Askari wa kike kwenye maofisi hasa mabenki, ni dhaifu mno!

Mijitu ya hivyo na mimi huwaga naitoa nishai kinyama,sipendagi dharau kabisa,kuna broo mmoja na mtambitambi wake alijifanya anakaza kukaa mbele yng bila kuniomba,hakuamini maneno niliyompa,mwenyewe alinipisha nihudumiwe mimi kwanza,bora akuombe kistaarabu,anajifanya anatumia ubabe
 
Una uhakika huyo ni askari kweli?
 
Sio askari wanawake pekee wanawake popote walipo iwe customer care, cashier, daktari, hata akiwa rais kote ni GARBAGE tupu.
 
Ulifanya vizuri kumkubusha jukumu lake. Kufuata taratibu ni ustaarabu.
 
anabeep faya
 
Upumbavu nao ni kama kipaji tu. Bora uwe mjinga. Ukielimishwa ujinga unakutoka (Nyerere, n.d)
 
Sasa kama wewe mwanaume umeshindwa na unaogopa kudeal na mwanaume mwenzako. Unataka yeye afanye?
 
Sasa kama wewe mwanaume umeshindwa na unaogopa kudeal na mwanaume mwenzako. Unataka yeye afanye?
Mimi kama mteja nina mipaka, mipaka yangu inaishia kwenye kutoa taarifa kwa aliyepewa mamlaka ya usimamizi, hivyo atimize wajibu wake
 
Ni muhimu kutoa maoni, na yasichukuliwe kwamba ni kulalamikaYour

Nakuomba u retire kuchangia kwa muda mkuu! Maana kila kero katika maisha yako ya kila siku, however nonsensical, unabwagia humu. You need to man up, dude. Stop bitchin.g and behaving like you’re in need of constant attention from other people.
 
Nakuomba u retire kuchangia kwa muda mkuu! Maana kila kero katika maisha yako ya kila siku, however nonsensical, unabwagia humu. You need to man up, dude. Stop bitchin.g and behaving like you’re in need of constant attention from other people.
Kwani wewe unalazimishwa kuja humu?! JF ni adhabu kwako? Sasa kwanini unakuja? Topic haikuvutii unaachana nayo, changia zinazokuvutia, mimi kero nitaziweka tu humu.., nonsensical ni subjective, siwezi kubishana na hilo.., halafu acha kujibu kixhogaxhoga.. , umekalia bichi bichi..; nitake attention yako kwani unanijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…