Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Itoshe tu kusema uchaguzi wa 2020 una rekodi ya kipekee katika Taifa letu.Kwa hiyo hata rais wa sasa ni tunda la wizi wa kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itoshe tu kusema uchaguzi wa 2020 una rekodi ya kipekee katika Taifa letu.Kwa hiyo hata rais wa sasa ni tunda la wizi wa kura?
Repeat AgainSilly mentality
Mawakala wenu hawakuwa na pesa za kujikimu waliona ujinga wakajiondokea kwenda kutafuta kipato kingine ndio maana nakuona wewe unachukua udaku wa mitandaoni na kufikiri ni uhalisia.
Siasa ni maisha; naye kama raia anayo haki ya kutoa maoni ilmradi tu aseme ukweli kama alivyofanya. Wewe kinachokuuma nini? Acheni wizi wa uchaguzi roho zenu zipate kupona. Vinginevyo kila siku mtakuwa mnaweweseka kama watu wenye maruhani kwa sababu ya laana ya wizi wa uchaguzi.Afanye kazi aliyoitiwa ,
Kama hawezi , Ni vema akavua Hilo vazi na kufanya siasa
Utawala wa Dunia na Utawala wa Mbingu ni vitu viwili tofauti
Mimi ni kati ya watz wanaojitambua wanafanyakazi halali sitegemei wanasiasa mkuuLeo utalipwa pesa nyingi na kiongozi wenu huko Lumumba kwa kutupia post nyingi. Endlea kutupia uongeze kipato chako mkuu; kuishi mjini kunahitaji kujituma.
Kwani sasa kasema uwongo mkuu? Hebu tuambie ukweli ni upi.
Jamaa alikua muuaji ,Padre asingeweza kusema hayo kwa wakati ule .Rejea kilicho mpata Askofu Severine Niwe Muguzi.Huh ni unafiki
Jamaa alikuwepo mlikua mnamsifia tuu
Angeongea kipindi kile ningemwelewa sana
Trust me bila unafiki,uchawa na umalaya wako wa kisiasa huwezi kuishi.Nimekufiatilia tangu mwanzoMimi ni kati ya watz wanaojitambua wanafanyakazi halali sitegemei wanasiasa mkuu
Hopeless comment ever!! Hunipangii chakufanya hapa TZ mimi ni Mtz huru. Wafuatilie wazazi wako huko mimi huniwezi.Trust me bila unafiki,uchawa na umalaya wako wa kisiasa huwezi kuishi.Nimekufiatilia tangu mwanzo
Wizi ni mbaya sana.Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila chenga 👇
View attachment 2402032
MAONI YANGU
Wizi huu wa kipumbavu ndio umesababisha mchi imepata laana kwa kukosa mvua na umeme kila mahali. Namshauri mama Samia atubu hadharani na kuomba msamaha kwa Allah kwa niaba ya mwendazake ili nchi ipate kupona.
Nawasilisha.
Mbona umepaniki sana 😅😅😅Hopeless comment ever!! Hunipangii chakufanya hapa TZ mimi ni Mtz huru. Wafuatilie wazazi wako huko mimi huniwezi.
Kutokana na dhambiMtoa mada bhana 😂 sasa wizi umesababishaje ukosefu wa mvua.? Bc tuseme nchi zenye jangwa zilifanya wizi mkubwa mpaka wakalaaniwa wakapewa ardhi isiyo na rutuba.
Watu wa Mungu hawa. God bless themHawa ndo wanaume waliosalia
Kenya kaskazini watu walikufa kwa ukame, huko pia ilisababishwa na wizi wa kura.?Kutokana na dhambi
Soma alichoniambia ndio maana nimempa makavuMbona umepaniki sana 😅😅😅
Mmm mfalme Herode asingemwacha Bali angemfanyia kama alivyomfanyia Yohana ambaye alimkosoa kwa kutembea na mke wa nduguye.Alichosema padri kinaweza kisiwafurahishe Maherode waliosalia lakini kwa takwimu alizotoa,ni shetani tu ambaye atabisha kuwa uchaguzi 2020 haukuwa huruAmefanya jambo zuri kukemea, ila ingependeza zaidi kama angekemea wakati wa muhusika mkuu akiwepo, japo pia, naamini waliokuwa wasaidizi wake wameupata ujumbe.
AlishabaabKenya kaskazini watu walikufa kwa ukame, huko pia ilisababishwa na wizi wa kura.?
Kwa hiyo wasio fanya siasa ni marehemu?Siasa ni maisha