nyamadoke75
Member
- Apr 1, 2020
- 93
- 288
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂jamaa hajui police kuna wanaoruhusiwa kuongea na press wengine hakuna, alimchomea IGP kwa SamiaWatakuua hao Polisi wenzako.
Acha unaa!
Kwani ujaelewa alivoeleza( KICHWA NGUMU SANA )Ishu ni nini , na ubabe uliotumika wa kivipi? Tulia basi mbona unaleta habari Kama unakunywa maji ya moto?
Na hata akiacha kazi akiajiriwa uraiyani watampa kesi ya ugaidiAiseehh....yani inabidi aamishwe kabisa jeshi la polisi ndio aweze endeleq na maisha ya kawaida, la sivyo watammaliza tu, maana wamedhamiria kufanya hivyo.
Acha kebehi basi kwangu hiyo video ilikuwa Kama picha tu sikusikiliza laiti ningeiona nisingeulizaKwani ujaelewa alivoeleza( KICHWA NGUMU SANA )
Kumbe alichokoza mamba😂jamaa hajui police kuna wanaoruhusiwa kuongea na press wengine hakuna, alimchomea IGP kwa Samia