja kuwapiga na vitu vizito kichwani hapo ndio balaa linapo amziaga , na ubaya wa sisi wanaume tulivyo --- mwanaume yeyote anaye hongwa na mwanamke huwa mwanaume huyo Hana upendo kabisa na mwanamke huyo , hapo ndio Vita ya 3 ya dunia inapoanziaga [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Eehh!dadaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!Eti sio pisi kali na siombwi hela [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mzigua umeshawahi kusimamia show ya lodge/hotel na mpenzi wako?Namtoa ila sio kama hiyo ya njaa njaa anayosema mtoa mada. Sijawahi mpa mwanaume hela akikwama ila najua kabisa naweza kumpa siku ikitokea nimeombwa msaada.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mi namuonaga kama ana K kama mimi tu[emoji848][emoji848]