FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #41
Hili nimeliona hata TRA ya pale millenium tower, yule dada alishindwa kudhibiti wasiofuata utaratibu wa kuchukua leseni za udereva, ikabidi akaitwe yule wa kiume, ndio wale wakaidi wakatii, ndio maana nikasema maofisi mengi, sio Benki tuSikupingi katika kusisitiza kufuata utaratibu. Nakupinga hitimisho lako la udhaifu wa mwanamke kwa sample ya tukio moja katika matukio mengi Tanzania.
Na hata bank hiyo hiyo, huyo askari inawezekana ameshadhibiti mambo mengi ya kijasiri kuliko hilo la kwako moja ulilotumia kuhitimisha kuwa askari wa kike ni dhaifu.
KabisaSasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Kwa tuliosoma vyema Saikolojia na kubahatika kidogo ( tena kwa Kubahatisha ) kupitia Mafunzo machache na ya Awali ya Kimedani tumefundishwa kuwa Mwanamke hapaswi na wala hapendezi kuwa Askari na pia ni Hatari kwa Wao kuwa hivyo na hata kama akiwa hivyo basi kwa 99% usije Kuthubutu ukamuamini.Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Acheni ungese kutetea upuuzi k#ma nyieKwani unachofanya hapa ni nini sasa?
KabisaTabia za hovyo na kukosa ustaarabu kama hizi huanzia mbali sana, tukiwa shule ya sekondari kuna watu walikuwa hawapangi foleni ya chakula kabisa wanawaona wote waliowatangulia ni ngedere tu, bila ubabe ilikuwa hata ukifika kwenye mstari wa kwanza utakula wa mwisho tu.
Mtu mweusi anahitaji kustaarabika zaidi.
Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Hao ni waangalizi sio askar, nahisi ww ndio umekosa busara unaonekana ni mtu wa hovyo unayependa sana kuabudiwa BTW Kwan bank si kuna polisi? Kwa akili zako mtu ana kirungu unategemea jambazi akija na Ak 47 amfanye nn?Mfano mtu umeenda benki, umekuta watu wamekaa kwenye foleni, na wewe kwa ustaarabu unaamua kuunga foleni kusubiria huduma.
Unakaa foleni lisaa lizima linakatika ukisubiria huduma, halafu anakuja njemba na miharaka haraka yake linaenda mbele kabisa badala ya kuunga foleni nyuma na kama utaratibu unavyotaka.
Sasa hili swala linakera, hivyo unaamua kuomba muongozo wa askari aliyepewa jukumu la kusimamia utaratibu, na anaenda kwa muhusika kumuelekeza utaratibu wa foleni jinsi ulivyo, sasa badala ya kutekelezwa kwa utaratibu yule njemba anaamua tu kuketa ubabe, anagoma.
Sasa basi, ikabidi wadau tuulize kulikoni? Eti kala kadada kanajibu mi nimeshamuelekeza yeye hataki, mi nifanyeje sasa? Heeee, nikamuuliza, wewe si ndio umepewa mamalaka ya kusimamaia utaratibu, unashindwaje kusimamia jukumu lako!? Kanatoa macho tu, nikataka nikawashe kibao!
Kwahiyo hata jambazi akija benki kuiba mtamuomba afuate utaratibu kwa kujaza fomu? Na akikataa huyo jambazi mtamuacha tu achukue fedha jinsi anavyotaka?
Nikamfuata askari wa kiume, machine gun nzito mkononi, ile njema kabla hata hajafikiwa na kamanda, akajiongeza, akarudi nyuma kabisa!!
Askari wa kike kwenye mabenki ni useless garbage!!!
Kwanini mimi ndiye niliyempangia silaha ya kuwa nayo? Hao walioona kirungu kinafaa ndio wamefanya utafiti wakaona hivyo, sasa watekeleze wajibu wao!Hao ni waangalizi sio askar, nahisi ww ndio umekosa busara unaonekana ni mtu wa hovyo unayependa sana kuabudiwa BTW Kwan bank si kuna polisi? Kwa akili zako mtu ana kirungu unategemea jambazi akija na Ak 47 amfanye nn?
Mapumbavu ndio nini?Kama hana mapumbavu inakuwaje?
Mtoa Huduma ndiye alitakiwa hasitoe hudumaSasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
Civilization inakujaje kwenye protocol?Sasa wewe ulitaka huyu askari afanyeje ampige lisasi au? Jamii umekosa ustarabu civilization toka nyumbani kwetu sioni kama askari analosa lolote hapo nyie wengi mge muelimisha huyu jama jinsi ya kuishi na jamii
PICHA please
Korokoroni eeehWale sio Askari ni walinzi
Mtu anabunduki utamjibu utakavyo kakwambia tokahapo ,we!Korokoroni eeeh