wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
Hao wenye mapungufu ya akili?Serikali imuhamishie kwenye Kazi za unoko mfano Takukuru au usalama huku kuna mfaa mzalendo huyu wa mwaka watu kama hawa ni adimu Sana kuwapata siku hizi.
Hakuna askari hapo mkuu. Msingi mkuu wa majeshi ni kufuata taratibu za kutoa malalamiko au taarifa Si ajabu taarifa zake hizo hajawahi kuzitoa kwa viongozi wake ngazi ya Wilaya na hata mkoa matokeo yake analipuka kwa waziri. Kijeshi hilo ni kosa. Hakufuata propper channel of communication.
Mjinga tu huyo.