Askari Meshaki Afukuzwa kazi kibabe

Askari Meshaki Afukuzwa kazi kibabe

pamoja na kwamba Afande IGP hakulihandle vizuri swala la huyu askari lakini pia huyu askari anaonekana anashida mahari
Huwezi kugombana na askari wenzako na mpaka mkuu wa jeshi kabisa ukagombana nae pia huwezi kuongea kila kitu Cha jeshi kwa majeshi mengine yaani unawaamini usalama wa taifa pasipo kumuamini aliekuajiri,tena unaenda kumchomea kwa rais kabisa na tena ni askari wa cheo kidogo Cha chini kabisa haifai kabisa
Siro unamjua au unaskia
 
Tunakujua wewe ni CCM, mipango yenu ya kutaka kumtawala kila mtu kwenye jeshi la polisi haiwezekani.

Kwanza kabisa ulivyo fanya uzalimu kwa viongoz wa dini ulifikiri Ni jambo jema Pia tunakujua vizur wewe meahack kwani kwa mara kazaa tumeona mambo yako ya kuwatishia viongozi mbalimbal ikiwa pamoja na viongozi wa dini na watu wote tunaokuja hapo kituo cha polisi kijenge na sekei ulivyo fanya mambo ya hovyo na kuwatisha wafanya biashara hapa mjni



Achilia mbali wewe umekuwa na tuhuma za mauaji ya Chalii yetu ambae alikuwa fundi anae kaa baraa pia Habari zako tunazo hapa mjini acha ngonjera siye machali wa R hatutaki ngonjera hizo ngonjera pelekea MaPolisi ccm wenzako

Sasa ushatoka tukutane mahakamani na Kesi ya mauaji uliyoifanya kwa ndugu yetu na ndugu zako mapolisi CCM

Unambwelambwela unajifanya mwema umetesa sana viongozi wa dini sisi tunaenda mahakamani tukamalizane maana sisi machali ulituona wajinga kutumalizia mdugu yetu tuna kwenda kukumalza mahakaman ushaihidi tunao
Duuuuu! Hili jamaa bumunda kweli yani hata ssi ambao tunafuatili mapigano kwenye series za ulaya ambao wame advance uwezi utoa hiyo kitu ya bunduki ikatoa sauti
 
pamoja na kwamba Afande IGP hakulihandle vizuri swala la huyu askari lakini pia huyu askari anaonekana anashida mahari
Huwezi kugombana na askari wenzako na mpaka mkuu wa jeshi kabisa ukagombana nae pia huwezi kuongea kila kitu Cha jeshi kwa majeshi mengine yaani unawaamini usalama wa taifa pasipo kumuamini aliekuajiri,tena unaenda kumchomea kwa rais kabisa na tena ni askari wa cheo kidogo Cha chini kabisa haifai kabisa
Jeshi ni nidhamu, sio ukweli, ukweli unaangaliwa baadaye, Kwanza nidhamu.
Ukiambiwa geuka nyuma unageuka, Ukiambiwa mbele tembea ni mbele tembea.
Hapa Kama kuna ukweli atakayesikilizwa ni Mkubwa na sio mdogo. Anaweza kuwa na hoja za msingi lakini kwa vile anayelalamikiwa ni mkubwa basi imekula kwake, anayesikilizwa ni mkubwa.
 
Hii nchi mnalaumu mafisadi na wezi bure. Komamanga kama hizi hapa kwenye uzi ziko zinashabikia ujinga, yani usipoiba bongo unaonekana fala
 
Hivi tupo tanzania au tupo Sudan?? Kweli tumemkumbuka magu
 
Duuuuu! Hili jamaa bumunda kweli yani hata ssi ambao tunafuatili mapigano kwenye series za ulaya ambao wame advance uwezi utoa hiyo kitu ya bunduki ikatoa sauti
Chalii una baraa wewe na vile tena unaishi baraa yaani ndio baraa kabisa yaani. Umeandika kisha umekuja kuji quote mwenyewe kwa kujitukana [emoji1787][emoji1787]machalii acheni bangi
 
Aiseehh....yani inabidi aamishwe kabisa jeshi la polisi ndio aweze endeleq na maisha ya kawaida, la sivyo watammaliza tu, maana wamedhamiria kufanya hivyo.
Kama anaipenda roho yake asisubiri serikali bali ajiongeze atorokee hata congo kwa lori.
 
Polisi sio wazuri...

Wanamlazimisha akubali pesa wakati mwenzao anataka sifa!

Aah..
 
jamaa analeta ishu za uzalendo baada ya ngoma kujamba ha ha ha ha ha wazalendo waliisha kufa enzi za mwalim
 
Back
Top Bottom