Askari aliyempiga mwanafunzi wa IAA asimamishwa kazi, SUMA JKT kufidia gharama za matibabu

Askari aliyempiga mwanafunzi wa IAA asimamishwa kazi, SUMA JKT kufidia gharama za matibabu

Hata viongozi nao wote wamekurupuka... yaani wamechukua sheria kwa upande mmoja tu wa askari, vipi kuhusu mdada mwenyewe mnasemaje?
Kwanini mwanaume amrushie mateke mwanamke?

Umeona video ? Askari ndio alikuwa anashambulia
 
Ni hatari sana kuwatumia hawa askari kwenye ulinzi wa mageti kwenye sehemu ambazo wanakutana na watu wa kawaida.

Wanapaswa kuajiriwa na Polisi kulinda mabank na si kukaa mapokezi.
Wanapaswa kulinda sensitive areas usiku na si kuwa sehemu ya mapokezi.
Wamekuwa wanyama? Wapata mafunzo stahiki yanayoendana na kazi zao, pia wasipachikwe bila ya vigezo na sifa kwa kujuana.
 
Suma JKT walitakiwa wasipewe kabisa kazi za ulinzi kwenye taasisi za unma. Ni wajeuri na wenye kujiona nao kuwa ni wanajeshi. Wapuuzi sana. Walipewa kiburi na mwendazake baadhi ya taasisi za umma ikawa wao ndiyo walinzi by default wakavimba vichwa na kujiona hakuna kama wao. Wanatakiwa warudishwe makambini huko wakalinde mipaka
Nani atawalipa?
 
Naona wote mmeegemea kwenye kumshambulia askari wa SUMA JKT.......kiuhalisia nidhamu na kuheshimiana ni jambo la msingi sana kwenye maisha yetu ya kila Siku hasa sehemu za kazi au jamii zetu..... nidhamu na heshima inatakiwa itoke pande zote mbili ili kuleta msawazo na huku kila mmoja akitimiza wajibu wake kulingana na nafasi yake.........

Mabinti au wanachuo wengi huwa wanatabia za ujeuri, kejeli na dharau dhidi ya watu wengine wanaowaona wa kawaida kwao......wao kuanza masomo ya chuo wanaona wapo kwenye ulimwengu mwingine kabisa......Kwa kweli unahitaji busara na kiwango kikubwa cha ustahimilivu na uvumilivu ku deal na hao watoto wanaosoma vyuo.......

Kimsingi hao maaskari ni waajiriwa au wapo kwenye hizo taasisi kutoa huduma za ulinzi na usalama.....wanafanya kazi Kwa kufuata sera na miongozo ya taasisi husika kuhusu usalama na amani kwenye sehemu husika au taasisi husika.......bila shaka hata hao wanachuo kabla ya kujiunga na chuo na wao pia hupewa miongozo hiyo..........

Inawezekana askari alimkumbusha Binti jambo la kawaida kuhusu protocol za taasisi hiyo na pengine kwenye kurushiana maneno yule Binti akatoa lugha mbaya na mlinzi naye ni binadamu uvumilivu ukamshinda.........
Askari unatakiwa uwe na nidhamu, unapokuwa mvunja amani, unapodhuru wengine, hufai kuwa askari. Ajitafakari!
 
B

Bro wewe ndo upo vizuri kwenye kureason sasa mimi nimemaliza hapo IAA 2021, Nipo hapo tangu 2016 na hao suma jkt wameletwa hapo chuo kuanzia 2019 navyokumbuka na hakuna tukio lolote limewahi kutokea na wanafunzi wanafuata sheria zote kama code za mavazi kama vile wasichana hawaruhusiwi kuvaa suruali za kubana sana na kuingia getini ni mpaka uonyeshe ID mageti yote kubwa na dogo sema uyo dogo atakuwa kuna maneno kamtupia mlinzi sio mazuri ndo maana kakandwa japo harusiwi kumkanda mtu, mbona watu kibao uwa wanapita hapo getini na sometimes wanakuwa wamesahau ID sema wakifika wanajishusha kwa mlinzi na kwa polite language wanabonga naye wanapita , uyo demu sio student wa kwanza kusahau ID tangu chuo kianzishe huo utaratibu , iweje yeye ndo apokee kipigo, reasoning capacity ya wabongo ndogo sana uwa tunapokea vitu kwa mihemko bila kutuliza akili na kuprove/ judge both side,
Uliambiwa sababu ni kitambulisho? Au nawe unaonesha jinsi waTz walivyo finyu wa fikara?
 
Walinz wa suma wa magetin naona ni shida kila mahali.hapo wizara ya ardhi yule dada ka suma keupe hivi kale ukifika juz kanamfokea jamaa mmoja anasema anawah gorofa ya pili amechelewa kikao na wazir.anasema mpgie simu kakaanza kumtolea maneno.wanajikutaga askari wale kunbe sio.
SUMA kwanza nashaur wanafanya kaz sio zao unakuta wamegeuka receptionist
 
Suma JKT walitakiwa wasipewe kabisa kazi za ulinzi kwenye taasisi za unma. Ni wajeuri na wenye kujiona nao kuwa ni wanajeshi. Wapuuzi sana. Walipewa kiburi na mwendazake baadhi ya taasisi za umma ikawa wao ndiyo walinzi by default wakavimba vichwa na kujiona hakuna kama wao. Wanatakiwa warudishwe makambini huko wakalinde mipaka
Huko makambini kwenye kulinda mipaka sifa/vigezo havikutosha ndiyo maana wamekuja SUMA..

