Askofu akemea wizi wa uchaguzi mkuu 2020

Rekebisha title yako. Huyo sio Askofu, ni Padre na Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki.
 
Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?

Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.
Wapi kamtaja Tundu Lissu? Vijana wapumbavu kama nyie ndio mnalirudisha taifa nyuma!
 
"...Wizi wa hiki sawasawa na wizi wa kile..."
 
Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga
Hilo kundi la mapacha kwenye picha ya kwanza kwenye clip mmmh!

 
Mataga mtazidi kufura sana na legasi itazidi kupopolewa[emoji16]
Ili kuondokana na mambo kama hayo nashauri tuitishe uchaguzi mkuu mwakani.

Rais avunje bunge tukaanze moja.

Tuharibu miundo mbinu yote aliyoasisi magufuli tujenge yetu fedha zipo za kutosha tutakopa au tutatoa twiga na simba kadhaa tunao wakutosha.
 
Mwendazake Aliiba kura mpaka MUNGU akachukia alichomfanyia ccm mnakijua
 
Mbona kasubiri Mwizi kafungwa ndo anakemea? Cowardice
 
Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?

Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.

Hajazungumzia mshindi bali amezungumzia wizi wa kura. Mnataka tuamini kuwa Magufuli lazima angeshinda, lakini hata yeye mwenyewe hakuwa tayari kushinda kihalali. Kama alikuwa anaamini atashinda kwanini hakutaka ushindi wake uwe wa halali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…