Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Polisi na tambo zote zile hua hana ofisi. Akifika kituoni anakua anarandaranda tu nje, anaingia na kutoka.
 

mwanamke sehemu yoyote hafai kuwa kiongozi mungu ndie aliewaumba hawa na yeye ndie anaesema mtashindana na mungu
 
kama exim bank, wahindi hawakuwa wanapanga foleni kabla ya kuanzisha mfumo wa tiketi
 
Waambie hiyo benki wawe wanatoa namba kwa mteja anayeingia na ahudumiwe kwa kufuata namba
 
Huyo askari nae kapewa utaratibu na benki wa kutobugudhi wateja,utamlaumu bure kabisa.
Mteja anapoongea na simu kwa sauti kubwa ndani ya benki pia anabughudhi wengine, na ni kinyume na utaratibu wa benki, je, aaachwe asibughudhiwe, si ndio?
 
Mkweli mtupu....wannawake wakae reception tuu...tena provided wana sura na takko
 
Kwanza sio kazi yake kuwapanga kwenye foleni.
Social etiquette ndo kinachofanya watu wapange foleni, yan umekuta foleni nawe ukaifuata
 
Nilitegemea afanye kile alichofundishwa kwenye training kadiri ya taaluma yake ili kuhakikisha anasimamia utaratibu na utaratibu unafuatwa kama ilivyo majukumu yake aliyokabidhiwa na mwajiri husika, na kama akishindwa pia aandike barua ya kushimdwa kazi na kuomba kuhamishwa kituo au kitengo.
 
Kwanza sio kazi yake kuwapanga kwenye foleni.
Social etiquette ndo kinachofanya watu wapange foleni, yan umekuta foleni nawe ukaifuata
Sio kazi yake ndio kupanga watu foleni, ila ni kazi yake kuhakikisha utaratibu unafuatwa
 
Sio mteja mkorofi, bali ni mteja mpumbavu.
 
Mimi ndio nimemwajiri hapo? Au mimi ndiye niliyefanya mchujo wa kuwapa hiyo kazi? Mi ninachojua ni kwamba amepewa kazi sababu waliompa wamemwamini kwamba anaiweza.., sasa aifanye!!!
Askari wa kikosi gani ?
 
Kila siku ni kulalamika tu. Go kill yourself and get done with all life problems forever, as it’s clear you have no life at all. Hata Ukisukumwa kwenye daladala utaingia humu kulalamika, like a bit.ch. Senge kweli wewe. In fact, you’re the biggest bit.ch of them all.
 
KATIBA MPYA itamaliza kabisa hiyo kero yako.
 
Hawapati mafunzo mathubuti favour nyingi sana depo
hasa wakezenu wakiwa huko na dadazetu na Hawa wanaoitwa kwamujibu kwakweli huingia vyuo wakiwa wamechoka Mana sio mchezo mchezo kazi ni solo tu
 
Mmmh, fuateni utaratibu, matusi hayatasaidia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…