Askari Meshaki Afukuzwa kazi kibabe

Askari Meshaki Afukuzwa kazi kibabe

CCM wewe tunakujua sana, enzi zile mlijiona nchi yenu peke yenu na kujifanya mnawatesa wapinzani, haya zambi zako zinakutafuna sasa.
Mbona kama unafanya personal attack. Yeye katoa maelezo yenye facts kuonyesha jinsi alivyoonewa. Sasa wewe unampa hutuma zisizo na facts, kwamba kaua, katishia viongozi wa dini! Toa maelezo yanayothibitisha kwamba kaua, toa maelezo alitishaje viongozi wa dini katika mazingira yapi sababu haiingii akilini viongizi wa dini wenye access ha kuonana na viongozi wakubwa serikalini wakubali tu kutishiwa na OCS!
 
Yes ,huyu askari anapiga sana kazi lakini shida yake kubwa ni anaropoka sana yaani Hana break Kuna walaka wake nilisoma unaosema IGP anataka kumuua ,Sasa unajifikilia ivi kweli wewe kama askari unaeda kuongea hadharani kwamba mkuu wa jeshi alieaminiwa na rais anataka kumuua kisa rushwa kweli ,nikijuacho mimi askari yeyote yule anafanya kazi kwa maelekezo ya viongozi wae Wala hajipangi kazi na hata akikama kitu jeshi ndio linabidi li ongee kwa niaba yake sio wewe unaropoka ropoka tu then unamlalamikia vyeo ,vyeo ivi kweli vyeo nivyakulalamikia kiasi kwamba ukosane na muajiri wako ,na ndio maana nikasema askari huyo anawalakini kidogo ,afu IGP ndio ana mandate ya kufukuza Askari wa cheo Kama chake Sasa IGP sio mjinga kiasi icho mpka aamue kutoa maelekezo ya kufukuzwa kwa askari huyo bila kosa lolote na wakati anajua Malalamiko ya uyo askari yalishamfikia mpka mkuu wa inchi pamoja na waziri mkuu
Yes. Huyu askari anaropoka sana kama Tundu Lissu.
 
Yes ,huyu askari anapiga sana kazi lakini shida yake kubwa ni anaropoka sana yaani Hana break Kuna walaka wake nilisoma unaosema IGP anataka kumuua ,Sasa unajifikilia ivi kweli wewe kama askari unaeda kuongea hadharani kwamba mkuu wa jeshi alieaminiwa na rais anataka kumuua kisa rushwa kweli ,nikijuacho mimi askari yeyote yule anafanya kazi kwa maelekezo ya viongozi wae Wala hajipangi kazi na hata akikama kitu jeshi ndio linabidi li ongee kwa niaba yake sio wewe unaropoka ropoka tu then unamlalamikia vyeo ,vyeo ivi kweli vyeo nivyakulalamikia kiasi kwamba ukosane na muajiri wako ,na ndio maana nikasema askari huyo anawalakini kidogo ,afu IGP ndio ana mandate ya kufukuza Askari wa cheo Kama chake Sasa IGP sio mjinga kiasi icho mpka aamue kutoa maelekezo ya kufukuzwa kwa askari huyo bila kosa lolote na wakati anajua Malalamiko ya uyo askari yalishamfikia mpka mkuu wa inchi pamoja na waziri mkuu
Kwa hiyo ukitaka kuuawa na IGP ukae kimya kisa ameteuliwa na Rais mbona hao hao Polisi ripoti zao haziaminiwi mpaka imeundwa Tume kuwachunguza maana yake hata IGP aaminiwi ila ni ngumu yeye kuelewa...vyeo sio dhamana ya kufanya chochote na watu wengine wakae kimya..
 
Dalili zinaonyesha wakisha wamaliza waadilifu wote watabakia wao lakini hawatabakia salama
 
Yani unajiunga na genge la wahalifu , then unataka kuchomoka kirahisi, haiwezekani , apambane na hali yake kama alisababisha ndugu wa kamanda Zirro amwage unga yeye anategemea apone? mipoliciiciiemu ndivyo ilivyo ua nyonga bambika sasa wanakuilana wenyewe.
 
Fumua, piga msasa na panga upya hili jeshi.
 
Back
Top Bottom