Rekebisha title yako. Huyo sio Askofu, ni Padre na Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki.Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga 👇
View attachment 2402032
MAONI YANGU
Wizi huu wa kipumbavu ndio umesababisha mchi imepata laana kwa kukosa mvua na umeme kila mahali. Namshauri mama Samia atubu hadharani na kuomba msamaha kwa Allah kwa niaba ya mwendazake ili nchi ipate kupona.
Nawasilisha.
Hao walioibiwa kura wakaibwa na Wenyewe 19 na kusukumiziwa bungeniUpinzani bado nchi hii , acha waibe tu hakuna namna
Wapi kamtaja Tundu Lissu? Vijana wapumbavu kama nyie ndio mnalirudisha taifa nyuma!Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?
Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.
Waache kuleta usanii sahiviHao walioibiwa kura wakaibwa na Wenyewe 19 na kusukumiziwa bungeni
Hilo kundi la mapacha kwenye picha ya kwanza kwenye clip mmmh!Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga
Kama upinzani hakuna wizi wa kura wa nini?Upinzani bado nchi hii , acha waibe tu hakuna namna
Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi
Mungu alibariki wizi wa kura 2020?Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?
Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.
Bila shakaKwa hiyo hata rais wa sasa ni tunda la wizi wa kura?
Ili kuondokana na mambo kama hayo nashauri tuitishe uchaguzi mkuu mwakani.
Rais avunje bunge tukaanze moja.
Tuharibu miundo mbinu yote aliyoasisi magufuli tujenge yetu fedha zipo za kutosha tutakopa au tutatoa twiga na simba kadhaa tunao wakutosha.
Usanii upi nawakati chama kimeshasema hakiwatambuiWaache kuleta usanii sahivi
Mwendazake Aliiba kura mpaka MUNGU akachukia alichomfanyia ccm mnakijuaBila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga [emoji116]
View attachment 2402032
MAONI YANGU
Wizi huu wa kipumbavu ndio umesababisha mchi imepata laana kwa kukosa mvua na umeme kila mahali. Namshauri mama Samia atubu hadharani na kuomba msamaha kwa Allah kwa niaba ya mwendazake ili nchi ipate kupona.
Nawasilisha.
Watu wanapendaga kumsingizia Mungu kwenye mambo ya upumbavuMungu alibariki wizi wa kura 2020?
Ujumbe umefika, askofu pia ni padri na padri anaweza kuwa askofuRekebisha title yako. Huyo sio Askofu, ni Padre na Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki.
Kipindi kile..weee.......Amefanya jambo zuri kukemea, ila ingependeza zaidi kama angekemea wakati wa muhusika mkuu akiwepo, japo pia, naamini waliokuwa wasaidizi wake wameupata ujumbe.
Mbona kasubiri Mwizi kafungwa ndo anakemea? CowardiceBila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga [emoji116]
View attachment 2402032
MAONI YANGU
Wizi huu wa kipumbavu ndio umesababisha mchi imepata laana kwa kukosa mvua na umeme kila mahali. Namshauri mama Samia atubu hadharani na kuomba msamaha kwa Allah kwa niaba ya mwendazake ili nchi ipate kupona.
Nawasilisha.
Upinzani bado nchi hii , acha waibe tu hakuna namna
Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?
Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.