Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

mosadhiyo ni vita mura, kupigwa sometimes sio kitu cha ajabu. nakushauri nenda kwenye lini ya twitter inaitwa https://twitter.com/TheMossadIL pale utapata kuangalia list ya viongozi wa hamas ambao hadi sasa wamekuwa eliminated. ni wengi mno, hao waliobaki kupigana ni wafuasi tu na viongozi wachache wamebaki, ila majority ya makamanda wao wameshakuwa eliminated. na israel inasema inatafuta kwanza viongozi na wengine wanafuata. hadi nimewaonea huruma. usije kufurahi ukidhani israel peke yake ndio anaumia hapo, upande wa pili kuna kipigo kikubwa sana kinatokea hadi hamas wenyewe hawapati muda kwenda kuzika viongozi wao. kama kuna mambwa gaza, baada ya vita hii wataishi kwa mizoga ya wanahamas kwasababu sidhani kama israel baada ya kuwauwa inawazika, inawaacha tu wanazagaa.
 
Askari aliyetoka kwenye kifaru ni mmoja tu, ila Mpalestina toka Mkuranga anavyoongeza chumvi kama hadithi njoo utam kolea [emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwani kifaru kinaendeshwa na askari mmoja.Si wanakuwa zaidi ya watano.Huyo ndiye aliyebahatika kutoka.
Na hivyo vifaru vya hapo pembeni ni vya nani kama si vya IDF.Hamas hawajawahi kumiliki hata kimoja
 
Kwanza hamkufikiria yote haya, mara oh ni taifa teule, usipoibariki Israel hutobarikiwa, aise nyie watu hamstahili kuishi huku.
You're out of your mind! Yaani unaona kama ndo umeshinda vita? Unatia huruma kabisa
 
huyu jamaa wa ajabu sana, anashangaa askari kukimbia huku akivua nguo, hajui kama akibaki na nguo atateketea kwa moto. ulitaka abaki mlemle aungue? au arudi kumwokea mwenzake ambaye anajua hawezi kufanikiwa kumwokoa, na yeye si atakufa na wakati huohuo adui yupo kwenye range ampige risasi? sema israel nao hao vijana wameenda huko ni wadogo, wapo kwenye 20s, wapo vitani wanafikiria magirlfriend wao wamewaacha uraiani pengine. jeshi lao wengi ni vijana wadogo jambo ambalo pia ni zuri kwasababu ni hazina kwa taifa. na wengine wameitwa tu toka mataifa mbalimbali kwasababu wayahudi wote duniani lazima huwa wana kipindi wanaenda kutumikia jeshini israel na kurudi nchini kwao, wengine hawapo vizuri ndio maana tunasema kama isingekuwa zana za kisasa, israel wangesumbuka zaidi ya hapo kwa hamas.
 
Sasa Ngoja Waje Usikie Subhuhana~Allah
 
Ahahaha
Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…