Sasa kama na huku tena hawafai, inabidi itafutwe namna nyingine ya wao kujikimu!!!
 
MIMI NAAMINI KUWA MENGINE TUNAJITAKIA,HIVI ASKARI YEYOTE AKIKUNYANYASA KAMA AMBAVYO WAMEKUWA WAKIFANYA MAUAJI NA UONEVU KWANINI NA SISI TUSIWE TUNA LIPIZA KWANI NAO WANA FAMILIA ZAO,HULA NA KUNYWA KWENYE BAR PIA NAO HUTEMBEA USIKU KWANINI TUSIWE TUNA WAPIGA MATUKIO KAMA SUMU UCHAWI,CHUMA,KUNYONGA NA KUWA CHOMA MOTO HADI MAJIVU NK?
Tusifike huku mkuu!!

Bado tuna muda wa kufanya marekebisho kama jamii..
 
SUMA wanajikuta wajeda maaniinaa zao waulize kilichowakuta Dar walipigwa chini na UDART kwenye mwendokasi baada ya kujifanya wanawanyoosha abiria , wao kila kitu ngumi mkononi, yaani kimsingi wale ni failures, na kazi za maana watazisikia kwenye redio, wenzao ulinzi ni pamoja na customer care sio mabavu tu
 
Inawwzekana huyo mwanafunzi alifanya ujeuri ndio maana akasababusha askari kupandwa na hasira.
 
kitendo hicho kilichotokea baada ya majibizano kati ya Askari wa SUMA JKT na mwanafunzi ambayo yalipelekea kitendo hicho.
Usikute hapo Dent alimropokea Mlinzi kwamba utanibabaisha nini mtu mwenyewe unalipwa alfu 70 kwa mwezi. Wanafunzi hasa wa vyuo huwa wanajikuta ni kama wanaishi visiwa vya Sayari ya Mars wanasahau kabisa kwamba wanaishi na jamii ambayo inahitaji nidhamu!
 
Usikute hapo Dent alimropokea Mlinzi kwamba utanibabaisha nini mtu mwenyewe unalipwa alfu 70 kwa mwezi. Wanafunzi hasa wa vyuo huwa wanajikuta ni kama wanaishi visiwa vya Sayari ya Mars wanasahau kabisa kwamba wanaishi na jamii ambayo inahitaji nidhamu!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]acha kabisa
 
Askari unatakiwa uwe na nidhamu, unapokuwa mvunja amani, unapodhuru wengine, hufai kuwa askari. Ajitafakari!
Nidhamu inatakiwa kwa pande zote.....raia wanatakiwa wawaheshimu askari na askari wawaheshimu raia........ upande mmoja unaposhindwa kuchunga nidhamu Kwa mwenzie ndio majanga yanaanza....... uvumilivu una ukomo wake.....
 
Ilikuwaje please?
Ni kutokuelewana tu kishwahili hapo kati ya mtu aliyehitimu elimu ya kidato cha sita na elimu ya chuo kikuu, dhidi ya yule aliyeishia kidato cha nne, halafu akaenda kupata mafunzo ya muda mfupi ya kijeshi! Huku akihubiriwa muda wote kwenye mafunzo yake kuhusu utii bila ya shuruti na nidhamu.

Sasa mtu kama huyo akikutana na mtu wa kuhoji na kutaka ufafanuzi kwenye kila jambo; haki ya nani lazima akili yake ivurugike.
 
Tatizo watanzania huwa mnaangalia upande mmoja

Watanzania wengi wana dharau Sana hasa hawa mabinti ambao wanasoma chuo

Wanahisi wamefika peponi kwa hivyo vidigrii vyao na inawezakana huyo mwanachuo alimtolea lugha chafu huyo mlinzi
 
Hao Suma JKT wana mawazo sana wengi wao waliwaza baada ya kumaliza kozi zao wangeajiriwa na JWTZ,TANAPA,Polisi nk.
Sasa kwenda kulinda kwenye mageti kuna wapa mawazo sana hadi wengine hasira zinapanda na kupiga hovyo watu.
Hao unaowaona suma jkt sio wale wanaotoka kwenye kambi za jkt, ni raia tu wa kawaida wanachukuliwa kwenda mafunzo kidogo na kuanza kupangiwa lindo.
 
Kwa sababu
1. Zinawachora maumbo na kuwaumiza (kwa kutamanisha) wengine
2. Zinasababisha watu wapate taabu kuwatofautisha (kugundua wanawake ni wapi na wanaume ni wapi?)
3. SIYO UTAMADUNI WETU WAAFRIKA HUSUSANI WATANZANIA

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom