Uliwahi kuona wapi allah anamshindisha mtu si yeye anapiganiwa na ukifa eti ndio utaenda ahera kupewa mabikra 72 na Haineken inayotiririka kwenye mito.Vita bado inaendelea, sisi waislamu tegemezi letu ni Mwenyezi Mungu, na kwa uwezo wake Allah tutashinda
They will always be thereJihadist propaganda as usual. No stone will be left unturned until the Hamas terrorists are completely obliterated.
Upotolo wa kiwango cha lami kukaririshwa kulisifia taifa lengine eti taifa teuleIsrael ,Taifa Teule la Mungu, liliwah kufutika katika Ramani ya Dunia Kisha likarudi.
Taifa hili ninkielelezo Cha Mungu, yaan ukitaka kujua kua Mungu yupo, unaitazama Israel Ile iloandikwa kwenye maandiko matakatifu ndo hiii hii Sasa
Tutawapiga tuu ,no way !!!
Elon musk kaongea Vizuri tu, Hamas ni Idea sio watu, mtoto alieuliwa baba yake Leo ndio Hamas wa Kesho, huwezi kupigana na idea kwa kuua watu.They will always be there
Kusema mnataka kuwamaiza Hamas ni kujilisha upepo. Kuuwa viongozi sio issue kwani hizo ni nafasi tu, kiongozi akifa mtu mwingine anachukua nafasi. Hamas wanazaliwa kila siku acheni kunidanganya kwamba mtawamalizamosadhiyo ni vita mura, kupigwa sometimes sio kitu cha ajabu. nakushauri nenda kwenye lini ya twitter inaitwa https://twitter.com/TheMossadIL pale utapata kuangalia list ya viongozi wa hamas ambao hadi sasa wamekuwa eliminated. ni wengi mno, hao waliobaki kupigana ni wafuasi tu na viongozi wachache wamebaki, ila majority ya makamanda wao wameshakuwa eliminated. na israel inasema inatafuta kwanza viongozi na wengine wanafuata. hadi nimewaonea huruma. usije kufurahi ukidhani israel peke yake ndio anaumia hapo, upande wa pili kuna kipigo kikubwa sana kinatokea hadi hamas wenyewe hawapati muda kwenda kuzika viongozi wao. kama kuna mambwa gaza, baada ya vita hii wataishi kwa mizoga ya wanahamas kwasababu sidhani kama israel baada ya kuwauwa inawazika, inawaacha tu wanazagaa.
Mbona PLO mwalimu aliishi nao vizuri ila wakamtenda kama ambavyo mmeagizwa kafri yeyote atendwe?Siyo kila kafiri ni mbaya tufundishwa kuishi nao vizuri kama wanakutendea wema.
Mkuu, hiyo ni mbinu ya kivita. Waliingiza vifaru na magari ya vita katikati ya Gaza makusudi. Sasa Hamas wamejitokeza kichwakichwa, na wamegundulika wanakatokea. Sasa Mziki utauona karibuni.Katika hali ya kuzimwa data na umeme Gaza kuna mengi tunayokosa kuyaona.Hata hivyo machache yanayovuja kwa shida inaonesha vita huko ni kali kuliko ule ukali uliotarajiwa na jeshi la IDF.
Mara kadhaa jeshi hilo limeshatangaza kuingia katikati ya Gaza lakini baadae ikaonesha kuwa bado wako pembeni kabisa wakitumia makombora ya kutoka kwenye ndege zao za kisasa.
Katika moja ya vidio zilizotolewa kwa shida na wapiganaji wa Hamas imeonesha kifaru cha Israel kikiripuka baada ya kupigwa na silaha hafifu.Baada ya hapo mmoja wa waendeshaji kifaru hicho akachomoka kwa nyuma huku akivua magwanda yake na kukimbia akiwaacha waenzake waungue ndani ya kifaru hicho.
Pembeni ya kifaru hicho vipo vyengine kadhaa vilivyotelekezwa baada ya ama kuharibiwa au askari wake kuamua kuviacha tu na kukimbia.
View attachment 2810206
wameuawa wengi sana hata sasa, hasa hao viongozi, sema huwezi kumaliza ideology, ila utapunguza na kwa kitambo watakaa kwa amani. kwa sasa wana mpango wa kutawala gaza, pale hapatakaliwa na mtu wanataka iwe buffer zone kuanzia katikati mwa gaza hadi kaskazini, na lengo naona wanataka wapalestina wajiassimilate misri kwenye jangwa la sinai. its too bad ila wangekubali wangeishi tu pamoja wote kwenye nchi moja.Kusea mnataka kuwamaiza Hamas ni kujilisha upepo. Kuuwa viongozi sio issue kwani hizo ni nafasi tu, kiongozi akifa mtu mwingine anachukua nafasi. Hamas wanazaliwa kila siku acheni kunidanganya kwamba mtawamaliza
Tumeagizwa na nani? Nimekuambia Uislam umesema unaisho na mtu yeyote ambaye siyo Muilslam na kumfanyia wema, atakupokupengine mna haki ya kulipiza kisasi.Mbona PLO mwalimu aliishi nao vizuri ila wakamtenda kama ambavyo mmeagizwa kafri yeyote atendwe?
