Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Kwa kweli na iwe hivyo ndugu yangu Chakaza...
 
Cheo cha waziri mkuu ni kigumu sana Tanzania kwakuwa wamekuwa hawaachwi watekeleze na kutumia mamlaka yao kama Katiba inavyotaka. Na hii inatokana na mamlaka ya juu yake kuhofia kumezwa na kupoteza umaarufu kisiasa.

Taasisi ya urais ni taasisi yenye wivu sana juu ya mamlaka yake, msione vile mawaziri na watendaji wote wanageuka machawa kila wakisimama ni "mheshimiwa rais dokta hoyee hoyee"
 
Hii point kama yale maneno ya kwenye amri kumi...mm ni mungu mwenye wivu..usiwe na miungu mingine ila mm
 
Yaani ukishaona watu wenye mdomo lakini hawana akili kichwani kama Paul Makonda na Philip Mulugo wanapewa jukwaa la kusema chochote juu ya ubovu wa baraza la mawaziri basi jua wazi kwa 100% system imewatuma. Ni suala la muda tu.
Baraza la mawaziri limetakiwa na makonda kumpelekea ripoti zao Kila nusu mwakan...ole wake ambae hatopeleka 😂😂😂
 
Ila mkuu uliyoyasema, kwa Lowassa yote yalikuwa yanafit - alifarakanishwa na wakuu wake chamani, wananchi wakawa wanamkubali ila bado kina JK wakamchinjia baharini
Wala sio jk!!ni wenye nchi Yao DS ndio hawkumtaka coz angeingia yangekua yale yale ya upigaji ya awamu ya nne halafu vurugu tu za visasi na wizi!!

Kumbuka kampeni zake zilifadhiliwa na wafanyabiashara wale ambao angewalipa fadhila na u Mungu mtu ungetamalaki nchini!!

Hata hivyo mlutheri asingeingia ikulu pia Bado wale jamaa wasingekubali!!
 
CCM ITAPASUKA VIPANDE VIWILI CHALI, THEY SHOULD NEVER PRACTISE THIS EXERCISE, NEVER NEVER IT'S NOT A TIME TO DO THIS.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini hili.....kaka yake kbs katika imaan nasubiri atolewe nitaamini
kaka yake katika nini ?! Aloo makobazi huyajui mkuu

makobazi hata mama mzazi yanampelekea moto sembuse kaka tena sio wa damu ila katika iman ?! Ebo unayajua makozi kweli wewe ?! Haya hua yanaweza hata lipigane lenyewe mikono ikipigana na miguu ya hilo hilo likozi limota.
 
Mbona beteko hajatolewa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii inasaidia nini wakati yeyote watakayemuweka atashinda tu kwa katiba na tume iliyopo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…