Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
Kama unafahamu hivyo basi tambua fika kwamba damu nzito kuliko maji. Kwakuwa wapo ndani ya mfumo usishangae sikumoja kuambiwa mpishi wa rais pale magogoni ni mtusi au mhutu. Unagunduwa hivyo wakati mambo yameshaharibika magogoni, rejea tukio la Kabila baba wa Jodeph kabila. Amani na majirani ni jambo muhimu sana
Hivi wale wanaoshi ulyankuru/ulyanhuru Tabora je wale ni warwanda au waburundi au ni watanzania
 
Nimekukomeshen na kujikomba kwa kikwete, hoja zimewaishia kila jibu ninalowapa nazidi kuwavuwa nguo na kikwete wenu.

Unapatajibu fasaha kabisa kulingana na mchango wako.

Ugonjwa mbaya sana huu... sasa umemkomesha nani kama sio wewe mwenyewe???

Your "play a victim" game is now know all over the world, the end has just begun, lazma mkae this timee
 
Umejibu nini sasa, hujajibu leta jibu sahihi ndipo tuendelee.
Mkapa ni kabila gani na asili yake ni wapi?
Nikasisitiza inshu sio asili ya mtu bali tunahitaji kuwa na ushirikiano bora na mzuri na majirani zetu kwa uhai na ustawi wa Taifa letu tanzania.
Badala ya majibu unazuka na hadithi....!!!
Benjamini Mkapa ni Mbantu (Mmakonde) hata J. Kikwete ni Mbantu
huwezi kuwa na jirani Mtutsi asilani hata huku ninakoishi
wana tabia zisizo za kibinadamu (kuzusha visa, ugomvi, vita nk)
UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI By Rev C. Mtikila
Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda waliteka magari, walipora fedha na mali zingine za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile. Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi. Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato Mkoa wa Geita.
 
DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta
Ukwaju.
Naona wewe ndio unataka kumpaisha Kagame zaidi ya uwezo wake, eti Imran Kombe na Prof Mwaikasu wameuawawa na Kagame bila Usalama wa Tz kujua??? hizi conspiracy theory zako zinadhalilisha sana vyombo vyetu vya usalama.
Ukiendelea hivi siku moja utakuja kusema hata kifo cha Daudi Mwangosi Kagame anahusika pia hahaha[/QUOTE]
sio mm ila nimekupa Link kwa muda wako uisome kwani hata Imran Kombe alikuwa UWT hzi habari sio za uongo na za Jaji Mwaikusa mbona zimo humuhumu?tafuta hata kwa Google
----------
Mtikila's allegations - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...-tanzania.html
 
Ugonjwa mbaya sana huu... sasa umemkomesha nani kama sio wewe mwenyewe???
Your "play a victim" game is now know all over the world, the end has just begun, lazma mkae this timee
unajua tukikaa kimya anaona ameshinda hajui tulishamuambia Post zake ni bora tupite tu yeye anataka bado tuwatete Wanyarwanda na hasa Watutsi
MM NIMEMWAMBIA KWA wATUTSI NI BIG NO
lakini kwa akili yake atarudi kubishana tu Janjaweed sasa hivi fuatilia DW (Ujerumani) ni Wanyarwanda zaidi ya 5,000 walikuwa hawana vibali na wanadai eti waliolewa na wamefukuzwa kwa kupakiwa kilazima. Acheni waondoke kwani waliingije
 
Last edited by a moderator:
Du, ipo kazi! Ila kama ni kweli Jeshi wafanye scrutinizing kwa waajiriwa wote, najua kuna gharama kwa hili ila itasaidia sana kuweza kuwatambua nani mamluki!
Kuna Pastor mmoja alishawahi tamka kwamba nchi jirani imeingiza wanajeshi kwa nchi yetu, je swala hulo lilifanyiwa kazi ama liliachwa tu juujuu likielea?


