Askari unakiogopaje kifo wakati kipo tuu??Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
nyuma ya sheli kiwanda cha magonjwa zinaa na ukimwiMara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
ExactlyKifo kipo lakini sio cha kuchongea jeneza sababu mtu hujui utafia wapi. Kuna wale MV Bukoba meli ilizama wengine hadi leo hawajapatikana, kuna walioungua moto malory ya mafuta yalipolipuka miili ikaungua kiasi mtu.hatambuliwi, Ndege ya Malyasia ilipotea na abiria wote hadi leo miili yao haijawahi kupatikana irudi kuzikwa kwao
Sidhani kama ni sahihi kujijengea kaburi na jeneza sababu binadamu huwezi jua kifo utakutana nacho wapi na kitakuwaje.
alikua na team yake pale wanajifanya wanajiuza kumbe ndio MAPOLISI wabobezi.Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
Wanadamu kuna wengine wana "kichaa" wanatembea nacho.. huyu anahitaji kumwona daktari wa akili na Saikolojia. Unaweza ukasema anasaidia kutosumbua mtu kuhusu michango wakati wa kifo chake, lakini hiyo haina maana yoyote ile. Kwanza ndiyo asili ya Binadamu kwamba amepangwa kuzikwa na wengine, lakini pia kama atachelewa kufa, na kufa akiwa anakaribia miaka mia huko, hii miundombinu yote aliyoandaa itakuwa bure, maana itakuwa imechakaa na italazimu watu kununua jeneza jingine, atakuwa ni kama ametupa tu hela.Huyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Vijana wa mazenze na chamwino walikuwa wanamuogopa kinoma, kaumba ilikuwa ni sehemu yake ya kuchukua Malaya Kwa nguvunakumbuka kipindi kile pale morogoro mji ulisimama saba sita akipita!
Atakuwa anateseka sana nafsini. Mkono wake una damu nyingi za watuHaya yatakuwa ndio matokea yake. Askari wengi watakuwa wanapitia haya, sema huyu kwasababu ni famous na kaamua kutumia media.
na kule mafisa,mji mpya, kichangani, mwembesongo walikua hawana amani naye kabisa.Vijana wa mazenze na chamwino walikuwa wanamuogopa kinoma, kaumba ilikuwa ni sehemu yake ya kuchukua Malaya Kwa nguvu
Naked commentKifo kipo lakini sio cha kuchongea jeneza sababu mtu hujui utafia wapi. Kuna wale MV Bukoba meli ilizama wengine hadi leo hawajapatikana, kuna walioungua moto malory ya mafuta yalipolipuka miili ikaungua kiasi mtu.hatambuliwi, Ndege ya Malyasia ilipotea na abiria wote hadi leo miili yao haijawahi kupatikana irudi kuzikwa kwao
Sidhani kama ni sahihi kujijengea kaburi na jeneza sababu binadamu huwezi jua kifo utakutana nacho wapi na kitakuwaje.
Mungu alikuwa amelala? 🤔🤔Huyo mtu kama alikuwa hana hatia, atamsumbua sana.
Hata Cain alipomuua Abel, damu ya Abel ilimlilia Mungu hadi Mungu akaamka na kumuuliza Cain umemfanya nini nduguyo, na yuko wapi?
Sasa kama ameua majambazi si sawa hizo damu zinamtafuna vipi jambazi dawa yake ni kuuwawa ukimuacha anakuua yeyeHuyu tunamjua katoa sana roho za majambazi...istoshe task yake ya mwisho ilikua kibiti napo kaua sana...damu za watu,kisukari kikali kinamla
Halali wala hasinzii, wanaofanya madudu huwa wanafikiri hivyo.Mungu alikuwa amelala? 🤔🤔
Tunahukumiwa na dhamira. Kujitetea ruksa, ila kuua kwa makusudi damu lazima itanena vibaya juu yako.Sasa kama ameua majambazi si sawa hizo damu zinamtafuna vipi jambazi dawa yake ni kuuwawa ukimuacha anakuua yeye
Hakuna kitu kama hicho wahalifu wanaohatarisha uhai wa watu kuuwawa ni sawa na kama alikua anaua wahalifu wa namna hiyo hakuna kitu kibaya kitakacho muandamaTunahukumiwa na dhamira. Kujitetea ruksa, ila kuua kwa makusudi damu lazima itanena vibaya juu yako.
Kwenye sheria na kiutaratibu hakuna kitu kama hicho.Hakuna kitu kama hicho wahalifu wanaohatarisha uhai wa watu kuuwawa ni sawa na kama alikua anaua wahalifu wa namna hiyo hakuna kitu kibaya kitakacho muandama
Ni pale umestaafu, umejiandaa kufa.Safi sana kujiandaa.