Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni vazi MTU aweza vaa asiwe wa chama.kama vile kuvaa safe za jeshi kumbe sio mwanajeshihujui kusoma mkuu? tatizo ni watu kuvaa tisheti
Yes Kanisani unatakiwa uvae walau nguo za kijani,Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
hata Mfalme Sauli ukomo wa yeye kuwa mfalme ulipokaribia alitapatapa hata akawaua makuhani kwa sababu walimpa Daudi mkate.Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
Hapo patamuAiseee, ndio tumefikia Huku?
Sorry what if kama waliripotiwa...Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya.
Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema.
Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
View attachment 1867548
Tuanze na magaidi ya CCMMagaidi wasakwe kila kona kanisani na misikitini.
#gaidi mbowe