Mkubwa malipo ni hicho kifo, maana hata asingekunywa sumu hukumu ya kuua iko wazi.Malipo gani mkuu, kama kufa ndo lilikuwa lengo lake ndiyo maana alikunywa somo, hitaji lake limetimizwa
Inahuzunisha sana hii. Lakini naona kama haikupaswa kuwapo kwenya Jukwaa la Siasa, nafikiri Jukwaa la Huzuni- sijui lipo? ingefaa zaidi!😢😢😢Ataagwa kesho Lugalo Jeshini kabla ya mwili kusafirishwa kwa maziko Mkoani Mara
Alilazwa Hospitali ya Mloganzila kwa Matibabu baada ya kunywa sumu
Marehemu Daniel Mirumbe Marwa alikuwa Askari wa Kikosi cha Jeshi 92 KJ na mkewe aliyemuua aliitwa Joyce Ismail Bhoke
Marehemu hao wameacha Watoto 3
🙏🙏👏👏😏😏Wote kabila moja
Dada zetu wapunguze kuvua pichu
Na alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.marehemu amekufa kisenge sana
Wewe 'Pimbi' una 'Utani' na Sisi wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) au unatafuta tu Ugomvi nasi kisha uuone pia na 'Ubabe' wetu hapa hapa JF ulipo?Watoto atalea nani? Akili mbovu kabisa. Watu qa Mara kuna wakati wanajisahau sana. Wanafikiria bado tunaishi dunia ya ubabe usio na tija. Walinufaika nao wakiibiana ng'ombe enzi zile
Malipo gani wakati watoto wamebaki wanateseka hawana wazazHapo ndo pale unapoamini kuwa malipo ni hapa hapa duniani.
Mungu amlaze mahali panapostahili muuaji.
Upo sahihi kabisa mkuuDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Hatari sana na utakuta ni wivu wa mapenziMalipo gani wakati watoto wamebaki wanateseka hawana wazaz
kwa kuwa amewadhalilisha, je! hiyo maiti mutaisafirisha au mutaitupa makaburi yeyote?Na alichonikera zaidi ni 'Poti' wangu kabisa yaani bora hata angekuwa tu ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara Mkuu.
Kanda ya ziwa kuna tatizo kubwa(Jiwe, Mganga, Sirro, Mahera, Bashiru, Makonda, Mnyeti, AG, Mtungi, Jaji Kaijage n.k )Wakurya bana
Anafaa kutupwakwa kuwa amewadhalilisha, je! hiyo maiti mutaisafirisha au mutaitupa makaburi yeyote?
dah marehemu amewakhanithi wahaya wote kwa kuunga mkono juhudi za mama tukinao
labda alifikiri wanajeshi wanakuwa na tupu mbili za mbele hivyo basi wapo tofauti na raiaAcha 'Uboya' Wewe kwahiyo Sisi wote tunaochangia hapa tena kwa 'Kukazia' kabisa na 'Kukemea' huu 'Upuuzi' wake ni 'Wajeda' kama Marehemu?
🤣Changu wa Madale katika ubora wake.
Yule wa gunia mbili za mkaa alikuwa wa wapi vile?Watoto atalea nani? Akili mbovu kabisa. Watu qa Mara kuna wakati wanajisahau sana. Wanafikiria bado tunaishi dunia ya ubabe usio na tija. Walinufaika nao wakiibiana ng'ombe enzi zile
🤣Ijapokuwa ni ukweli hapa utatukanwaaa
Oooh tumeenda shule skuizi haya mambo hatuna na blah blah mingi.