tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Siro unamjua au unaskiapamoja na kwamba Afande IGP hakulihandle vizuri swala la huyu askari lakini pia huyu askari anaonekana anashida mahari
Huwezi kugombana na askari wenzako na mpaka mkuu wa jeshi kabisa ukagombana nae pia huwezi kuongea kila kitu Cha jeshi kwa majeshi mengine yaani unawaamini usalama wa taifa pasipo kumuamini aliekuajiri,tena unaenda kumchomea kwa rais kabisa na tena ni askari wa cheo kidogo Cha chini kabisa haifai kabisa
Huyu ni wale Akari wa CCMUkiuliza upande wa pili utapata taarifa tofauti sana
Duuuuu! Hili jamaa bumunda kweli yani hata ssi ambao tunafuatili mapigano kwenye series za ulaya ambao wame advance uwezi utoa hiyo kitu ya bunduki ikatoa sautiTunakujua wewe ni CCM, mipango yenu ya kutaka kumtawala kila mtu kwenye jeshi la polisi haiwezekani.
Kwanza kabisa ulivyo fanya uzalimu kwa viongoz wa dini ulifikiri Ni jambo jema Pia tunakujua vizur wewe meahack kwani kwa mara kazaa tumeona mambo yako ya kuwatishia viongozi mbalimbal ikiwa pamoja na viongozi wa dini na watu wote tunaokuja hapo kituo cha polisi kijenge na sekei ulivyo fanya mambo ya hovyo na kuwatisha wafanya biashara hapa mjni
Achilia mbali wewe umekuwa na tuhuma za mauaji ya Chalii yetu ambae alikuwa fundi anae kaa baraa pia Habari zako tunazo hapa mjini acha ngonjera siye machali wa R hatutaki ngonjera hizo ngonjera pelekea MaPolisi ccm wenzako
Sasa ushatoka tukutane mahakamani na Kesi ya mauaji uliyoifanya kwa ndugu yetu na ndugu zako mapolisi CCM
Unambwelambwela unajifanya mwema umetesa sana viongozi wa dini sisi tunaenda mahakamani tukamalizane maana sisi machali ulituona wajinga kutumalizia mdugu yetu tuna kwenda kukumalza mahakaman ushaihidi tunao
Jeshi ni nidhamu, sio ukweli, ukweli unaangaliwa baadaye, Kwanza nidhamu.pamoja na kwamba Afande IGP hakulihandle vizuri swala la huyu askari lakini pia huyu askari anaonekana anashida mahari
Huwezi kugombana na askari wenzako na mpaka mkuu wa jeshi kabisa ukagombana nae pia huwezi kuongea kila kitu Cha jeshi kwa majeshi mengine yaani unawaamini usalama wa taifa pasipo kumuamini aliekuajiri,tena unaenda kumchomea kwa rais kabisa na tena ni askari wa cheo kidogo Cha chini kabisa haifai kabisa
Chalii una baraa wewe na vile tena unaishi baraa yaani ndio baraa kabisa yaani. Umeandika kisha umekuja kuji quote mwenyewe kwa kujitukana [emoji1787][emoji1787]machalii acheni bangiDuuuuu! Hili jamaa bumunda kweli yani hata ssi ambao tunafuatili mapigano kwenye series za ulaya ambao wame advance uwezi utoa hiyo kitu ya bunduki ikatoa sauti
Kwa vile ni ninyi kwa ninyi hebu endelea kupambania kombe, kinachofuata watakupoteza. Mkishavaa hizo nguo za Khaki utu huwa mnaweka kando
Kama anaipenda roho yake asisubiri serikali bali ajiongeze atorokee hata congo kwa lori.Aiseehh....yani inabidi aamishwe kabisa jeshi la polisi ndio aweze endeleq na maisha ya kawaida, la sivyo watammaliza tu, maana wamedhamiria kufanya hivyo.
Jamaa alipaswa ingia Congo kitambo sana.Kama anaipenda roho yake asisubiri serikali bali ajiongeze atorokee hata congo kwa lori.
angechukua ile 10m angenunua leather sofaHuo upambaji asee
Koh koh koh koh.Hivi polisi ni polisi au polisi ni majambazi?