Cosmo[/QUOTE

HILI SWALA LA WARUNDI NI ZITO.NAWAOMBA WATANZANIA MKUBALI.WAKATI WA KULIFANYIA KAZI NI SASA.LILITAKIWA KUFANYIWA KAZI SIKU NYINGI.WARUNDI WANATAMBA WANATAWALA TANZANIA.SERKALI YA TANZANIA ILISHAONYWA SANA NA BALOZI NYINGI NCHINI LAKINI SERKALI YA MAGAMBA HAICHUKUI HATUA.SASA WAMEFIKIA HATUA YA KUMTUKANA NA KUMKEJELI RAIS WETU.INA MAANA WAMEFIKA MBALI.INA MAANA WANA WATU SEHEMU ZOTE NYETI ZA NCHI YETU.INA MAANA PK ANA UWEZO WA KUMPIGA JK.
 
Vijana wetu wakiomba ajira jeshini, JWTZ linajifanya kuwa makini na Veting kweli kweli, mara ooh lete cheti cha kuzaliwa, mara barua ya mtendaji na vikorokoro vingi. Nini sasa maan ya hiyo ikiwa hata wageni wanaingia katika chombo nyeti kama hiki????

Pooor Tanzania, Shame on our Government x 1000,000,000....
 
Hii ni sawa na issue ya whistleblower wa Marekani alihifadhiwa Urusi. Tuna wanyarwanda wengi sana kwenye sekta mbalimbali nyeti za umma. Tunakuwa liberal mno katika kuajiri eti kwa sababu sio wakabila, lakini sasa haya ndo matokeo yake. Bado wengine mtawasikia.
 
Benjamini Mkapa ni Mbantu (Mmakonde) hata J. Kikwete ni Mbantu
huwezi kuwa na jirani Mtutsi asilani hata huku ninakoishi
wana tabia zisizo za kibinadamu (kuzusha visa, ugomvi, vita nk)
UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI By Rev C. Mtikila

1. Nini maana ya neno mbatu ilitujadili vema shutuma za wanyarwanda kwa kikwete?

2. Mkapa ni mmakonde kwa maelezo yako wapi asili ya wamakonde? tabora, mbeya Msumbiji, malawi wapi hasa?

Narudia shutuma na propaganda zako na magazeti unayoleta hapa jukwaani kuhusu asili ya mtu siyo hoja kabisa

-Obama siyo mzungu na taswira yake ipo wazi asili yake ni bara Afrika lakini ni Rais wa USA

-Tulikuwa na konderiser Rice kama obama

unawazungumziaje hawa........nakuachia upate majibu.

Narudia, jambo la msingi ni uwezo wa kuweka mazigira bora ya ushirikiano na mawasiriano mazuri na majirani ndiyo jambo la msingi sio asili ya mtu.

Leta majibu tuendelee.
 
Ukwaju, Janjaweed na wengineo wote katika mjadala huu.

Hoja nikwamba tunahitaji kiongozi mwenye uwezo wa kujenga ushirikiano mzuri, bora na makini kwa majirani zetu.

Ujirani bora ni moja ya kujihakikishia usalama wa uhakika na zaidi matokeo bora ya vizazi vyetu hapo baadaye.

Sio sahihi wala hakuna tija kwetu kuwa na kiongozi anaeshindwa kuishi anachukihubiri kwa wangine, anawaasa

wanyarwanda kuketi mezani lakini yeye hawezi kutekeleza kwa vitendo anachokihubiri.

Nitatowa mifano.

1. Ameshindwa kukaa na kagame ili kurekebesha tofauti zao katika anga za kimataifa (tatizo dogo kabisa lakini ......)

2. Ameshindwa kuketi mezani na waalimu waliokuwa wakidai maslahi bora na malimbizo yao (matokeo elimu ovyoooo...)

3. Ameshindwa kuketi mezani na madakitari waliokuwa wakidai maslahi bora, vifaa tiba nk (matokeo afya ovyoooo...)

4. Ameshindwa kuketi na wanamtwara kuwapa japo matumaini ya watapata mgao gani kama walinzi shirikishi kutoka mapato ya gesi. badala yake nikupiga nakulazimisha nasio kuketi mezani...........

5. Ameshindwa kuketi na waislam (kuhusu madai mbali mbali, bakwata, Ponda, sijuwi Necta nk) anangoja waandamane awapige na mabomu......why???? kwanini usubiri watu waandamane nawewe unaamini suluhisho ni majadiliano.........

