Huyo mnyaturu hawezi kusema vizuri Magufuli ni tapeli tu na mnafiki walizoea kuiba na kuingiza magari kwa mgongo wa dini!Jamaa alikua muuaji ,Padre asingeweza kusema hayo kwa wakati ule .Rejea kilicho mpata Askofu Severine Niwe Muguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mnyaturu hawezi kusema vizuri Magufuli ni tapeli tu na mnafiki walizoea kuiba na kuingiza magari kwa mgongo wa dini!Jamaa alikua muuaji ,Padre asingeweza kusema hayo kwa wakati ule .Rejea kilicho mpata Askofu Severine Niwe Muguzi.
Ww na mtoa mada wote wapumbavuAlishabaab
AlmostKwa hiyo wasio fanya siasa ni marehemu?
Matusi ya nini sasa? Acha kupanic vitu vidogoWw na mtoa mada wote wapumbavu
😅😅Huyu padri kaupiga mwingi. Mwendazake akemewe hadharani
Kuitwa mpumbavu ni tusi.? Kuambiwa ukweli ni kutukanwa.?Matusi ya nini sasa? Acha kupanic vitu vidogo
Muambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?
Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.
Una stress zako binafsi JFs sio sehemu ya reliefKuitwa mpumbavu ni tusi.? Kuambiwa ukweli ni kutukanwa.?
Narudia tena, ww na mtoa mada wote wapumbavu.
Kweli kabisaAcha ujinga, kazi ya kanisa ni kukataza maovu, CCM ni waovu, ni wezi wa kura ni wezi wa rasilimali za taifa.
CCM inaendekeza tabia ya wizi
CCM ni chanzo cha matatizo yote yanaloliandama taifa hili
UKWELI NDIO HUO,WEWE NI MALAYA WA KISIASAHopeless comment ever!! Hunipangii chakufanya hapa TZ mimi ni Mtz huru. Wafuatilie wazazi wako huko mimi huniwezi.
Itapunguza tu wizi lakini system ni mbovu sn"Rasimu irudi Ili kukomesha wizi huo"
1.Tundu LissuBila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga 👇
View attachment 2402032
Nimekubaliana nae, why hakusema kipindi CHUMA JPM yuko hai???ndo maana mm nawakubali wafuatao
MAONI YANGU
Wizi huu wa kipumbavu ndio umesababisha mchi imepata laana kwa kukosa mvua na umeme kila mahali. Namshauri mama Samia atubu hadharani na kuomba msamaha kwa Allah kwa niaba ya mwendazake ili nchi ipate kupona.
Nawasilisha.