Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

Ofisa wa hizo taasisi ni takataka mbele ya hata private tatizo lako unakaza tu ubongo sina maana ya anawazidi mishahara au magari mazuri. fikiria
We jamaa ni Mjinga na usiye na akili kichwani, hawa wakata majani ya ng'ombe na vimishahara vya laki 6 6 6 hivi?
We ni mbwa kama private wenzako, na mtalala nje milele maana hata mkistaafu bado mnakimbilia kampuni binafsi za Ulinzi mbwa nyie.
 
kama kuna vita huko anAkokimbilia acheleweshwe kupita na trafiki? askari anaishi uraiani anawahi kambini kwake asimamishwe tena na mtaka hela ya kubrush viatu! vyombo vya dola viheshimiane
Angeenda masaa mawili before kama anawahi.
 
1.polisi wa vyeo vya chini wanakula laki 5 ,kinachosaidia ni ration ,uwe lindo mgodini na vi saccos
2.jwtz pia hawafiki laki 8 ,huku napo vi mikopo au uwe peace keeping missions
3.magereza pia ni kama polisi tu

Vijana stories za jeshini kuna pesa sijui huwa wanatoa wapi, hawana pesa ya kumfanyia mtu madharau
Uko sahihi kabisa, wanapewa subsidies katika vifaa vya ujenzi,pombe,magari etc,[emoji137][emoji137]
 
Kwenye matusi hata huniwezi shosti achana nayo. Ukiambiwa wanajeshi wana maisha mazuri ni lazima walipwe mshahara sawa na makatibu wakuu? Mshahara sio kipimo cha maisha bora
Wewe nawe usiwe mbishi...hayo maisha mazuri wameyatowa wapi?...

Itakuwa umeajiliwa juzi ,bado mshamba na vichenchi.
 
Private, corporal, Sargent,staff Sargent, lieutenant, captain, major,L colonel, colonel,... obvious atakua shule hafifu,,huyu ni mpiganaji wa chini kabisa jeshini [emoji137][emoji137][emoji137]
Form 4 uyo amesota miaka 10 ndo kaupata ukoplo mwaka jana
 
Elimu ndo upumbavu gani wewe, na elimu yako hiyo hata iwe kubwa vipi ni takataka kwa askari yoyote Tanzania
Sawa boy kurutae, Lakini ukimalizana na Court of law, itakutana na court martial, drill za kutosha kufyeka barabara ya bagamoyo kutoka ngome Mpaka junction ya kawe [emoji137][emoji137][emoji137] Acha kuchezea jeshi wewe!
 
Kwenye matusi hata huniwezi shosti achana nayo. Ukiambiwa wanajeshi wana maisha mazuri ni lazima walipwe mshahara sawa na makatibu wakuu? Mshahara sio kipimo cha maisha bora
Usibishane nae,itakua ndiyo yule waliekua amempa lift, maana walikua wawili, mwambie social welfare can't be measured by single factor, it is a set of quality and quantity evaluation of living standard [emoji137][emoji137][emoji137]
 
Kweli wanaodanyanyana ni wale ambao hawana hata member mmoja kwenye familia ambaye mwanajeshi au hajui kabisa maisha yao ,sasa mtu amekaa kotaz ,amezaliwa kotaz jeshini ,anaonana nao kila siku halafu kuna poyoyo anakuja hapa na kudanyanya watu kwamba wana mishahara mikubwa na wanaishi maisha mazuri.

JWTZ ni kazi kama kazi nyingine tu ,no any special coz hao wanajeshi wametoka uraiani na ni ndugu na marafiki zetu ,tunawaona na tunakunywa nao kitaani.
Unajua mshahara ngazi ya ofisa wew kuanzia nyota moja ww
 
Nilijua tu hiki kiburi kimefanywa na mjeda. Raia wa kawaida hawezi kufanya vile. Alafu alikuwa amebeba dem. Madem huponza
That was my doubt, kwamba mle ndani hakukua na pisi kaiongopea kuwa yeye ndiyo Brigedia jenelali wa brigedi ya Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakubeba mwanamke pale mbele, unaweza kuta alimwabia Sisi wanajeshi,tuko above the law [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unaita watu takataka ? Mimi nimezaliwa jeshini na ninaandika hapa nikiwa kambini, hawana pesa

Angekuwa na pesa asingeendesha hilo li Nissan la miaka ya 90
wEwe hujui magari.. kuna gari huwa hazichuji.
1.Nissan patrol
2. Land cruiser
3.Land rover..

Hizo taka taka nyingine unazozifikiria wewe zipumzishe kwanza..
 
Back
Top Bottom