Tunakujua wewe ni CCM, mipango yenu ya kutaka kumtawala kila mtu kwenye jeshi la polisi haiwezekani.
Kwanza kabisa ulivyo fanya uzalimu kwa viongoz wa dini ulifikiri Ni jambo jema Pia tunakujua vizur wewe meahack kwani kwa mara kazaa tumeona mambo yako ya kuwatishia viongozi mbalimbal ikiwa pamoja na viongozi wa dini na watu wote tunaokuja hapo kituo cha polisi kijenge na sekei ulivyo fanya mambo ya hovyo na kuwatisha wafanya biashara hapa mjni
Achilia mbali wewe umekuwa na tuhuma za mauaji ya Chalii yetu ambae alikuwa fundi anae kaa baraa pia Habari zako tunazo hapa mjini acha ngonjera siye machali wa R hatutaki ngonjera hizo ngonjera pelekea MaPolisi ccm wenzako
Sasa ushatoka tukutane mahakamani na Kesi ya mauaji uliyoifanya kwa ndugu yetu na ndugu zako mapolisi CCM
Unambwelambwela unajifanya mwema umetesa sana viongozi wa dini sisi tunaenda mahakamani tukamalizane maana sisi machali ulituona wajinga kutumalizia mdugu yetu tuna kwenda kukumalza mahakaman ushaihidi tunao