Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani kuandika maneno magumu sana ila hapa sio twitter! Ni hivi mzazi wako alikuwa mgambo sio mwanajeshi. Vipi alifanikiwa kujenga hata kajumba akiwa kazini?Acha maneno yako tumekulia katika kambi za jeshi wazazi wetu wapo uko tunayajua yote hayo jeshini hakuna pesa yoyote ya maana.
Usione wamevaa kombati zao za mabaka mabaka ukatishika kule kuna wacheza ngoma,vinyozi,fundi cherehani,fundi garage,sekretari,wafanya usafi wa mwagilia bustani,Dr, engineer nk.
Mishahara ya kawaida sana jeshini wazazi wetu wamestaafu na madeni +visukari.
Kitu pekee cha kujivunia jeshi ni lile gwanda tu ukilivaa tena utajivunia kwa washamba sio kwa waelewa
Mwambie huyo dogo aelewe, wazee wetu wanazeeka na presha licha ya kuwa na vyeo vikubwa huko lakini hawana pesa hiyo ya maana inayoandikwa humuAcha maneno yako tumekulia katika kambi za jeshi wazazi wetu wapo uko tunayajua yote hayo jeshini hakuna pesa yoyote ya maana.
Usione wamevaa kombati zao za mabaka mabaka ukatishika kule kuna wacheza ngoma,vinyozi,fundi cherehani,fundi garage,sekretari,wafanya usafi wa mwagilia bustani,Dr, engineer nk.
Mishahara ya kawaida sana jeshini wazazi wetu wamestaafu na madeni +visukari
Usijidanganye maisha mazuri yanaanzia kwenye pesa mengine ndio yanafataYani kulipwa milioni 50 ndio kipimo cha maisha mazuri? Mikopo ni kila kitu hata huyo anayelipwa hiyo pesa ana mikopo kibao.
Narudia tena hakuna takataka ina maisha mazuri Tanzania kumzidi mwanajeshi
Unawaza ngono tu, ni kawaida lakini kwa vimtu vyenye umri kama wako na huwezi kubisha nimepita kwenye huo ujinga sikushangaiUsikute basha wako mwanajeshi kaamua kukujaza uongo ili akugonge kiurahisi
Huyo ni mjinga anahitaji aelimishwe ,mwambie aende kambi ya Lugalo aone mabweni wanayokaa wanajeshi wapya yaani ni aibu ,mikojo hadi kwenye floor ,masinki hadi yamekuwa ya njano yaani tabu tupu ,hawa jamaa kinachowatoa ni mikopo na kweli wana access ya mikopo sana na pia ukiwa na elimu ukaingia TISS ndiyo unapata safari nyingi na kwenda kwenye taasisi hizi kubwa kubwa eg TRA ,TCRA ,Bandarini ,TPDC etcAcha maneno yako tumekulia katika kambi za jeshi wazazi wetu wapo uko tunayajua yote hayo jeshini hakuna pesa yoyote ya maana.
Usione wamevaa kombati zao za mabaka mabaka ukatishika kule kuna wacheza ngoma,vinyozi,fundi cherehani,fundi garage,sekretari,wafanya usafi wa mwagilia bustani,Dr, engineer nk.
Mishahara ya kawaida sana jeshini wazazi wetu wamestaafu na madeni +visukari.
Kitu pekee cha kujivunia jeshi ni lile gwanda tu ukilivaa tena utajivunia kwa washamba sio kwa waelewa
Sasa pesa unaipataje bila kazi? Inajileta tuUsijidanganye maisha mazuri yanaanzia kwenye pesa mengine ndio yanafata
Ila sio kwa kazi ya ujeshi,jeshi unapata pesa ya kurefusha maisha tu usife na njaaSasa pesa unaipataje bila kazi? Inajileta tu
ushamba wake unafukizisha kaziSengwile makamanda?
Sengwile kumanya?
Haiwezekani kamanda kupigwa na polisi.
Atailipia, aeh
Atailipia aeh.
Abandu bandu bandu bandu banduba baba
Abandu???
Haiwezekani kamanda maji kupanda mlimaSengwile makamanda?
Sengwile kumanya?
Haiwezekani kamanda kupigwa na polisi.
Atailipia, aeh
Atailipia aeh.
Abandu bandu bandu bandu banduba baba
Abandu???
Wanajeshi wana maisha mazuri kuliko takataka yoyote Tanzania. Tatizo linakuja unavyoyatazama wewe
tangu lini mlizi akawa na masha mazuli!!Wanajeshi wana maisha mazuri kuliko takataka yoyote Tanzania. Tatizo linakuja unavyoyatazama wewe
SawaIla sio kwa kazi ya ujeshi,jeshi unapata pesa ya kurefusha maisha tu usife na njaa
Mkose huyo mlinzi uone mototangu lini mlizi akawa na masha mazuli!!
Akiitwa mwanajeshi na hizo kada zenye mishahara mikubwa kwenye hafla yoyote nani anakaa hightable? Na unadhani ni protocol tu ile?
- sio kweli, ww ndiye takataka usiye heshimu kada nyingine,
- hivi unajua vipato vya Watu wa kada nyingine? Unaweza kukuta haki ka kipato chako Kwa wengine ni Posho ya mafuta ya wiki.
- takataka ni nyie ambao mna D 2 tu, unajilinganisha na ofisa wa eGA,TCRA,EWURA,LATRA ? Ww na D Zako mbili za civics na kiswahiliKaka unafikiri natania? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha nne kuna uwezekano wa kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza kidato cha sita unaweza kuzipata? Unazijua ajira ambazo ukimaliza degree, masters, n.k unaweza kuzipata? Basi hao wote ni takataka kwa wanajeshi ukiwa tu unafikiria sawasawa
Mwambie huyo dogo aelewe, wazee wetu wanazeeka na presha licha ya kuwa na vyeo vikubwa huko lakini hawana pesa hiyo ya maana inayoandikwa humu
Sisi tuliokulia huko jeshini ndio tunajua ukweli,hawa raia wanadanganyana sana huku, kazi ya jeshi sio ya kutajirika ama kuishi vizuri bali kuishi maisha ya kawaida tu
Japo siku hizi vijana wanajiongeza, kuna jamaa yangu anamiliki cruiser mbili ni kijana tu, mwingine tulikuwa naye kota sasa ni marehemu alikuwa anaiba mafuta ya jeshi na anauza mpaka gongo
-itategemea na rank ya hao Watu akiitwa mkurugenzi wa EWURA na mwanajeshi Koplo Nani atakaa high table?Akiitwa mwanajeshi na hizo kada zenye mishahara mikubwa kwenye hafla yoyote nani anakaa hightable? Na unadhani ni protocol tu ile?
Hao uliowataja ni nani mbele ya Mjeshi?- takataka ni nyie ambao mna D 2 tu, unajilinganisha na ofisa wa eGA,TCRA,EWURA,LATRA ? Ww na D Zako mbili za civics na kiswahili