Kama Hamas kundi lenye wapiganaji wasio zidi 30,000 linalo tumia silaha za mwaka 47 lipo linawajambisha ndo wataweza kupigana mataifa yote ya kiarabu?Hata waarabu wote waungane hawawezi kuiangusha Israel pale mashariki ya kati,wawaulize mataifa matano yalivyochakazwa vibaya 1967.
Hamas ni jeshi kamiliGharama ya vita vya Gaza inazidi faida ya malengo Israel iliyojiwekea.
Wapiganaji wa Hamas jana waliwazingira askari wa miguu walioingia maeneo yao na kuwaua zaidi ya 100 kwa mpigo.
Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza
View attachment 2839765
Kamba. Acheni kujipa moyo. Japo hii vita haina mshindi, Hamas kazidiwa sana. Wanapigwa,wanapigika.Gharama ya vita vya Gaza inazidi faida ya malengo Israel iliyojiwekea.
Wapiganaji wa Hamas jana waliwazingira askari wa miguu walioingia maeneo yao na kuwaua zaidi ya 100 kwa mpigo.
Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza
View attachment 2839765
Israel anataka kupunguza maafa kwa raia kwa kuenda pole pole,fikiria watu wanataarifiwa kuwa tutapiga sehemu furani ondokeni.Ingekuwa anataka kupiga haswaa ni siku mbili tu gaza ingekuwa kiwanja.Kingine Hamas wana maroketi mengi mpaka ya zaidi km 150 halafu useme ni dhaifu.Kama Hamas kundi lenye wapiganaji wasio zidi 30,000 linalo tumia silaha za mwaka 47 lipo linawajambisha ndo wataweza kupigana mataifa yote ya kiarabu?
Kwahiyo tz kama aliishinda Uganda mwaka 1979 inamaanisha kuwa sasa hivi ainaweza pigana nae akaishinda kama alivyo fanya 1979?
Dhambi ya sodom mnafanya sana kwenye madrasa!Muumini wa masanamu nipo na mkeo hapa ananitafsiria hicho kingereza.
Taifa teuleDhambi ya sodom mnafanya sana kwenye madrasa!
.....
Arusha: Mmiliki wa Madrasa adaiwa kulawiti wanafunzi 22
Mkuu wa wilaya ya Arusha ameingilia kati sakata la mmiliki wa madrasa kulawiti watoto 22 ambao ni wanafunzi kwenye madrasa yake kwani imeonekana analindwa na kukingiwa kifua na baadhi ya vigogo wa rushwa ili kuzima swala hilo. -- Mwalimu wa madrasa, Jumanne Ikungi anashikiliwa na Jeshi la...www.jamiiforums.com
Hivi unajua sifa za kuitwa jeshi au unaropoka tu?Hamas ni jeshi kamili
Aisee😭kaziaijaisha mkuu gaza inasafishwa utaipenda
Eh kumbe siku hizi kupigana vita ni kushambulia chochote kilichoko mbele yako?basi hilo ni jeshi la ajabu.Israel anataka kupunguza maafa kwa raia kwa kuenda pole pole,fikiria watu wanataarifiwa kuwa tutapiga sehemu furani ondokeni.Ingekuwa anataka kupiga haswaa ni siku mbili tu gaza ingekuwa kiwanja.Kingine Hamas wana maroketi mengi mpaka ya zaidi km 150 halafu useme ni dhaifu.
Huyo jamaa hua ni mpumbavu sana.Gaidi ni mama yako na baba yako.
Niletee vita uliyowahi kusikia raia hawajafa.Eh kumbe siku hizi kupigana vita ni kushambulia chochote kilichoko mbele yako?basi hilo ni jeshi la ajabu.
Ikiwa vifo vya jumla ni kltakribani watu 18000 wamekufa na zaidi ya nusu ni watoto na wanawake, inakuaje kusema IDF imeua zaidi ya wanamgambo 15000 wa HAMAS!? IDF wanasema kwenye kila watu watatu wanaouawa mmoja ndio hamas. Do the math. Otherwise tusifanye exaggeration saaana.Malengo bado, Netanyau amesema anataka kuwafuta kabisa na kurudisha mateka.
Awali ilikuwa kulipiza kisasi, alipo onyeshwa yale mauaji ya 7/10 kwafi** wanajeshi wa IDF, alisema anawafuta sasa bado kabisa.
So far Israel imeua magaidi ya HAMAS 15,000 [elfu kumi na tano tu], hapo bado kabisa, nina uhakika wakifika walau watu elfu 30 ndio Israel atapozi kidogo.
Wanamgambo wa Hamas inajumuisha hao uliosema, Hao watoto hawana wazazi, hao wanawake hawana mabwana zao.Ikiwa vifo vya jumla ni kltakribani watu 18000 wamekufa na zaidi ya nusu ni watoto na wanawake, inakuaje kusema IDF imeua zaidi ya wanamgambo 15000 wa HAMAS!? IDF wanasema kwenye kila watu watatu wanaouawa mmoja ndio hamas. Do the math. Otherwise tusifanye exaggeration saaana.
Hoja haipigwi rungu. Tunajadili hoja sio affiliations na dini, rangi au kabila au kigezo chochote kile. Weka ushahidi wako. We argue with facts that's all.Wanamgambo wa Hamas inajumuisha hao uliosema, Hao watoto hawana wazazi, hao wanawake hawana mabwana zao.
Acha prpaganda za kislamu za kigaidi,
HAMAS ina wanachama watoto na wana silaha, na wengine hata uniform hawana, chini ya shule tena za UN na misikiti na makanisa wanaficha silaha na kufanyia maficho misikitini na makanisani, IDF inawafuata popote walipo.
Hiyo mbin u ya kutumia watoto na wanawake kama kinga haisaidii, kichapo kitaendela mpaka "panya"wote watoke kwenye mashimo, Iran na Urusi hawakujua kama kichapo kitakuwa namna hii.
Putin kanyosha mkono na silaha za HAMAS zimekwama pale IRAN, walikuwa wanaziingiza kwa tunnels za Baharini lakini sasa haiwezekani tena.
Gharama ya vita vya Gaza inazidi faida ya malengo Israel iliyojiwekea.
Wapiganaji wa Hamas jana waliwazingira askari wa miguu walioingia maeneo yao na kuwaua zaidi ya 100 kwa mpigo.
Vita walivyokuwa wakivisubiri Hamas sasa ndio vimeanza
View attachment 2839765