Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Askari Chauvin pamoja na kuwa na advocate mahiri alimtetea vilivyo lakini amekutwa na hatia justice has been served, niliicheki jana court session BBC toka saa moja usiku mpaka saa nne usiku alitumia vielelezo vingi kumtetea.Kesi ya aliyekuwa askari polisi aliyehusika katika mauwaji ya raia mwenye asili ya afrika, imefikia hatua ya tamati na muhusika kukutwa na hatia.
View attachment 1758800View attachment 1758801