Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Kuna mjeshi nimesoma nae yuko hapo chalinze ana nyumba ya slope..na anaendaga sana congo...unaielewa slope? Ni zile nyumba ambazo haina haja ya ramani...unajenga tu mradi upate chumba na korido kama jengo la shule🚮
Huwezi jua anajipanga vipi, Watu wana akili na malengo tofauti, Kuna mtu ana millions za pesa anaendesha escudo old model plate number A.
 
Kabisa Mkuu, wazazi baadhi ndio maana hawataki watoto wabaki jeshini
 
Wao hawaringii pesa ,Bali mabavu Yao Kila mtu anaringia chake
 
Natamani kuandika maneno magumu sana ila hapa sio twitter! Ni hivi mzazi wako alikuwa mgambo sio mwanajeshi. Vipi alifanikiwa kujenga hata kajumba akiwa kazini?
Kwani wewe unasemea wanajeshi wa wapi mkuu..? Wanajeshi wana maisha ya kimaskini kabisa sema zinawabeba hizo ration...wanajeshi wanakaa kwenye slope..na wamejenga changanyikeni 20*20!akijitahid sana atamiliki crown
 
Tunaongelea maisha ya wajeda kuwa ni ya kawaida mkuu rudi kwenye main point
Kila mtu ana maana yake ya kuwa na mafanikio, mmoja akipata baiskeli ni ndoto imetimia mwingine anawaza siku moja awe na G Wagon, success means to get something you hoped for, tupo tofauti each person has a different perspective and their own definition for satisfaction..
 
We jamaa huna akili
 
Na ushamba huo kamwe huwezi kumkuta unafanywa na mwanajeshi mwenye cheo kuanzia nyota moja!!ni hao wenye elimu ndogo ndogo,ndio wenye ushamba huo.
 
Mkose huyo mlinzi uone moto
wote tuna tegemeana hata mimi raiya nibora kwa sababu na vuja jasho hili huyo mlinzi alipwe mshahara wake kwa nn ajione bora kuliko wenzie? mala awataki kulipa sh 500 ya daladala mwenge kariakoo

mala wakikopa bazaa madukani hawataki kulipa mala wanataka waogopwe na watu mitaani huo ni ushamba tu na ulimbukeni

anaenda likizo dar msoma na magwanda yake na mzigo wa viatu miguuni afika tarime kijijini msibani harusini yeye na kaki tu mala avute banghe hadharani mbona hayo makaki mazito pia yana joto mna mbona kuvaa mguo za nyumbani ukiwa likizo ni raha sana na kujishusha kwa wana kijiji ulionea kuwatembelea lakini sio wote wapo wachache sana wasio fanya hivio
 
Natamani kuandika maneno magumu sana ila hapa sio twitter! Ni hivi mzazi wako alikuwa mgambo sio mwanajeshi. Vipi alifanikiwa kujenga hata kajumba akiwa kazini?
Bro labda tu nikuweke wazi
Ukweli ni kuwa kazi za majeshi unapozianza miaka mi 3-5 ya mwanzo watu huwa wanajivunia sana hizo kazi, ila kwa wenye malengo na maisha yao huwa wanakuja kugundua hizo kazi ni ngumu sana na malipo ni kidogo, ndipo wengine huwa wanaamua kujiendeleza kielimu ili angalau wapate cheo ili awe na hafahali kidogo aepuke kazi ngumu na malipo kidogo na wengine huwa wanaamua kuacha kazi kabisa baada ya kujiendeleza kielimu

Jeshini ukiwa na cheo kidogo ndo kazi zinakua nyingi na malipo yanakua kidogo, angalau mwenye cheo kikubwa yeye kazi zake zinakua kidogo na malipo yanakua mazuri.

Ukiwa Askari serekali inakufanya kama mtoto inakujaza sifa nyingi ila malipo Ni kidogo, hizo sifa ni kama vile ukienda bank usipange foleni, ukipanda usafiri wa umma usilipe nauli, inakupa posho kwaajili ya pombe ila kama unaakili timamu hayo yote hayakunufaishi chochote katika kujijenga kiuchumi, watoto wako watasoma shule za kawaida sana, na wewe utaishi nyumba ya kawaida tu ukijitahidi sana utanunua na ka IST ila bahati mbaya huwezikulalamikia kuhusu maslahi yako Unaambiwa Askari anatakiwa atii amri tu na kosa la kukataa amri ni kufukuzwa kazi.

kwahiyo nje ya majeshi wapo watu wengi tu wanafanya kazi serekalini na Wana maslahi makubwa sana kuliko maaskari wa majeshi yote Tz huwezi kuwaita takataka maisha yao ni mazuri sana kwa kiasi kikubwa kuliko maisha ya maaskari wa Jwtz,PT,MT, au ZM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…