Misri kakataa huo mpango kawambia Israel hao wakimbizi watafutie sehemu huko Israel lakini siyo kija Misri kama wakimbizi.wameuawa wengi sana hata sasa, hasa hao viongozi, sema huwezi kumaliza ideology, ila utapunguza na kwa kitambo watakaa kwa amani. kwa sasa wana mpango wa kutawala gaza, pale hapatakaliwa na mtu wanataka iwe buffer zone kuanzia katikati mwa gaza hadi kaskazini, na lengo naona wanataka wapalestina wajiassimilate misri kwenye jangwa la sinai. its too bad ila wangekubali wangeishi tu pamoja wote kwenye nchi moja.
Hiyo ni game naonaMh...sio videogame hii kweli
Misri wamewakataa sababu ya tabia zao za ugaidi refer to Muslim brotherhood ndio maana mpakani mwa misri na Palestine Kuna liukuta refu 20ft high pia kwenda chini fut 60 kuepuka ma tunnel ya wajaa laanaMisri kakataa huo mpango kawambia Israel hao wakimbizi watafutie sehemu huko Israel lakini siyo kija Misri kama wakimbizi.
Mtoto wa gaidi ni gaidiKwa kuuwa watoto sio!
Tafuta muda usome historia ya mashariki ya kati acha kuokota maneno kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF unajua Misri kuna wakimbizi wangapi wa Palestina? Sababu ya kukataa kuruhusu Wapelstina kuingia Misri ni hii na Jordan pia.Misri wamewakataa sababu ya tabia zao za ugaidi refer to Muslim brotherhood ndio maana mpakani mwa misri na Palestine Kuna liukuta refu 20ft high pia kwenda chini fut 60 kuepuka ma tunnel ya wajaa laana
Plo kilikuwa Chama cha kijamaa, Palestina kuna makundi mengi mno unachanganya tu madafu Hapa.Mbona PLO mwalimu aliishi nao vizuri ila wakamtenda kama ambavyo mmeagizwa kafri yeyote atendwe?
Hawajawah kujaribu kumuu mfalme wa Jordan au kumpindua serikali ya Lebanon au ndio love is blind?Tafuta muda usome historia ya mashariki ya kati acha kuokota maneno kwenye vijiwe vya mbege unaleta JF unajua Misri kuna wakimbizi wangapi wa Palestina? Sababu ya kukataa kuruhusu Wapelstina kuingia Misri ni hii na Jordan pia.
Their refusal is rooted in fear that Israel wants to force a permanent expulsion of Palestinians into their countries and nullify Palestinian demands for statehood. El-Sissi also said a mass exodus would risk bringing militants into Egypt’s Sinai Peninsula, from where they might launch attacks on Israel, endangering the two countries’ 40-year-old peace treaty.
Here is a look at what is motivating Egypt’s and Jordan’s stances
Unajua kama id Amin alikataa msaada wa urusi wakat wa vita ya kagera alikua na mashaka maana warusi ni wajamaa na mwalimu ni mjamaa aliogopa kuzungukwa, PLO walipigana upande wa Amin Dada kwa kua waliamin Nduli angeshindwa mambo Yao mengi yangefeli maana Dada Id akitoa sanctuary kwa magadi wa PLO do your homework chiefPlo kilikuwa Chama cha kijamaa, Palestina kuna makundi mengi mno unachanganya tu madafu Hapa.
View attachment 2810457
View attachment 2810459
Wapiganaji wa PLO na red Book yao ya Mao miaka ya 1960s.
So PLO na Nyerere walikua pamoja sababu wote ni wa jamaa.
Ubalozi wa Palestina unaouona hapa Tanzania ni Serikali ya West Bank Palestina Chini ya Mahmoud Abbas ni utawala mwengine.
Gaza wapo Chini ya Hamas utawala mwengine ambao hauna Mahusiano na Wapalestina ambao wapo hapa.
Ndiyo maana nakuambia kasome hostoria ya Mashariki ya Kati upya Jordan ina wakimbizi zaidi ya milioni 2 wa Kipalestina hizo na porojo sijui umezitoa wapi huwenda una umri mdogo ungetumia muda wako kujifunza toka lini Palestina akatala kupindua hizo serikali.Hawajawah kujaribu kumuu mfalme wa Jordan au kumpindua serikali ya Lebanon au ndio love is blind?
Sijui kama mbinu hiyo ni mbinu ya kivita kweli.Ingekuwa vifaru havina marokelti ndani yake ingeingia akili lakini kifaru kimejazwa maroketi kwa ajili ya kupiga.Mkuu, hiyo ni mbinu ya kivita. Waliingiza vifaru na magari ya vita katikati ya Gaza makusudi. Sasa Hamas wamejitokeza kichwakichwa, na wamegundulika wanakatokea. Sasa Mziki utauona karibuni.
Ukiangalia kwa makini utaona hivyo vifaru ni vile vya kizamani na huendeshwa na Single operator,likely ndo huyo aliyeruka akakimbia.