mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Binafsi kwenye laptop nanunua speed... power rate ya batterNa sio kila anaenunua simu au laptop kali anataka kuchezea game sjui graphics
Mimi napenda bidhaa za apple, nanunua pc na simu sababu nazipenda
Mwingine ananunua sababu ya status, mwingine ananunua sababu ya usalama wa data zake
Binafsi kwenye laptop nanunua speed... power rate ya batter
Kitu roho inapendaaaIli jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.
Tuje kwenye simu huku ndio tatizo kabisa ndio maana kampuni nyingi zimeshaona kuna maboya wengi wa simu wasio jua simu hii kwa ajili ya nini na kwa kazi hipi.
Tujifunze kununua kitu kulingana na matumizi,nimeona bosi mkuu kutoka nje kaja na simu ya kawaida ila msimamizi wake hapa tz anatumia iphone 12 pro na macbook pro letina 2020 alafu hakuna la maana zaidi ya kuangalia email tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku ukipata hela hii thread yko ni nonsense! Mtoa mada tafuta hela utaacha makasiriko
Achana nao kanda ya ziwa hao ni washamba kupitiliza.Unaweza kununua fuso kwa ajili ya kutembelea sababu unapesa ?. Tuanzie hapo
Usifananishe samsung na vitu vya kijingaHuna tofauti na mtu mwenye itel56 mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nani ka kwambia umaskini.ishu unachoenda kukinunua ndio matumizi yake.Wabongo umasikini umetujaa kwenye damu hata hautoki labda vizazi vijavyo tumia vitu vizuri ukiweza acha unyonge kuwa nani anatakiwa atumie hivyo vitu vizuri ukiweza tumia brand nzuri nyumbani pia drive gari Zuri,simu nzuri laptop nzuri vaa vizuri sio kesi wala hakuna siku ingine utafanya hivyo pakaa mafuta mazuri watoto nyumbani wale chakula kizuri Mzee usimamie kujua au ukiweza kula na watoto mara kwa mara sio chakula kizuri unakula bar huku watoto nyumbani wakisota...
umenisahau mimi mwenye TVS boxer na jirani yangu mwenye baiskeli.Kwa hiyo mimi mwenye IST na jirani yangu hapa mwenye hizi Prado TX mpya, unasemaje?
Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.
Tuje kwenye simu huku ndio tatizo kabisa ndio maana kampuni nyingi zimeshaona kuna maboya wengi wa simu wasio jua simu hii kwa ajili ya nini na kwa kazi hipi.
Tujifunze kununua kitu kulingana na matumizi,nimeona bosi mkuu kutoka nje kaja na simu ya kawaida ila msimamizi wake hapa tz anatumia iphone 12 pro na macbook pro letina 2020 alafu hakuna la maana zaidi ya kuangalia email tu
Kama ni msukuma unawezaUnaweza kununua fuso kwa ajili ya kutembelea sababu unapesa ?. Tuanzie hapo