6. Ameshindwa kuketi na CDM kujadili sintofahamu mbalimbali ikiwemo mauwaji na upigwaji mabom mikutano yao.



Sasa nakuulizen[MENTION] Ukwaju[/MENTION], Janjaweed na wale wenye mtazamo kama wenu.

a) Baada ya kupitia mifano hiyo hapo juu, kikwete anapata wapi ujasiri wa kuvuka mipaka mpaka Rwanda kutoa ushauri ambao yeye hawezi kuutekeleza hapa nyumbani kwa vitendo?

b) Kama tatizo ni wahamiaji haramu, niwanyarwanda tu ndiyo wahamiaji haramu?
i) walioingia tangu enzi zile wakaowa na kuzaliana wanawekwa fungu gani (DW radio jion hii ndoa na familia zimetenganiswa.......taratibu zinasemaje?)

ii) Tumeshuhudia chombo na askari wetu kuzamishwa-ziwa Tanganyika na kuuwawa, kutoka mpaka wa DRC-kikwete amechukuwa hatuagani na kwanini iwe rwanda na isiwe DRC Pia? nini kipo nyuma ya hili jambo.........

c) Ukipita mitaa ya kariakoo na hata mikowani, tunawahamiaji haramu wanaojiita wawekezaji hususani wachina wakiuza bizaa ambazo watanzania wachini ndiyo biashara zao. Je kanuni na taratibu za uwekezaji zinasemaje na nini kinaendelea

d) Je kunasababu ya lazima kikwete kutumia Kipindi kizima akizungumzia mgogoro wake na Kagame pekee akisahau majanga mengine kama, madawa ya kulevya wengi wanaangamia kwa maelf, huduma mbovu za afya na wengi wanakufa nk.

karibuni tutafakali hili pulukushani iliyopelekea sote kushuhudia tulivyo wazi na dhaifu kiasi kwamba tumeajiri wageni na kuwapa vitengo muhimu kabisa kama huyu mwanajeshi katika mada hii tunayoijadili

-Je kwa maamuzi ya kukurupuka na fukuzafukuza tutasalimika ikiwa maaduwi wametapakaa kila secta mpaka jeshini....???

-Kama nyerere angewafukuza waganda tunaitafakali vipi vita ya uganda..............................


............................................................................................................................................
 
Last edited by a moderator:
Kweli unamshusha Cheo na Heshima Rais wetu yaani muda wote yeye akae na ninyi meza moja kwa lipi hasa
Hivi hakuna kazi nyingine mpaka awaingilie Mawaziri, Makatibu wakuu, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa POLISI, Wakuu wa Vyama vya Madaktari, Walimu kwa kukaa eti na watu waliogoma, unajua hii Demokrasia mnajifunza vibaya kila kitu hata mkikosa Choo mtataka mkamuone Rais akawajengee vyoo.
Kifupi hapa unaleta Siasa na chuki juu ya utawala wa JK. imenenwa 'HESHIMUNI MAMLAKA ZILIZOWEKWA NA MUNGU'
namalizia kwa kukueleza kuwa Wakimbizi wameshafika kwao na wengine wasakwe na watanzania wnzangu warudishwe kwao.
Licha ya DW hata BBC wameeleza Warundi kibao wametoka DRC maeneo ya Uvira, Kivu na jirani wamekimbia mapigano kati ya Jeshi la DRC na wapiganaji walio na silaha (M23)
Ili Nchi za Maziwa makuu zitulie ni Wanayarwanda tu warudi kwao na hasa WATUTSI
Naona nimejitahidi kukuelewesha na kukujibu (Acha chuki na JK na Utawala wa TZ iko siku na ninyi mtajatawala) jioni njema
 
Kombe mauaji yake kuna conspiracy theory nyingine kuwa alikuwa nyuma ya Lyatonga Mrema kabla hajawa ------- kisiasa, Kuhusu Mwaikusa kuna conspiracy theory ya kuonana uso kwa uso na Daud Balali nasikia mtanzania ukimuona Balali ndio mauti yako, kafichwa kukibeba chama na serikali. JK haaminiki unaweza kuwa ni vita ya kugombea demu na Kagame, we need to dig more.
Kipindi kile Mrema kuchukua nchi ilikuwa sio tishio mpaka kumuondolea uhai wake, ila ni wale wachache wa UWT waliojua ni kwa vipi Slim Boy kaichukua Rwanda na waliotumwa nao kwa kumfananisha na mwizi wa magari (White) walipotolewa Gerezani nao Qwishney
Hivyo kuwapunguza kidomidomi hawakuogopa kuja TZ fuatilia Article ya Mch Mtikila


