SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Ama kweli mshahara wa dhambi ni mauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawamajitu wanaiba wake za watu Sasa wamekutana na wahuni wa ngalelo mamfya wamemuua na Kisha kuweka visingizio vya kuiba had na simuNajiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!??
Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!??
Pia kwa maaskari wetu walivyo wababe sidhani kama angehitajika kuruka geti, pale ilikuwa anakwenda kumface mlinzi na kumuamuru amfungulie hata ikibidi angejitambulisha,, mlinzi asingegoma asilani
Kuna utata ktk hili
Hamna kazi ya kufanywa kipumbavu kiasi hichi cha Askari wa kutoroka na chipsLabda alikuwa kazini, hata hyo simu aloiba alikuwa anakazi nayo...
Labda lakini.
Ukute alikuwa tungi piaKwanza kalala njaa( chips zake hajala)pili ni mwizi (alikuwa anatoroka cm ya huyo mwanamke wake)tatu tumwesabu kama kibaka (kwa nini aruke ukuta)nne ni nanga (unaruka ukuta unafikia kichwa?)ina maana kwenye mafunzo hakupitia vikwazo?ua alikuwa doja labda.
R.i.p pot uliekuwa kizembe.
Alafu ukute hata mzigo hajala.
Inauma sana
Mtu mwenye akili timamu hata kama alikuwa anamkimbia dem hakukuwa na sababu ya kuruka ukuta, alafu ukakasi zaidi ni kwenye kuruka na kudondokea kichwa sijui akapasuliwa na kitu kichwani....ni upishi tu. Afande aliuliwa na kurushwa nje ya ukuta, upelelezi utafichua kila jambo na wahusika watakamatwa.Kwa hiyo hakula Mzigo? Hakuiba simu? Hakuondoka na Chips ? Hakuruka Ukuta? Hakwenda na yule demu pale Guest??? Usitoe statement nyepesi nyepesi hivyo...
Uongo huoJamaa yangu alikuwaga njaguanasema kama wakati ule wanakwe da kukamata bitchies pale kona bar unaambiwa wanawapitisha sehemu ya giza afu wanaanza kuwapiga mashine vibaya sana baadae ndo wanwapeleka Selo!!
Kabisa, kuna mchezo mchafu nyuma ya kifo cha Afande.Hawamajitu wanaiba wake za watu Sasa wamekutana na wahuni wa ngalelo mamfya wamemuua na Kisha kuweka visingizio vya kuiba had na simu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata hivyo baada ya askari polisi kufika walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingineAskari Polisi jijini Arusha amefariki dunia katika mazingira ya utata katika nyumba ya kulala wageni ya Mrina shine iliyopo makao mapya jijini hapa.
Taarifa za awali kutoka kwa shuhuda wa tukio hilo ambaye aliomba jina Lake lihifadhiwe zimedai kuwa, Saiba aliingia katika nyumba hiyo majira ya saa sita usiku akiwa na mwanamke mmoja ambaye jina lake hakufahamka mara moja .
Aliieleza kuwa marehemu aliandikisha katika kitabu cha wageni na kupewa chumba namba tano na kisha kuingia katika chumba hicho akiwa na mwanamke huyo, kibegi kidogo cha mgongoni na radio ya mawasiliano aliyokuwa ameshika mkononi.
Alisema majira ya saa 9 usiku askari huyo alitoka ndani ya chumba hicho na kumwacha mwanamke huyo akiwa amelala fofofo. Aliendelea kudai kuwa marehemu alikwenda nyuma ya nyumba hiyo na kuruka geti la nyumba hiyo akiwa na lengo la kumtoroka mwanamke huyo, ndipo alipoangukia kichwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali kichwani.
Taarifa zinadai kwamba baada ya mlinzi kusikia kishindo alienda katika geti hilo na kumkuta askari huyo akiwa ameanguka chini akivuja damu nyingi kwenye paji la uso na kutoa taarifa polisi ambapo majira ya alfajiri polisi wenzake walifika na kukuta amepotez maisha.
Hata hivyo baada ya askari polisi kufika walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine.
Jitihada za kumtafuta kamanda wa polisi mkoani hapa ,Justin Masejo ili kuzungumzia tukio hilo ziligonga mwamba mara baada ya simu yake ya mkononi kuita kwa muda mrefu bila kutopokelewa.
Mwili wa marehemu Stewart unatarajiwa kusafirishwa kwenda kwao Bukoba kwa ajili ya maziko, baada ya kufanyiwa uchunguzi.
Mwenyezi mungu alilaze mahala pema peponi roho ya marehemu Stewart, Amen!
===================
View attachment 2477611
View attachment 2477612
Uchoyo,ulafi na mawazo mabaya ya kukufuru uumbaji wa Mungu nazo ziongezwe.Askari gani mzembe asiyetumia vema akili yake?da kaondoka na zambi mbili za faster UZINZI na WIZI wa simu a demu bado zingine alizokuwa nazo mwanzo na kaondoka bila kutubu pengine alikuwa anawaza kesho aende kutubu
Kwamba walikuwa wanamfuatilia kwa nyuma au walimuona kwenye kamera?Wawe makini.Alisema majira ya saa 9 usiku askari huyo alitoka ndani ya chumba hicho na kumwacha mwanamke huyo akiwa amelala fofofo. Aliendelea kudai kuwa marehemu alikwenda nyuma ya nyumba hiyo na kuruka geti la nyumba hiyo akiwa na lengo la kumtoroka mwanamke huyo, ndipo alipoangukia kichwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali kichwani.
Ina maana mwandishi/mleta habari alipewa hadi fursa ya kuangalia na kuhesabu vitu alivyobeba(vinavyosadikika) askari aliyetoroka maisha?Hata hivyo baada ya askari polisi kufika walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine
Ukiunga dot unapata jibu wala huhitaji kuumiza kichwaNajiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!??
Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!??
Polisi wanatabia ya kukurupuka sana katika kutoa Taarifa.Bora wewe umeamua kutumia akili kidogo, na bado hii taarifa ni ya upande mmoja.
Unaijua pombe vizuri ikiingia kichwani?Kama alinunua chips kwann hawakuila mpaka anarudi nayo?
Kama bia aliingia nayo kwann hakuinywa au kumpa mwenzie mpaka anaamua kurudi nayo?
Kama mchezo umepewa mpaka mtu kalala fofo na wakati umeingia wahudumu walijua lazima utakuwa n Askari sababu ya rediokol sasa kulikuwa na ulazima gani aruke ukuta?
Kwa mazingira yale Kama alifanikiwa kumwacha Mwanamke akiwa amelala fofofo na kumchukulia simu yake huku chakula na bia akiwa navyo mkononi pamona na kutambulika kuwa n Askari sidhan Kama alishindwa kupitia njia ya mlangoni.
Hapa kuna shida nyingine zaidi ya hili mnalojadili humu.
Nataka hilo faili litoke polisi walikete ofisini kwangu kwa uchunguzi zaid