King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Dah! We sokwe mtu ni watumishi wangapi wanafanya hivi? Madaktari hawavalishi kiti clinical cot zao? Wahandisi wa ujenzi?
Hapa umepuyanga alafu kqzi hawafutwi kizembe zembe
Nazungumzia JWTZ ambao wanaofanya hivyo ni wale shuleless ,sijawahi kumuona mwenye cheo kikubwa ameweka kombati kwenye kiti cha gari.
Ukweli lazima usemwe acheni ushamba nyie shuleless ,JWTZ ni kazi kama kazi nyingine hivyo msijione mpo juu ya sheria....Mimi nina marafiki wengi wanajeshi lakini hawana tabia hizo za hao shuleless coz kidogo wamepita pita school.