Hapo ndio napomkumbuka mbabe km Mboma yeye hakuogopa mtu angepata ruksa kama kutoka kwa Lowassa wangetutambua kuwa sisi sio wa kuvamiwa mpaka uvunguni, mtu wetu anakuja burutwa na kuuawa, tunanyamaza.
MY TAKE
Hawa watu wapo kila kona ndio aana kuna jamaa kasema sio Askari huyo mmoja Luteni kanali kuna wengine wa3 hawajulikani waliko


MUNGU ni mkubwa tuvute subira[/QUOTE]

sioni uhusiano wa kufa kwa wakili na uhusiano wa ushahidi dhidi ya kagame kupotea, hiki ni kizungumkuti kingine.
 
Tatizo umeshindwa kusimaia hoja zako, umebaki kupiga propaganda wenyeakili zao wanakusoma bali mazezeta wachache kama wewe ndiyo wanaokushabikia.

Wewe hunifahamu hata kidogo nitakujibu tu kifupi mimi ni mtanzania 100% lakini hata siku moja si wakujikomba wala kuwapapatikia watawala wa visasi sasa acha proganda simama katika hoja tuijadili.

maji yatajitenga na mafuta kama wanafiki watakavyojitenga na ukweli bila kujijua!
 
Kweli unamshusha Cheo na Heshima Rais wetu yaani muda wote yeye akae na ninyi meza moja kwa lipi hasa
Hivi hakuna kazi nyingine mpaka awaingilie Mawaziri, Makatibu wakuu, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa POLISI, Wakuu wa Vyama vya Madaktari, Walimu kwa kukaa eti na watu waliogoma, unajua hii Demokrasia mnajifunza vibaya kila kitu hata mkikosa Choo mtataka mkamuone Rais akawajengee vyoo.
Kifupi hapa unaleta Siasa na chuki juu ya utawala wa JK. imenenwa 'HESHIMUNI MAMLAKA ZILIZOWEKWA NA MUNGU'
namalizia kwa kukueleza kuwa Wakimbizi wameshafika kwao na wengine wasakwe na watanzania wnzangu warudishwe kwao.
Licha ya DW hata BBC wameeleza Warundi kibao wametoka DRC maeneo ya Uvira, Kivu na jirani wamekimbia mapigano kati ya Jeshi la DRC na wapiganaji walio na silaha (M23)
Ili Nchi za Maziwa makuu zitulie ni Wanayarwanda tu warudi kwao na hasa WATUTSI
Naona nimejitahidi kukuelewesha na kukujibu (Acha chuki na JK na Utawala wa TZ iko siku na ninyi mtajatawala) jioni njema


Wewe Ukwaju maliza kiporo hiki kisha tuendelee hapana kurukaruka.

quote_icon.png
By Ukwaju
Benjamini Mkapa ni Mbantu (Mmakonde) hata J. Kikwete ni Mbantu
huwezi kuwa na jirani Mtutsi asilani hata huku ninakoishi
wana tabia zisizo za kibinadamu (kuzusha visa, ugomvi, vita nk)
UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI By Rev C. Mtikila


1. Nini maana ya neno mbatu ilitujadili vema shutuma za wanyarwanda kwa kikwete?

2. Mkapa ni mmakonde kwa maelezo yako wapi asili ya wamakonde? tabora, mbeya Msumbiji, malawi wapi hasa?

Narudia shutuma na propaganda zako na magazeti unayoleta hapa jukwaani kuhusu asili ya mtu siyo hoja kabisa

-Obama siyo mzungu na taswira yake ipo wazi asili yake ni bara Afrika lakini ni Rais wa USA

-Tulikuwa na konderiser Rice kama obama

unawazungumziaje hawa........nakuachia upate majibu.

Narudia, jambo la msingi ni uwezo wa kuweka mazigira bora ya ushirikiano na mawasiriano mazuri na majirani ndiyo jambo la msingi sio asili ya mtu.

Leta majibu tuendelee.
 
Last edited by a moderator:
kitanuka anytime km ndo ivo km kuna mtu ana kamguu ka bata ka ziada aniuzie jama kwa ajili ya ulinzi binafsi hali ikiwa tete....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom