inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hapo hujaona upepo,umeona athari/ za upepoUpepo ukiwa mkali miti inapepea, ninaona kwa macho yangu,
upepo ukiwa mkali bati linango’ka ninaona kwa macho yangu
Nikipuliza karatasi linapepea ninaona kwa macho yangu.
Huoni upepo bali dalili/athari za upepo,kama uliuona upepo,una rangi gani,umbo!?..umeme ulishawahi uona,ukoje!?Upepo ukiwa mkali miti inapepea, ninaona kwa macho yangu,
upepo ukiwa mkali bati linango’ka ninaona kwa macho yangu
Nikipuliza karatasi linapepea ninaona kwa macho yangu.
Yaani toka kwenye dalili,upepo mpaka hapa,hujaelewa chochote!!?.umeelewa watu kufanya ngono tu..unanirudisha nyuma tena!!..endelea na shughuli zako mkuuNgoja sasa,
ulichofanya wewe ni sababu sifahamu chanzo cha ulimwengu hivyo unajaribu kupachika kitu “A gap of knowledge” ili ufix.
Kutokufahamu kwako hakujustify mungu yupo ni sababu tu hatujui.
Ni hivi umeshindwa kutengeneza link ya kuonyesha mungu ana exist kwa namna yoyote ukaamua kuchukua mfano wa watu wanaofanya ngono pasipo onyesha mungu huyo anaingiaje hapo.
Mpaka sasa hujathibitisha mungu yupo.Hapo hujaona upepo,umeona athari/ za upepo
Huoni upepo bali dalili/athari za upepo,kama uliuona upepo,una rangi gani,umbo!?..umeme ulishawahi uona,ukoje!?
Nimekwambia endelea na shughuli zako babuMpaka sasa hujathibitisha mungu yupo.
Umeme unapimwa, umeme una kanuni zake
Embu wewe thibitisha mungu yupo kwa namna yoyote ile
Mifano mfu.Yaani toka kwenye dalili,upepo mpaka hapa,hujaelewa chochote!!?.umeelewa watu kufanya ngono tu..unanirudisha nyuma tena!!..endelea na shughuli zako mkuu
nimekubali kushindwa kwako mdogo wangu.Nimekwambia endelea na shughuli zako babu
Hata sentensi 'endelea na shughuli zako' huelewi maana yake!?Mifano mfu.
Tengeneza link ya watu kufanya ngono na uwepo wa mungu umeshindwa?
Umekataa ushauri wangu wa kupumzika basi muombe sana Allah vita isitishwe ili kuwapunguzia machungu na mateso watu wasio na hatia.mimi nakula na kushiba,nalala na kuamka,Namshukuru Allah kwa wingi.Mimi nawafikiria zaidi kazi wanayoifanya Hamas.
Muda mwingi nautumia kukumbuka uwezo wa Mwenyezi Mungu kuwapa nguvu na subira watu wanaokuwa katika mazingira magumu wakipigania haki zao.
Watakwambi
Watakwambia ni ya kutengeneza.
🛑 In a joint operation between Al-Quds Brigades & Al-Qassam Brigades, they clashed with a zionist force stationed inside a building in the Al-Faluja area, inflicting casualties, including both killed & wounded.the fact ni kwamba, Hamas hawana hata nafasi kusimama huru vile, GAZA yote imetwaliwa, hamas hawaishi sehemu ya wazi, wanaishi kwenye mahandaki. Israel hajaona midomo/milango yote ya hamas, hivyo ile ambayo haijagundulika ndio wanachomoza ghafla na kupiga risasi askari ambaye alikuwa hajawaona na kukimbilia kwenye shimo.
😂😂Wenzako wanakufa kwa maelfu wewe upo nyuma ya keyboard unapiga propaganda ambazo hazitasaidia chochote.Mpaka sasa magaidi zaidi ya 7000 yamewahishwa jehanamu upesi,palestina lazima iwe huru kutoka mikono ya magaidi ili raia wema waishi kwa amani.
Umekataa ushauri wangu wa kupumzika basi muombe sana Allah vita isitishwe ili kuwapunguzia machungu na mateso watu wasio na hatia.
Acha propaganda kama unazopost hazisaidii chochote. Jikite kuwaombea wananchi wanaotaabika na siyo hao waliyowasababishia mateso.
Ni hayo tu.
Ukraine unailinganisha na Hamas? kweli huna akili.Kwenye vita usitegemee urahisi,urusi anataabika na Ukraine mwaka wa pili huu nani alitegemea?.
Mwambie Netanyahu mimi hawanihusu.
Wale waliokua wakienda kukabidhi mateka kwa uhuru na amani kubwa ni kina nani, hadi mateka wanakabidhiwa wakaungane na familia zao wanatamani warudi walikotekwa maana walikofichwa usalama ulikua ni mkubwa kuliko wanakoenda maana bila kutekwa pengine wangeshakufa kwa vita inayoendekea..jamaa anataka kumanisha hamas ndio hao waliosimama na bunduki. hakuna hata hamas mmoja anayetokea sehemu ya wazi, kila sehemu kuna wanajeshi wa israel. hamas wamejificha kwenye mahandaki,wanatoka tu ghafla na kupora chakula cha msaada na kuingia nacho kwenye mashimo.
Nashukuru kwa ushauri wako japokuwa nauona ni ushauri wa kinafiki.Umekataa ushauri wangu wa kupumzika basi muombe sana Allah vita isitishwe ili kuwapunguzia machungu na mateso watu wasio na hatia.
Acha propaganda kama unazopost hazisaidii chochote. Jikite kuwaombea wananchi wanaotaabika na siyo hao waliyowasababishia mateso.
Ni hayo tu.
Maiti ya myahudi akifa tu lazima afunukwe Hizo picha za kutengenezwaHiyo picha ingekua ni Hamas ungesema ni yakutengeneza? Au umeamua tu kutingisha kalio hapa? Hao wayahudi si ndio walimuua Mungu wenu kwa mujibu wenu?